BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,165
Nani alikudanganya miaka 34 ni mzee? C7 ana umri mkubwa kuliko Messi lakini bado anakipiga sawa sawa.
Hawawezi. Messi ashazeeka. Nani anamtaka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawawezi. Messi ashazeeka. Nani anamtaka.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]La pruga? [emoji15][emoji15][emoji15]
Kwamba Ramos naye alikuwa ni chachu ya mvuto Wa La liga?No Ronaldo
No Messi
No Sergio Ramos
End of an era
R.i.p. La liga
Ulikua hujui?Kwamba Ramos naye alikuwa ni chachu ya mvuto Wa La liga?
Nimeshangaa sana jamaa anasema eti kuna wachezaj wanajua Kuliko Messi na Cr7 ndo najiuliza wako wap sasa?..mpr ungekua mchezo wa chumbani sawa tusingeona.Hebu wataje wanaojua kumzidi Messi!!!! Eti haimaanishi kwamba wao ndio wanajua sana mpira Dunia nzima. Kama humpendi Messi kaa kimya, unajizalilisha tu mkuu.
Nani asiependa kufanya kazi na Messi, sema uwezo wa kumnunua na kumhudumia hawana.
Tokea soka lianze akujawai tokea mchezaji kama Messi, chochote ndani ya uwanja anakupatia, mchezaji ambae amedumu longtime katika kiwango kuliko mchezaj yoyote.
Unafatilia tetes za soka kwl mzee au unafatilia kupitia TBC 1...Messi anaenda PSG na wamesha book ule mnara famous wa Paris(Eifell tower) kwa ajili ya utambulisho wake trh 10.PSG wamchukue Messi wanini wakati ashazeeka. Hawawezi
Nimeshangaa sana jamaa anasema eti kuna wachezaj wanajua Kuliko Messi na Cr7 ndo najiuliza wako wap sasa?..mpr ungekua mchezo wa chumbani sawa tusingeona.
Huwez pewa promo na dunia nzima kwa mda wa miaka 15+ bila kua na kitu cha maana unachocheza.
Messi&Cr7 hakuna mtu yoyote tena narudia hakuna mtu yoyote atafikia Level zao interms of football numbers na walivo divide opinions dunian katk sehem 2..nguvu yao kisoka na kimasoko ni kubwa kupita maelezo influence yao ni kubwa sana.
Wewe leo angalia tu kitendo cha Messi kutangazwa anaondoka Barca na La liga kwa ujumla ligi ishashuka thaman yake vby sana na followers hata kwny social media wamepungua na ndo ilikua ivo alivo ondoka Cr7 pia.
We muache tu ajifuraishe mda ukifika atajua kua hajui.Huyo member "hazard" ndiyo kawaida yake, yeye ni kumponda tu messi. Sijui chuki ama nini!!!!
Na ballon ya 7 anachukua, sijui wataonyesha wapi face zao mzehe [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Unavomsifia, uta manania awe mume wako. Uwe unampa mtigo wako.Huyo member "hazard" ndiyo kawaida yake, yeye ni kumponda tu messi. Sijui chuki ama nini!!!!
Na ballon ya 7 anachukua, sijui wataonyesha wapi face zao mzehe 🤣🤣🤣🤣
🤣🤣La pruga