ielewemitaa
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 10,764
- 9,477
Wewe ndio ulimfira? unaweza kuthibitisha hizo tuhuma zako? kama huwezi wewe unasumbuliwa na wivu tu wa kuachwa mbali kimaendeleo, furaha ya masikini ni kumsema vibaya mtu aliemzidi kipato bila ushahidi wowoteTufanye kafanyiwa halafu pia kutokana na kufanyiwa huko ameniacha kimaendeleo.
Sasa ni hivi wewe fara siwezi kumuonea wivu mwanaume anayepata fedha kwa njia ya kufirwa na mwanaume mwenzake ni bora niendelee kuwa maskini kulipo kuuzalilisha utu wangu
Mimi ni team mondi ila kijana wetu alipelekewa moto bhana huo ndo ukweli wala hakuna wivu apo. SimpleWewe ndio ulimfira? unaweza kuthibitisha hizo tuhuma zako? kama huwezi wewe unasumbuliwa na wivu tu wa kuachwa mbali kimaendeleo, furaha ya masikini ni kumsema vibaya mtu aliemzidi kipato bila ushahidi wowote
Wivu unakusumbua wewe, kama unabisha lete ushahidi wa haya madai yako ? yaani umeandika maneno mengi halafu yote umeegemea kwenye majungu tuHivi wewe jamaa unafikiria did anamiliki kijumba..
Jamaa anamiliki ma mansion watu hata 50 mkakaa ndani msionane .
Na pia ukisikia story za waathirika wengine ni kwamba walikuwa wanapewa vilevi ukivipiga tu unapoteza kumbukumbu ukiamka unajikuta upo kwenye chumba kingine uchi umelala na mwanamke unabaki unajiuliza nilikuwa na sex naye kumbe wahuni wamekusodomise wewe wamekuweka pale kama gheresha.usiyemjua yaani hata hujui kimetokea nini.
Kwa kifupi ndugu story za didi hata si nzuri mwanenu domo aliingia cha kike .
Unaongelea la domo kwenda pale na sweetz, embu tafuta story ya jinsi willy smith anavyojuta kumpeleka mtoto wake wa kumzaa kwa huyo jamaa yeye mwenyewe alimpeleka ila alikuwa hajui michezo ya huyo jamaa..
Cha msingi na sekondari ni vyema tusubiri kesi itakavyiendeshwa mengi yatajitokeza nahisi utaelewa jamaa walikuwa wanaoperate vipi
Wakati anapelekewa mlikuwa wote? haya tuletee uthibitisho wa maneno yakoMimi ni team mondi ila kijana wetu alipelekewa moto bhana huo ndo ukweli wala hakuna wivu apo. Simple
Hakuna sehemu kunasema Wasafi walipewa ulevi sasa hiyo habari umetolea wapiHivi wewe jamaa unafikiria did anamiliki kijumba..
Jamaa anamiliki ma mansion watu hata 50 mkakaa ndani msionane .
Na pia ukisikia story za waathirika wengine ni kwamba walikuwa wanapewa vilevi ukivipiga tu unapoteza kumbukumbu ukiamka unajikuta upo kwenye chumba kingine uchi umelala na mwanamke unabaki unajiuliza nilikuwa na sex naye kumbe wahuni wamekusodomise wewe wamekuweka pale kama gheresha.usiyemjua yaani hata hujui kimetokea nini.
Kwa kifupi ndugu story za didi hata si nzuri mwanenu domo aliingia cha kike .
Unaongelea la domo kwenda pale na sweetz, embu tafuta story ya jinsi willy smith anavyojuta kumpeleka mtoto wake wa kumzaa kwa huyo jamaa yeye mwenyewe alimpeleka ila alikuwa hajui michezo ya huyo jamaa..
