Rasmi: I want to Say Good bye to All JF people

Rasmi: I want to Say Good bye to All JF people

Hicho ni kifo na siyo ndoa. Ndoa inayokutenganisha na jamiiforum ni mbadala wa kifo. Kimbia
 
Wacha mbona hujasema
Mbona unajua kuwa mimi ni mtu wa viwango, na viwango vyangu siku zote ni vitendo, na ndiyo sababu si mwanaccm.
Sasa hako ka royoklasi koteji kako itabidi ukiaga unakwenda kuwaona wazazi tunasipendi hapo, sawa.
Tuu suni tu sei gudibai mai everething'i.
 
Nimepata mume na kwakweli kwa sababu nilikuwa humu kama mmoja wa wanajf napenda kutoa shukurani kwa wanajf wote, mie nimekuwa na familia ambayo inanitegemea kwa sasa.

Na kama hamtaniona hapa JF nikwamba mambo yamenizidi asanteni na kwaherini. Niwatakie wakati mwema.

N:B Maisha ya ndoa mtu hataki kuona upo busy na JF ataona wivu. 😒😒

Have a blessed time
Wenu ,
Unique Flower
unatuambia ndoa ni utumwa
 
Mmh lipia taarifa .lengo ni kutangaza ume pata mume na sio kutoka Jf . Any way uje na iyo ID mpya
 
Nimepata mume na kwakweli kwa sababu nilikuwa humu kama mmoja wa wanajf napenda kutoa shukurani kwa wanajf wote, mie nimekuwa na familia ambayo inanitegemea kwa sasa.

Na kama hamtaniona hapa JF nikwamba mambo yamenizidi asanteni na kwaherini. Niwatakie wakati mwema.

N:B Maisha ya ndoa mtu hataki kuona upo busy na JF ataona wivu. 😒😒

Have a blessed time
Wenu ,
Unique Flower
Naomba tunda
 
Back
Top Bottom