Man 4 M4C
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 743
- 114
Kwa siasa za Tanzania, ni jambo gumu sana kuwa na katiba ya Tanganyika kabla ya mwaka 1015. Hata hivyo, maoni ya watanganyika kuhusu katiba ya Tanganyika tume ya katiba wanayo, kwa hiyo ni kiasi tu cha kukaa chini kwa mwezi mmoja na kuyaweka katika maandishi kama hii katiba. Ila, siasa za Tanzania na watu wanavyopenda sitting allowances, inaweza ikachukua mpaka 2020 ndio Tanganyika ipate katiba yake.
Kuhusu Tanganyika vs Tanzania bara. Ni woga wa watawala na kutokuwa objective katika kuwa wazi. Jina halisi la Tanzania bara ni TANGANYIKA, na wanatakiwa wawe BOLD kabisa. Jina Tanzania lilikuja baada ya muungano ulioasisiwa mwaka 1964, which means Tanganyika was there before and it was supposed to be there to stay. Hata hivyo, ulimwengu mzima watu wa visiwani wana inferiority complex, ndio maana Nyerere aliwaachia jina Zanzibar libaki nao. Waingereza wenyewe kwa sababu wako viziwani hata wanataka wajitoe EU.
Tanganyika anahitajika