Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣Tuandaeni usiku wa vyombo jamani
Tuandaeni usiku wa vyombo jamani tumuage🤣
Mpaka atutumie picha ya shemelaTuandaeni usiku wa vyombo jamani tumuage🤣
Mpost shemeji basi da mauKaribuni ila hakuna viti
Nimepata mume na kwakweli kwa sababu nilikuwa humu kama mmoja wa wanajf napenda kutoa shukurani kwa wanajf wote, mie nimekuwa na familia ambayo inanitegemea kwa sasa.
Na kama hamtaniona hapa JF nikwamba mambo yamenizidi asanteni na kwaherini. Niwatakie wakati mwema.
N:B Maisha ya ndoa mtu hataki kuona upo busy na JF ataona wivu. 😒😒
Have a blessed time
Wenu ,
Unique Flower
Anatupiga na vyuma vizitoo,Tena chakavuTatizo bi dada Ana maroroso kama yote...tunakuwa hatujamaliza kusoma hili lishakuja jingine 😅
No Hapana Unique Flower sio Lamomy Kwa bahati nzuri nawajua Hawa wote
Sasa hivi kalala itakuwa. Akirudi hewani, zote zinarudi 😅Anaachaje I'd ya kibabe namna hiyo?I'd mashuhuri?