Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
- Thread starter
- #161
NdiooEehh usinambie da mau?? 😂
Itabidi nipige outfits za kimasai na rangi yangu ntanoga sana’a
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NdiooEehh usinambie da mau?? 😂
Itabidi nipige outfits za kimasai na rangi yangu ntanoga sana’a
Tulia tu na huyo wako haoni vizuriDuhhhh....
Umempata mdaka chozi..🙁
AlikuwepoHongera kwa kupata mume. KAZI KWAKO
Nimepata mume na kwakweli kwa sababu nilikuwa humu kama mmoja wa wanajf napenda kutoa shukurani kwa wanajf wote, mie nimekuwa na familia ambayo inanitegemea kwa sasa.
Na kama hamtaniona hapa JF nikwamba mambo yamenizidi asanteni na kwaherini. Niwatakie wakati mwema.
N:B Maisha ya ndoa mtu hataki kuona upo busy na JF ataona wivu. 😒😒
Have a blessed time
Wenu ,
Unique Flower
Hapo comment yako umejijazia wewe mie sijaweka loloteKwahiyo jf ni kwajil ya Singo mazaz na majobless?
Punguza matusi hapa utarudi tu kutuomba ushauri. Kila lakheli.
Sina uwezo wakipesa utakwama utaniomba na.nitakuwa sina nahutopendezwa nayo ni bora umtafute mtu ambaye anajiweza kimaslahi .Nilikupenda sana , ila sawa labda na mimi tapata mwenza
Ni suala la muda tu, we nenda ila utatukuta tu hapahapa jamvini,,Nimepata mume na kwakweli kwa sababu nilikuwa humu kama mmoja wa wanajf napenda kutoa shukurani kwa wanajf wote, mie nimekuwa na familia ambayo inanitegemea kwa sasa .
Na kama hamtaniona hapa jf nikwamba mambo yamenizidi asanteni na kwaherini. Niwatakie wakati mwema .
N:B maisha ya ndoa mtu hataki kuona upo busy na jf ataona wivu. [emoji19][emoji19]
Have a blessed time
Wenu ,
Unique Flower
Usiniombee mabaya maana sio chaguo lenu 2019 to 2024 nipo humu unataka nitoke na mkongojoNi suala la muda tu, we nenda ila utatukuta tu hapahapa jamvini,,
Huna takoEh unahasira siolewi kwenu
Wewe nime tunda hayo ya kukuhudumia juu yangu dearSina uwezo wakipesa utakwama utaniomba na.nitakuwa sina nahutopendezwa nayo ni bora umtafute mtu ambaye anajiweza kimaslahi .
Mie naenda kuwa mama toto basi nalea famili nyota yangu ilimalizika zamani sana ilichukuliwa sijui imeenda wapi nimejaribu kila kitu hakiendi sasa inabidi nitulie tu na huyu akiwa nacho sawa . Nyie humu mnataka mkikwama mtu awepo mie nitakupa nini sasa
Enjoy the marriage.Nimepata mume na kwakweli kwa sababu nilikuwa humu kama mmoja wa wanajf napenda kutoa shukurani kwa wanajf wote, mie nimekuwa na familia ambayo inanitegemea kwa sasa.
Na kama hamtaniona hapa JF nikwamba mambo yamenizidi asanteni na kwaherini. Niwatakie wakati mwema.
N:B Maisha ya ndoa mtu hataki kuona upo busy na JF ataona wivu. [emoji19][emoji19]
Have a blessed time
Wenu ,
Unique Flower
Penzi jipya linaletaga wehu fulani hivi!!....N:B Maisha ya ndoa mtu hataki kuona upo busy na JF ataona wivu. 😒😒
Kwani jamaa ashaonja mbususu akaridhika nayo?Nimepata mume na kwakweli kwa sababu nilikuwa humu kama mmoja wa wanajf napenda kutoa shukurani kwa wanajf wote, mie nimekuwa na familia ambayo inanitegemea kwa sasa.
Na kama hamtaniona hapa JF nikwamba mambo yamenizidi asanteni na kwaherini. Niwatakie wakati mwema.
N:B Maisha ya ndoa mtu hataki kuona upo busy na JF ataona wivu. 😒😒
Have a blessed time
Wenu ,
Unique Flower
Nimepata mume na kwakweli kwa sababu nilikuwa humu kama mmoja wa wanajf napenda kutoa shukurani kwa wanajf wote, mie nimekuwa na familia ambayo inanitegemea kwa sasa.
Na kama hamtaniona hapa JF nikwamba mambo yamenizidi asanteni na kwaherini. Niwatakie wakati mwema.
N:B Maisha ya ndoa mtu hataki kuona upo busy na JF ataona wivu. 😒😒
Have a blessed time
Wenu ,
Unique Flower