Rasmi: Barcelona yatangaza Messi kuondoka Klabuni hapo baada ya kushindwa kuongeza Mkataba

Rasmi: Barcelona yatangaza Messi kuondoka Klabuni hapo baada ya kushindwa kuongeza Mkataba

Daah, la liga kwisha, Barcelona kwisha. Sizani kama nitaenderea kuifatilia Barcelona
 
Hana alichopoteza. Kapata kila kitu. Barcelona nayo imefaidika, mpak chenji imebaki.

I'm waiting for La Pulga to prove me wrong, that he won't make it better unless he is at Spain and Barcelona.
Tusiongee unafki mess ana kipaji asilia wapo walokaa ktk klabu bora na wakashindwa kutamba.Licha ya yote mpk timu ya taifa kinara yeye
 
MillardAyoAug 5, 2021

Club ya FC Barcelona imetangaza kuwa staa wao raia wa Argentina Lionel Messi hatoendelea tena kuitumikia FC Barcelona licha ya club na mchezaji kufikia makubaliano ya kubaki.


Barcelona wametangaza kuwa wanalazimika kumuachia Messi aondoke kwa sababu sheria za matumizi ya kifedha kwa vilabu vya LaLiga ndio imeleta kikwazo.

Messi (34) ameitumikia FC Barcelona karibia kipindi chote cha maisha yake, Messi alianza kuichezea timu za vijana za Barcelona toka 2003 alipojiunga nayo akitokea Newell’s Old Boys ya kwao Argentina na mwaka 2004 ndio akaanza kucheza timu ya wakubwa ya Barcelona.
Screenshot_20210806-010509.jpg
Screenshot_20210806-010518.jpg
 
Ukomo wa uwekezaji, wenzetu huwa wana washauri katika uwekezaji ukifikia ukomo huruhusiwi kutoa pesa tena
 
Lenye mwanzo halikosi mwisho...

Alikuwa mtoto mtiifu pale La Masia....

Alikuwa kijana mtiifu ndani ya Nou Camp....

Imefikia kipindi cha "kupeana mikono ya kwaheri"...

Ni LEO mmoja tu....
Ni La Pulga mmoja tu....
Ni La Pulga Atomica mmoja tu....
Ni Messidona mmoja tu......

Siempre La Pulga
Hasta la Pulga!👊😍💪💪👍👍
 
Straight to Manchester City or United. Kastuka walitaka kumlalia michuzi.
MillardAyoAug 5, 2021

Club ya FC Barcelona imetangaza kuwa staa wao raia wa Argentina Lionel Messi hatoendelea tena kuitumikia FC Barcelona licha ya club na mchezaji kufikia makubaliano ya kubaki.


Barcelona wametangaza kuwa wanalazimika kumuachia Messi aondoke kwa sababu sheria za matumizi ya kifedha kwa vilabu vya LaLiga ndio imeleta kikwazo.

Messi (34) ameitumikia FC Barcelona karibia kipindi chote cha maisha yake, Messi alianza kuichezea timu za vijana za Barcelona toka 2003 alipojiunga nayo akitokea Newell’s Old Boys ya kwao Argentina na mwaka 2004 ndio akaanza kucheza timu ya wakubwa ya Barcelona.View attachment 1882056View attachment 1882057
 
Straight to Manchester City or United. Kastuka walitaka kumlalia michuzi.
Breaking: ManCity will NOT be joining the race to sign Lionel Messi. The player is NOT in their plans.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Back
Top Bottom