Rasmi derby ya kariakoo imekufa, Simba wamekuwa dhaifu kipindi kirefu

UNGEMUACHA AENDELEE KUOTA ILI AKOJOE KITANDANI
 
Mtani huwa nakusifu sana unapitaga kimya kimya ila yakikuzidia inakubidi usimame utoe neno na hapo ujue kilichoandikwa kimekutachi. πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…

Ila pole kwani mnaishi kwa shida sana sasa aisee.
 
Mtani huwa nakusifu sana unapitaga kimya kimya ila yakikuzidia inakubidi usimame utoe neno na hapo ujue kilichoandikwa kimekutachi. πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…

Ila pole kwani mnaishi kwa shida sana sasa aisee.
Ha ha haa! Kimenitachi ndio, hawa vijana usipowaweka kwenye mstari watageuka kuwa wachambuzi wa hali ya hewa. Anasema Simba amefungwa miaka minne! 🀣 🀣 🀣
 
sitakuja Tena tazama Simba na yanga ila nGoja tu nitafute betri MKULIMA yangu(NATIONAL) ifufuliwe
 
Hii ni kweli na kolo yoyote aliye popote ayasaikie haya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…