Rasmi: I want to Say Good bye to All JF people

Rasmi: I want to Say Good bye to All JF people

Na mimi nimemshauri angalau asigeze mbele ili tujipange tumwage dada yetu.
 
Nimepata mume na kwakweli kwa sababu nilikuwa humu kama mmoja wa wanajf napenda kutoa shukurani kwa wanajf wote, mie nimekuwa na familia ambayo inanitegemea kwa sasa.

Na kama hamtaniona hapa JF nikwamba mambo yamenizidi asanteni na kwaherini. Niwatakie wakati mwema.

N:B Maisha ya ndoa mtu hataki kuona upo busy na JF ataona wivu. 😒😒

Have a blessed time
Wenu ,
Unique Flower
Tunasubir uzi mrefu kutoka kwako baada ya miezi 2 #kataandoandoaniwizi
 
Unique flower

siku moja moja uwe unatukumbuka ndugu zako wa Jf sambamba na hayo tangulia uje utujuze changamoto za ndoa siku moja

Sisitizo:
Ukipata kipigo usikae kimya shea nasi vilevile.
 
Unique flower

siku moja moja uwe unatukumbuka ndugu zako wa Jf sambamba na hayo tangulia uje utujuze changamoto za ndoa siku moja

Sisitizo:
Ukipata kipigo usikae kimya shea nasi vilevile.
Kipigo cha nini
 
Me sitambui Ngoma za Kenya kwendraaaa
me sitambui omollo kwendraaa

Khali graph Jonez 😃😃😃😃😃😃
 
Nimepata mume na kwakweli kwa sababu nilikuwa humu kama mmoja wa wanajf napenda kutoa shukurani kwa wanajf wote, mie nimekuwa na familia ambayo inanitegemea kwa sasa.

Na kama hamtaniona hapa JF nikwamba mambo yamenizidi asanteni na kwaherini. Niwatakie wakati mwema.

N:B Maisha ya ndoa mtu hataki kuona upo busy na JF ataona wivu. 😒😒

Have a blessed time
Wenu ,
Unique Flower
Hongera mahi
 
Nimepata mume na kwakweli kwa sababu nilikuwa humu kama mmoja wa wanajf napenda kutoa shukurani kwa wanajf wote, mie nimekuwa na familia ambayo inanitegemea kwa sasa.

Na kama hamtaniona hapa JF nikwamba mambo yamenizidi asanteni na kwaherini. Niwatakie wakati mwema.

N:B Maisha ya ndoa mtu hataki kuona upo busy na JF ataona wivu. 😒😒

Have a blessed time
Wenu ,
Unique Flower
Duhhhh....
Umempata mdaka chozi..🙁
 
Back
Top Bottom