-tume ya jaji Warioba yapendekeza sekali tatu.
-serkali ya zanzibar, ya tanganyika na ya muungano.
mambo ya muungani ni 7 ambayo ni:
1)katiba ya jamhuri ya muugano wa tanzaia
2)sarafu na benki kuu
3)mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa
4)ushuru
5)ulinzi na usalama
6)usajili wa vyama vya siasa
7)uraiya na uhamiaji
Maoni yangu.
Mambo saba yaliyopendekezwa kuwa ya muungano, ni sawa na kumi namoja,mambo hayo ndio ambayo wazanzibari kwao ndo kero kubwa za muungano.
Uraia na uhamiaji (ni mambo mawili)
Ulinzi na usalama (ni mambo mawili)
Mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa( ni mambo mawili0
sarafu na bank kuu ( haya ni mambo mawili)
Kwa mapendekekezo hayo ni mambo kumi na moja yalio pendekezwa, bado Warioba hajaondoa kero za muungano, tunarudi kule kule ambako tunakotoka, tunataka Mamlaka kamili ya zanzibar itakayo jiamulia mambo yake ya nje na ya ndani, hata tanganyika vile vile.
Rasimu hii ipo wezekano wazanzibari kuikata asilimia 66 wanaotaka mkataba, haitapita,