mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,307
- 12,410
Waingereza walishanusa wakajitoa kwenye eu so hawana majukumu makubwa Sana,Barca na real zote zimefilisika korona nuksi
Pale epl sijui kuna nini vile vilabu havifilisiki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waingereza walishanusa wakajitoa kwenye eu so hawana majukumu makubwa Sana,Barca na real zote zimefilisika korona nuksi
Pale epl sijui kuna nini vile vilabu havifilisiki
Messi alikua tayari kupokea nusu ya mshahara wake lakini bado vitabu vinagomaKuna wakati LaLiga na timu nyinginezo zilidhamiria kuhakikisha zinaisaidia Barca kuweza kumbakisha Messi plae Barca wakiamini alikuwa anaifanya LaLiga ionekane na thamani...
Sasa kama anaondoka, La Liga itarudi kuwa ligi isiyo na mvuto ukichukulia timu zao kubwa zimepigwa kiuchumi haswa na janga la Covid
akienda PSG anakuwa na Ramos ,duh sijawahi kuwaza kwamba itatokea Ramos na Messi kucheza timu mojaNo Ronaldo
No Messi
No Sergio Ramos
End of an era
R.i.p. La liga
Nyie[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Yote haya kayataka Haji Manara
Kwani kabla yake haikua na wafuatiliaji???Ligi ya EPL itakuwa na wafuatiliaji zaidi akienda man City
madrid hawajafilisika wapo vizuri kifedha, wanachanga kibubu wamvute Mbappe.Barca na real zote zimefilisika korona nuksi
Pale epl sijui kuna nini vile vilabu havifilisiki
liverpool hamna hela ya kumsajili.Welcome to Liverpool FC G.O.A.T
View attachment 1881723
Bosman Ruling applies chief.liverpool hamna hela ya kumsajili.
Stop dreaming,maybe on the other planetWelcome to Liverpool FC G.O.A.T
View attachment 1881723
To dream is free, the hustle is sold separately.Stop dreaming,maybe on the other planet
ndo huo mshahara mkuu, kwani unafikiri Barcelona wamemuacha kwa ajili ya nini? pound milioni 64 mshahara tu si ndogo.Bosman Ruling applies chief.
Labda kikwazo kiwe mshahara mkubwa atakaotaka.
Barcelona is not finished.Barcelona has finished
Kweli parefu sana. Ukizingatia clubs zinazolipa mshahara wa hivyo ni zakuhesabika. Labda aende Man City, PSG au China huko atalipwa vizuri.ndo huo mshahara mkuu, kwani unafikiri Barcelona wamemuacha kwa ajili ya nini? pound milioni 64 mshahara tu si ndogo.