Rasmi Diamond aiwasilisha Komasava kwenye tuzo za Grammy. Tutatoboa?


Akae mbali tu na ccm then mambo yake yanakuwa mazuri, Bora wa Tanzania kuwa kimya na kutokupiga kura, kuliko kuendesha kampeni ya kuwapinga
 
Hii nina uhakika asilimia 100 tunachukua.

Kiukweli hili ngoma limebamba duniani kote. Beat ni kali, mistari imenyooka, vibe lake ni la asili pia chupa limekaa vizuri.

All the best Platnumz.

Sidhani mkuu. Ngoma imeenda ndiyo lakini kwa muundo wa grammy ulivyo sidhani kama atashinda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…