The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,282
- 117,244
hapo ndo tunafanya makosa siyo kila kitu tuige twaweza kuwa na mfumo wetu pekee duniani kuwa na mawaziri 15 then rais mweyewe ndo ajue namna ya kucheza na wizara
acheze na wizara kwa pesa ya nani?
we hujui ni mabilioni yanatumika kuvunja na kuunga wizara ovyo ovyo?