Rasmi: I want to Say Good bye to All JF people

Rasmi: I want to Say Good bye to All JF people

Nilikupenda sana , ila sawa labda na mimi tapata mwenza
Nimepata mume na kwakweli kwa sababu nilikuwa humu kama mmoja wa wanajf napenda kutoa shukurani kwa wanajf wote, mie nimekuwa na familia ambayo inanitegemea kwa sasa.

Na kama hamtaniona hapa JF nikwamba mambo yamenizidi asanteni na kwaherini. Niwatakie wakati mwema.

N:B Maisha ya ndoa mtu hataki kuona upo busy na JF ataona wivu. 😒😒

Have a blessed time
Wenu ,
Unique Flower
 
Kwahiyo jf ni kwajil ya Singo mazaz na majobless?
Punguza matusi hapa utarudi tu kutuomba ushauri. Kila lakheli.
 
Nilikupenda sana , ila sawa labda na mimi tapata mwenza
Sina uwezo wakipesa utakwama utaniomba na.nitakuwa sina nahutopendezwa nayo ni bora umtafute mtu ambaye anajiweza kimaslahi .
Mie naenda kuwa mama toto basi nalea famili nyota yangu ilimalizika zamani sana ilichukuliwa sijui imeenda wapi nimejaribu kila kitu hakiendi sasa inabidi nitulie tu na huyu akiwa nacho sawa . Nyie humu mnataka mkikwama mtu awepo mie nitakupa nini sasa
 
Nimepata mume na kwakweli kwa sababu nilikuwa humu kama mmoja wa wanajf napenda kutoa shukurani kwa wanajf wote, mie nimekuwa na familia ambayo inanitegemea kwa sasa .

Na kama hamtaniona hapa jf nikwamba mambo yamenizidi asanteni na kwaherini. Niwatakie wakati mwema .
N:B maisha ya ndoa mtu hataki kuona upo busy na jf ataona wivu. [emoji19][emoji19]

Have a blessed time
Wenu ,
Unique Flower
Ni suala la muda tu, we nenda ila utatukuta tu hapahapa jamvini,,
 
Sina uwezo wakipesa utakwama utaniomba na.nitakuwa sina nahutopendezwa nayo ni bora umtafute mtu ambaye anajiweza kimaslahi .
Mie naenda kuwa mama toto basi nalea famili nyota yangu ilimalizika zamani sana ilichukuliwa sijui imeenda wapi nimejaribu kila kitu hakiendi sasa inabidi nitulie tu na huyu akiwa nacho sawa . Nyie humu mnataka mkikwama mtu awepo mie nitakupa nini sasa
Wewe nime tunda hayo ya kukuhudumia juu yangu dear
 
Nimepata mume na kwakweli kwa sababu nilikuwa humu kama mmoja wa wanajf napenda kutoa shukurani kwa wanajf wote, mie nimekuwa na familia ambayo inanitegemea kwa sasa.

Na kama hamtaniona hapa JF nikwamba mambo yamenizidi asanteni na kwaherini. Niwatakie wakati mwema.

N:B Maisha ya ndoa mtu hataki kuona upo busy na JF ataona wivu. [emoji19][emoji19]

Have a blessed time
Wenu ,
Unique Flower
Enjoy the marriage.
Mungu akupe baraka tele,Mheshimu na kumtii Mumeo.
 
Nimepata mume na kwakweli kwa sababu nilikuwa humu kama mmoja wa wanajf napenda kutoa shukurani kwa wanajf wote, mie nimekuwa na familia ambayo inanitegemea kwa sasa.

Na kama hamtaniona hapa JF nikwamba mambo yamenizidi asanteni na kwaherini. Niwatakie wakati mwema.

N:B Maisha ya ndoa mtu hataki kuona upo busy na JF ataona wivu. 😒😒

Have a blessed time
Wenu ,
Unique Flower
Kwani jamaa ashaonja mbususu akaridhika nayo?
Usije kurudi na ID mpya humu ukiwaita wanaume mbwa!😀😀😀
Nimepata mume na kwakweli kwa sababu nilikuwa humu kama mmoja wa wanajf napenda kutoa shukurani kwa wanajf wote, mie nimekuwa na familia ambayo inanitegemea kwa sasa.

Na kama hamtaniona hapa JF nikwamba mambo yamenizidi asanteni na kwaherini. Niwatakie wakati mwema.

N:B Maisha ya ndoa mtu hataki kuona upo busy na JF ataona wivu. 😒😒

Have a blessed time
Wenu ,
Unique Flower
 
Back
Top Bottom