Rasmi: I want to Say Good bye to All JF people

Rasmi: I want to Say Good bye to All JF people

Nimepata mume na kwakweli kwa sababu nilikuwa humu kama mmoja wa wanajf napenda kutoa shukurani kwa wanajf wote, mie nimekuwa na familia ambayo inanitegemea kwa sasa.

Na kama hamtaniona hapa JF nikwamba mambo yamenizidi asanteni na kwaherini. Niwatakie wakati mwema.

N:B Maisha ya ndoa mtu hataki kuona upo busy na JF ataona wivu. 😒😒

Have a blessed time
Wenu ,
Unique Flower
Ni suala la muda tu nakuhakikishia utarudi tu humu. Hapa ni nyumbani utapakumbuka na itarudi tu
 
Nimepata mume na kwakweli kwa sababu nilikuwa humu kama mmoja wa wanajf napenda kutoa shukurani kwa wanajf wote, mie nimekuwa na familia ambayo inanitegemea kwa sasa.

Na kama hamtaniona hapa JF nikwamba mambo yamenizidi asanteni na kwaherini. Niwatakie wakati mwema.

N:B Maisha ya ndoa mtu hataki kuona upo busy na JF ataona wivu. 😒😒

Have a blessed time
Wenu ,
Unique Flower
Wenye waume mbona humu wapo? Au umepewa sharti kwamba ili ndoa iendelee basi lazima u-left JF?
 
singo maza kapata jitu lake basi anaona jf ni mavi😂😂😂😂 kwahyo ulikua unataka bwana wa kulea vipanya vyako umempata basi unajiona mtu🤣🤣🤣

staki makasiriko
 
singo maza kapata jitu lake basi anaona jf ni mavi😂😂😂😂 kwahyo ulikua unataka bwana wa kulea vipanya vyako umempata basi unajiona mtu🤣🤣🤣

staki makasiriko
Mie sina mtoto nipo single halafu sitaki makasiriko
 
Nimepata mume na kwakweli kwa sababu nilikuwa humu kama mmoja wa wanajf napenda kutoa shukurani kwa wanajf wote, mie nimekuwa na familia ambayo inanitegemea kwa sasa.

Na kama hamtaniona hapa JF nikwamba mambo yamenizidi asanteni na kwaherini. Niwatakie wakati mwema.

N:B Maisha ya ndoa mtu hataki kuona upo busy na JF ataona wivu. 😒😒

Have a blessed time
Wenu ,
Unique Flower
Usiache mbachao kwa msala upitao
 
Wenye waume mbona humu wapo? Au umepewa sharti kwamba ili ndoa iendelee basi lazima u-left JF?
Wanafanya nini maana ukiwa double humu lazima waage mashindano maana humu wengi wanadhani unatafta na hii sio sawa
 
Hongera Sana. No kweli wanaume hatupendi wanawake walio busy kuchat na simu.
 
Nimepata mume na kwakweli kwa sababu nilikuwa humu kama mmoja wa wanajf napenda kutoa shukurani kwa wanajf wote, mie nimekuwa na familia ambayo inanitegemea kwa sasa.

Na kama hamtaniona hapa JF nikwamba mambo yamenizidi asanteni na kwaherini. Niwatakie wakati mwema.

N:B Maisha ya ndoa mtu hataki kuona upo busy na JF ataona wivu. 😒😒

Have a blessed time
Wenu ,
Unique Flower
Mkuu kabla hujaondoka nitumie namba ya yule mzee wa Korogwe.
 
Nimepata mume na kwakweli kwa sababu nilikuwa humu kama mmoja wa wanajf napenda kutoa shukurani kwa wanajf wote, mie nimekuwa na familia ambayo inanitegemea kwa sasa .

Na kama hamtaniona hapa jf nikwamba mambo yamenizidi asanteni na kwaherini. Niwatakie wakati mwema .
N:B maisha ya ndoa mtu hataki kuona upo busy na jf ataona wivu. 😒😒

Have a blessed time
Wenu ,
Unique Flower
Usiwe tu FEMINIST KWAKE.
 
Nimepata mume na kwakweli kwa sababu nilikuwa humu kama mmoja wa wanajf napenda kutoa shukurani kwa wanajf wote, mie nimekuwa na familia ambayo inanitegemea kwa sasa .

Na kama hamtaniona hapa jf nikwamba mambo yamenizidi asanteni na kwaherini. Niwatakie wakati mwema .
N:B maisha ya ndoa mtu hataki kuona upo busy na jf ataona wivu. 😒😒

Have a blessed time
Wenu ,
Unique Flower
hongera japo hakuna jipya chin ya Jua
 
Back
Top Bottom