Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
Nawashauri Barca wamchukue Haji Manara....No Neymar
No Iniesta
No Verane
Imebaki kuwa ligi ya wavulana tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nawashauri Barca wamchukue Haji Manara....No Neymar
No Iniesta
No Verane
Imebaki kuwa ligi ya wavulana tu
Hakika huu ulikuwa utatu mtakatifu duniani. Mi nitaendelea kumshukuru Mungu kunipa wakati wa kuwaangalia hawa miamba wakisakata kabumbu kea pamoja
Real Madrid imefilisika kivipi? Barcelona ndio wana matatizo ya kifedha tokea awali, ila Real Madrid hawana hiyo shida.Barca na real zote zimefilisika korona nuksi.
Pale epl sijui kuna nini vile vilabu havifilisiki
Hii ni kitu gani!!?La pruga
Hesabu bado ngumu!Messi alikua tayari kupokea nusu ya mshahara wake lakini bado vitabu vinagoma
Akienda China lazima duniani tutaanza kufatilia ligi ya ChinaKweli parefu sana. Ukizingatia clubs zinazolipa mshahara wa hivyo ni zakuhesabika. Labda aende Man City, PSG au China huko atalipwa vizuri.
Ni nick name ya messi inamaanisha kifaranga.kama walivyo wakina falcao anaitwa el tigre.au Sanchez anajulikana kwa jina jengine kama El nino Maravilla.Fernando Torres El Nino.na wengineo wengi.Hii ni kitu gani!!?
La Pulga, ikimaanisha 'kiroboto'Ni nick name ya messi inamaanisha kifaranga.kama walivyo wakina falcao anaitwa el tigre.au Sanchez anajulikana kwa jina jengine kama El nino Maravilla.Fernando Torres El Nino.na wengineo wengi.
Messi , Ronaldo ndio ni maarufu ila hiyo haimaanishi kwamba wao ndio wanajua sana mpira Dunia nzima .
Zipo namba zinapoga soka lakini hazipewi huo umaarufu.
Tukumbuke kuna biashara ya media.
Upo sahihi mkuu japo ni suala gumu sana laliga kupoteza mvuto
.
Watafanyiwa promo wachezaji wengine Dunia nzima itawafahamu na tutawapenda.
Huoni haaland nadhani kwa promo inayopigwa hakuna asiyemjua haaland kwa sasa
Watakuja na wengine watafanyiwa promo .
Messi , Ronaldo ndio ni maarufu ila hiyo haimaanishi kwamba wao ndio wanajua sana mpira Dunia nzima .
Zipo namba zinapoga soka lakini hazipewi huo umaarufu.
Tukumbuke kuna biashara ya media.
Walau atapatikana hata anayefika robo ya Messi.Barce itapoteza mvuto, tena co kidogo. Messi ni engine ya barca, bila Messi hakuna kitu pale. Na itachukua longtime kumpata mbadala wa Messi, au hakuna kabisa.
Well said [emoji108][emoji123][emoji123]Kuhoji na kua na mashaka na uwezo wa Messi uwanjani,
Itakubidi uwe na Roho mbaya kinyama
Utashangaa Simba wanamchukua. Sijui kwanini wanapenda wachezaji wazeeBarcelona imethibitisha kuwa Mchezaji wao mahiri, Lionel Messi ataondoka Klabuni hapo kutokana na vikwazo vya kimfumo na kifedha (Sheria za Ligi ya Uhispania)
Klabu imesema yenyewe pamoja na Messi wamesikitishwa na hatua hiyo kwani awali pande zote mbili ziliridhia kuongeza mkataba wa Mchezaji huyo, uliosha mwezi uliopita
Messi aliyeichezea Barca michezo 778 na kufunga magoli 672, kutoa ‘assist’ 305 na kushinda mataji 35, anahusishwa zaidi kuhamia katika klabu ya Manchester City au PSG
=====
Despite FC Barcelona and Lionel Messi having reached an agreement and the clear intention of both parties to sign a new contract today, this cannot happen because of financial and structural obstacles (Spanish Liga regulations).
As a result of this situation, Messi shall not be staying on at FC Barcelona. Both parties deeply regret that the wishes of the player and the club will ultimately not be fulfilled.
FC Barcelona wholeheartedly expresses its gratitude to the player for his contribution to the aggrandisement of the club and wishes him all the very best for the future in his personal and professional life.
Utashangaa Simba wanamchukua. Sijui kwanini wanapenda wachezaji wazee
kadi nyekunduHao wasio wazee wamemzidi nini Messi huu msimu?
PSG wamchukue Messi wanini wakati ashazeeka. HawaweziMan City washamchukua Jack na tayari kakabidhiwa jezi namba Kumi... Messi na no 10 kma alizaliwa nayo tusubiri... Jpo PSg watakuwa na nafasi nzuri let's wait
Hawawezi. Messi ashazeeka. Nani anamtaka.Hawakujua kama Messi atakuwa available hivyo kama mkataba na Kane haujawa tayari sitashangaa wakichomoa betri kwa Kane ili wamsajili Messi.