Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,786
Hakika......Messi kuondoka Barca ni msiba mkubwa sana kwa Barcelona na La liga kwa ujumla,
Good luck the King of all time.
"The king of all time"
La Pulga👊👊
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakika......Messi kuondoka Barca ni msiba mkubwa sana kwa Barcelona na La liga kwa ujumla,
Good luck the King of all time.
🤣Breaking News: Barbara Gonzalez karuka usiku Huu kuelekea Hispania....tumuombee
Breaking: ManCity will NOT be joining the race to sign Lionel Messi. The player is NOT in their plans.
PSG. Man City wameshamchukua Grealish kwa £100m na bado wanamtaka Kane toka Spurz, hawawezi kumchukua Messi, FFP rules zitawabana, japo naamini Guardiola anatamani kufanya kazi na Messi.Straight to Manchester City or United. Kastuka walitaka kumlalia michuzi.
PSG. Man City wameshamchukua Grealish kwa £100m na bado wanamtaka Kane toka Spurz, hawawezi kumchukua Messi, FFP rules zitawabana, japo naamini Guardiola anatamani kufanya kazi na Messi.
Absolutely yes. Jamaa kwa pesa ambazo angewaingizia kwa mauzo ya jezi tu, City wangefaidi sana, halafu pia angewaongezea ile X- factor ambayo huwa wanai-miss kwenye Champions League, remember last time Guardiola anashinda CL title alikuwa na Messi, alivyoondoka Barca hajawahi kushinda tena.Hawakujua kama Messi atakuwa available hivyo kama mkataba na Kane haujawa tayari sitashangaa wakichomoa betri kwa Kane ili wamsajili Messi.
Embu niambie na mimi wapi wanapologa kuongeza ukomo wa maisha aliyonipangia Mungu na mm niende mkuu 🤣 🤣Uchawi tu 😂😂😂, we malkia anaishi miaka jiti unadhani kuna nini hapo 😂😂
Nahisi nafasi imebaki kubwa Kwa PSG maana Man city washatumia mpunga mrefu pia Kwa jackKimeumana. Kun Aguero kamfuata Messi kabaki mwenyewe [emoji3]
Hapo anaenda Mcity au PSG
Timu za La Liga zina hali mbaya sana kifedha.
Project exitUkomo wa uwekezaji, wenzetu huwa wana washauri katika uwekezaji ukifikia ukomo huruhusiwi kutoa pesa tena
Combination ya Messi, Neymar na Mbape itakuwa hatari sanaNahisi nafasi imebaki kubwa Kwa PSG maana Man city washatumia mpunga mrefu pia Kwa jack
Mbape atawakimbia wale, ili akatengeneze utawala wake LaligaCombination ya Messi, Neymar na Mbape itakuwa hatari sana
Kawe mfalme wa England mkuu 😂😂Embu niambie na mimi wapi wanapologa kuongeza ukomo wa maisha aliyonipangia Mungu na mm niende mkuu 🤣 🤣
Upo sahihi mkuu japo ni suala gumu sana laliga kupoteza mvutoNi official aisee nimeona Barcelona wamethibitisha. La liga itapoteza mvuto sasa aiseee. Baada CR7, M10 nae anasepa tena free daah
Yote haya kayataka Haji Manara
Yote haya kayataka Haji Manara
Au ChelseaKweli parefu sana. Ukizingatia clubs zinazolipa mshahara wa hivyo ni zakuhesabika. Labda aende Man City, PSG au China huko atalipwa vizuri.