hii itakuwa nzuri kwanini tuwabebe tuuuuu na kuleta mlundikano wa vilaza bungeni??tunataka wanawake wenye uwezo kama akina Prof Tibaijuka, anna Kilango, halima Mdee....etc sio kwasababu ana matiti na anavaa sketi basi apewe free ride kuenjoy kiyoyozi na kodi zetu bungeni......