Rasmi: I want to Say Good bye to All JF people

Rasmi: I want to Say Good bye to All JF people

Maana mwezi wa pili kipindi Cha valentine alisema ameolewa na amebadili jina anaitwa Mwantumu Khalid Juma Kileo au nadanganya ndugu yangu Lamomy ?😁😁😁
Mi nilimuuliza kwa mwaka anaolewa mara ngapi?? 😂😂😂
 
Sema JF inavituko sana. Yani Lamomy anatuaga kwa kutumia I'd yake nyingine, then anarudi kwenye Uzi huu huu na id zake zingine kujichatisha 😅😅😅

Anyways, Missy Gf na Joannah ndugu yenu leo anataka kuipiga chini I'd yake pendwa
Unapenda kiki kwahiyo umeamua kutuaga ww si id yako hii, pamoja na ya bichwa komwe!! 🤣🤣🤣
Nyie Analyse humu ana id tatu hii ya unique na ya bichwa komwe ni wizo wangu huyu, na huku kwa unique ni da mau 😂😂😂😂
 
Yaani wewe ndio umepata mume?. Kuna mtu wa kutulia na mume hapo kweli?. Ile ngoma ulichomoaga ndio huyo huyo mwamba?.
 
Kwani utamwambia kuwa umeingia jf?! Usiwe muoga kiasi hicho.
 
Back
Top Bottom