Analyse
JF-Expert Member
- Jan 19, 2014
- 17,637
- 47,413
Mtetee tu, ila Ngoja uone akirudi hewani, zote zinarudi 😅😂Usimsingizie huyo kwenye I'd ni wewe tunakujua 🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtetee tu, ila Ngoja uone akirudi hewani, zote zinarudi 😅😂Usimsingizie huyo kwenye I'd ni wewe tunakujua 🤣
Tena hii inayotaka kutelekezwa ikiamka ndio tutajua hatujuiSasa hivi kalala itakuwa. Akirudi hewani, zote zinarudi 😅
Utakuwa umetisha bff 😍Nawalipia ticket za ndege ndugu twendeni
Muhimu tumletee na vyura wa mbagara 😂😂😂🤣🤣🤣Tuandaeni usiku wa vyombo jamani
Unapenda kiki kwahiyo umeamua kutuaga ww si id yako hii, pamoja na ya bichwa komwe!! 🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣 ww unanijulia wapi jamani mbona mazito haya??No Hapana Unique Flower sio Lamomy Kwa bahati nzuri nawajua Hawa wote
Anatupiga na vitu vizito sanaaMi nilimuuliza kwa mwaka anaolewa mara ngapi?? 😂😂😂
Aisee wasikosekaneMuhimu tumletee na vyura wa mbagara 😂😂😂
Na da mau hachelewi kukiwasha akapewa talaka 😂😂😂Aisee wasikosekane
Mimi sio lamommySasa hivi kalala itakuwa. Akirudi hewani, zote zinarudi 😅
True mentalic illness is youMental illness is REAL
Anaona anaangalia naana kuziriaKwani utamwambia kuwa umeingia jf?! Usiwe muoga kiasi hicho.
Kwanza hapa anatuzooom tu akirudi utasikia atavyotuita wanafiki🤣🤣🤣Na da mau hachelewi kukiwasha akapewa talaka 😂😂😂
NIlikuwa naye tu harusi siku yake nawapa link mjionee sherehe sio ya kislam ila utamaduni utakuwa hivyoo nitamwomba max mello aweke hewaniSogea tuishi nazo ni ndoa.