Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
- Thread starter
- #181
Karibuni ila hakuna vitiNawalipia ticket za ndege ndugu twendeni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karibuni ila hakuna vitiNawalipia ticket za ndege ndugu twendeni
Hapana goodbyeeKwani jamaa ashaonja mbususu akaridhika nayo?
Usije kurudi na ID mpya humu ukiwaita wanaume mbwa!😀😀😀
Ni suala la muda tu nakuhakikishia utarudi tu humu. Hapa ni nyumbani utapakumbuka na itarudi tuNimepata mume na kwakweli kwa sababu nilikuwa humu kama mmoja wa wanajf napenda kutoa shukurani kwa wanajf wote, mie nimekuwa na familia ambayo inanitegemea kwa sasa.
Na kama hamtaniona hapa JF nikwamba mambo yamenizidi asanteni na kwaherini. Niwatakie wakati mwema.
N:B Maisha ya ndoa mtu hataki kuona upo busy na JF ataona wivu. 😒😒
Have a blessed time
Wenu ,
Unique Flower
Wenye waume mbona humu wapo? Au umepewa sharti kwamba ili ndoa iendelee basi lazima u-left JF?Nimepata mume na kwakweli kwa sababu nilikuwa humu kama mmoja wa wanajf napenda kutoa shukurani kwa wanajf wote, mie nimekuwa na familia ambayo inanitegemea kwa sasa.
Na kama hamtaniona hapa JF nikwamba mambo yamenizidi asanteni na kwaherini. Niwatakie wakati mwema.
N:B Maisha ya ndoa mtu hataki kuona upo busy na JF ataona wivu. 😒😒
Have a blessed time
Wenu ,
Unique Flower
Mie sina mtoto nipo single halafu sitaki makasirikosingo maza kapata jitu lake basi anaona jf ni mavi😂😂😂😂 kwahyo ulikua unataka bwana wa kulea vipanya vyako umempata basi unajiona mtu🤣🤣🤣
staki makasiriko
Aah poa.Hapo comment yako umejijazia wewe mie sijaweka lolote
Usiache mbachao kwa msala upitaoNimepata mume na kwakweli kwa sababu nilikuwa humu kama mmoja wa wanajf napenda kutoa shukurani kwa wanajf wote, mie nimekuwa na familia ambayo inanitegemea kwa sasa.
Na kama hamtaniona hapa JF nikwamba mambo yamenizidi asanteni na kwaherini. Niwatakie wakati mwema.
N:B Maisha ya ndoa mtu hataki kuona upo busy na JF ataona wivu. 😒😒
Have a blessed time
Wenu ,
Unique Flower
Wanafanya nini maana ukiwa double humu lazima waage mashindano maana humu wengi wanadhani unatafta na hii sio sawaWenye waume mbona humu wapo? Au umepewa sharti kwamba ili ndoa iendelee basi lazima u-left JF?
Mkuu kabla hujaondoka nitumie namba ya yule mzee wa Korogwe.Nimepata mume na kwakweli kwa sababu nilikuwa humu kama mmoja wa wanajf napenda kutoa shukurani kwa wanajf wote, mie nimekuwa na familia ambayo inanitegemea kwa sasa.
Na kama hamtaniona hapa JF nikwamba mambo yamenizidi asanteni na kwaherini. Niwatakie wakati mwema.
N:B Maisha ya ndoa mtu hataki kuona upo busy na JF ataona wivu. 😒😒
Have a blessed time
Wenu ,
Unique Flower
hahaha upo singo maza🤣🤣🤣🤣Mie sina mtoto nipo single halafu sitaki makasiriko
Jamaniiiii…..Huna popote unapoenda soon utarudi tu humu.
Usiwe tu FEMINIST KWAKE.Nimepata mume na kwakweli kwa sababu nilikuwa humu kama mmoja wa wanajf napenda kutoa shukurani kwa wanajf wote, mie nimekuwa na familia ambayo inanitegemea kwa sasa .
Na kama hamtaniona hapa jf nikwamba mambo yamenizidi asanteni na kwaherini. Niwatakie wakati mwema .
N:B maisha ya ndoa mtu hataki kuona upo busy na jf ataona wivu. 😒😒
Have a blessed time
Wenu ,
Unique Flower
hongera japo hakuna jipya chin ya JuaNimepata mume na kwakweli kwa sababu nilikuwa humu kama mmoja wa wanajf napenda kutoa shukurani kwa wanajf wote, mie nimekuwa na familia ambayo inanitegemea kwa sasa .
Na kama hamtaniona hapa jf nikwamba mambo yamenizidi asanteni na kwaherini. Niwatakie wakati mwema .
N:B maisha ya ndoa mtu hataki kuona upo busy na jf ataona wivu. 😒😒
Have a blessed time
Wenu ,
Unique Flower