Cha msingi na sekondari ni vyema tusubiri kesi itakavyiendeshwa mengi yatajitokeza nahisi utaelewa jamaa walikuwa wanaoperate vipi
Kwahiyo mwamba na wewe ulikuwa kwa Pdidy?Aende aka Pididiwe tena
Wewe kuwa team mond na kuongea vitu ambavyo huna ushahidi vinahusiana vipiMimi ni team mondi ila kijana wetu alipelekewa moto bhana huo ndo ukweli wala hakuna wivu apo. Simple
Gramy huchukui kirahisi hivyo!Mkuu hawa nigggaz pamoja kwamba wanasema mambo Kama hayo
Hawa jamaa wanapambana Diamond anatoa vyuma Sana
Mimi sio shabaki wa muziki wa Tz Ila huyu Dangote chibu simba atakuja kuleta Grammy
Unaona raha sana kuandika ujingaKama pdiddy kamla mondi mara moja hawezi kuchukua alitakiwa aliwe mara ya pili ndo achukue so sad did yupo jela.
ujinga upi mkuu? Kwani we huna habari diddy alikuwa anawatafuna wasanii wenzake halafu anawapa umaarufu na tuzo la grammy? Unadhani burna boy alishindaje grammy?Unaona raha sana kuandika ujinga
Diamond si mara ya kwanza kazi yake kupelekwa Grammy na amewahi pia kufanyiwa interview na Grammy pia hata kabla ya kwenda kwa Pdidy na hapo katikati alikuwa nominated na BET na akashindwa tuzo ikaenda kwa Burna boy ambaye alikuwa chini ya Pdidy.Diamond ameenda na Wasafi kiujumla kwa Pdidy kwaajili ya mziki na imepita miaka mitatu sasa ndio ngoma yake ya komasava aliyotoa hivi karibuni imefanya vizuri worldwide sasa hiyo connection na Pdidy inatoka wapi?ujinga upi mkuu? Kwani we huna habari diddy alikuwa anawatafuna wasanii wenzake halafu anawapa umaarufu na tuzo la grammy? Unadhani burna boy alishindaje grammy?
ndio maana nikasema alitakiwa arudi mara ya pili ili aweze kushinda tuzo la grammy.Diamond si mara ya kwanza kazi yake kupelekwa Grammy na amewahi pia kufanyiwa interview na Grammy pia hata kabla ya kwenda kwa Pdidy na hapo katikati alikuwa nominated na BET na akashindwa tuzo ikaenda kwa Burna boy ambaye alikuwa chini ya Pdidy.Diamond ameenda na Wasafi kiujumla kwa Pdidy kwaajili ya mziki na imepita miaka mitatu sasa ndio ngoma yake ya komasava aliyotoa hivi karibuni imefanya vizuri worldwide sasa hiyo connection na Pdidy inatoka wapi?
Kama ingekuwa ni kutafuta mafanikio kwa njia ya huo mchezo basi Walivyoenda kwa Pdidy baada ya hapo tungeona mafanikio yake kwenye soko la Marekani kama ilivyo kwa burnaboy alivyopasua kwa kipindi kifupi baada tu ya kuwa chini ya Pdidy but haikuwa hivyo kwa mondi.ndio maana nikasema alitakiwa arudi mara ya pili ili aweze kushinda tuzo la grammy.
Unaona raha sana kuandika ujinga
Kwani mkuu hili jukwaa limewekwa kwa kazi gani?mkuu unapambana sana, vipi huwa anakulipa?
Aisee, Diamond anapitia magumu mengi kwa sasa na ndiyo maana anaonekana kuwa mtu wa hasira tu, sijuwi alipakwa mafuta ya aina gani mgongoni.Haiwezi kumsaidia kwani jamaa yupo lupango na washirika wake wengi wamemtenga just imagine hadi vyuo vikuu vilivyomtunuku did honorary degree vimemnyanganya, vyuo vilivyopokea fedha za did kama bursery wamerudisha.
Aliyefaidi oil ya did kwa africa ni burna boy huyu wa kwetu ameliwa bure
Siku sio nyingi Grammy inakuja Tanzania.