Mtetee tu, ila Ngoja uone akirudi hewani, zote zinarudi π πUsimsingizie huyo kwenye I'd ni wewe tunakujua π€£
Tena hii inayotaka kutelekezwa ikiamka ndio tutajua hatujuiSasa hivi kalala itakuwa. Akirudi hewani, zote zinarudi π
Utakuwa umetisha bff πNawalipia ticket za ndege ndugu twendeni
Muhimu tumletee na vyura wa mbagara ππππ€£π€£π€£Tuandaeni usiku wa vyombo jamani
Unapenda kiki kwahiyo umeamua kutuaga ww si id yako hii, pamoja na ya bichwa komwe!! π€£π€£π€£
π€£π€£π€£π€£ ww unanijulia wapi jamani mbona mazito haya??No Hapana Unique Flower sio Lamomy Kwa bahati nzuri nawajua Hawa wote
Anatupiga na vitu vizito sanaaMi nilimuuliza kwa mwaka anaolewa mara ngapi?? πππ
Aisee wasikosekaneMuhimu tumletee na vyura wa mbagara πππ
Na da mau hachelewi kukiwasha akapewa talaka πππAisee wasikosekane
Mimi sio lamommySasa hivi kalala itakuwa. Akirudi hewani, zote zinarudi π
True mentalic illness is youMental illness is REAL
Anaona anaangalia naana kuziriaKwani utamwambia kuwa umeingia jf?! Usiwe muoga kiasi hicho.
Kwanza hapa anatuzooom tu akirudi utasikia atavyotuita wanafikiπ€£π€£π€£Na da mau hachelewi kukiwasha akapewa talaka πππ
NIlikuwa naye tu harusi siku yake nawapa link mjionee sherehe sio ya kislam ila utamaduni utakuwa hivyoo nitamwomba max mello aweke hewaniSogea tuishi nazo ni ndoa.