Rasmi: Barcelona yatangaza Messi kuondoka Klabuni hapo baada ya kushindwa kuongeza Mkataba

Rasmi: Barcelona yatangaza Messi kuondoka Klabuni hapo baada ya kushindwa kuongeza Mkataba

Barca na real zote zimefilisika korona nuksi.

Pale epl sijui kuna nini vile vilabu havifilisiki
Real Madrid imefilisika kivipi? Barcelona ndio wana matatizo ya kifedha tokea awali, ila Real Madrid hawana hiyo shida.
Real Madrid msimu huu wamepata faida, kilichotokea ni kwamba mapato tu yalipungua, na Madrid haijashindwa kusajili mchezaji Mkubwa, Malengo na Florentino ni kumsajili Mbape tu msimu huu kama haitawezekana basi watafanya hivyo msimu ujao.
 
Ni nick name ya messi inamaanisha kifaranga.kama walivyo wakina falcao anaitwa el tigre.au Sanchez anajulikana kwa jina jengine kama El nino Maravilla.Fernando Torres El Nino.na wengineo wengi.
La Pulga, ikimaanisha 'kiroboto'
 
Messi , Ronaldo ndio ni maarufu ila hiyo haimaanishi kwamba wao ndio wanajua sana mpira Dunia nzima .

Zipo namba zinapoga soka lakini hazipewi huo umaarufu.

Tukumbuke kuna biashara ya media.

Hebu wataje wanaojua kumzidi Messi!!!! Eti haimaanishi kwamba wao ndio wanajua sana mpira Dunia nzima. Kama humpendi Messi kaa kimya, unajizalilisha tu mkuu.


Nani asiependa kufanya kazi na Messi, sema uwezo wa kumnunua na kumhudumia hawana.


Tokea soka lianze akujawai tokea mchezaji kama Messi, chochote ndani ya uwanja anakupatia, mchezaji ambae amedumu longtime katika kiwango kuliko mchezaj yoyote.
 
Upo sahihi mkuu japo ni suala gumu sana laliga kupoteza mvuto
.
Watafanyiwa promo wachezaji wengine Dunia nzima itawafahamu na tutawapenda.

Huoni haaland nadhani kwa promo inayopigwa hakuna asiyemjua haaland kwa sasa

Watakuja na wengine watafanyiwa promo .

Messi , Ronaldo ndio ni maarufu ila hiyo haimaanishi kwamba wao ndio wanajua sana mpira Dunia nzima .

Zipo namba zinapoga soka lakini hazipewi huo umaarufu.

Tukumbuke kuna biashara ya media.

Barce itapoteza mvuto, tena co kidogo. Messi ni engine ya barca, bila Messi hakuna kitu pale. Na itachukua longtime kumpata mbadala wa Messi, au hakuna kabisa.
 
Barcelona imethibitisha kuwa Mchezaji wao mahiri, Lionel Messi ataondoka Klabuni hapo kutokana na vikwazo vya kimfumo na kifedha (Sheria za Ligi ya Uhispania)

Klabu imesema yenyewe pamoja na Messi wamesikitishwa na hatua hiyo kwani awali pande zote mbili ziliridhia kuongeza mkataba wa Mchezaji huyo, uliosha mwezi uliopita

Messi aliyeichezea Barca michezo 778 na kufunga magoli 672, kutoa ‘assist’ 305 na kushinda mataji 35, anahusishwa zaidi kuhamia katika klabu ya Manchester City au PSG

=====

Despite FC Barcelona and Lionel Messi having reached an agreement and the clear intention of both parties to sign a new contract today, this cannot happen because of financial and structural obstacles (Spanish Liga regulations).

As a result of this situation, Messi shall not be staying on at FC Barcelona. Both parties deeply regret that the wishes of the player and the club will ultimately not be fulfilled.

FC Barcelona wholeheartedly expresses its gratitude to the player for his contribution to the aggrandisement of the club and wishes him all the very best for the future in his personal and professional life.
Utashangaa Simba wanamchukua. Sijui kwanini wanapenda wachezaji wazee
 
Man City washamchukua Jack na tayari kakabidhiwa jezi namba Kumi... Messi na no 10 kma alizaliwa nayo tusubiri... Jpo PSg watakuwa na nafasi nzuri let's wait
PSG wamchukue Messi wanini wakati ashazeeka. Hawawezi
 
Hawakujua kama Messi atakuwa available hivyo kama mkataba na Kane haujawa tayari sitashangaa wakichomoa betri kwa Kane ili wamsajili Messi.
Hawawezi. Messi ashazeeka. Nani anamtaka.
 
Back
Top Bottom