Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona unajua kuwa mimi ni mtu wa viwango, na viwango vyangu siku zote ni vitendo, na ndiyo sababu si mwanaccm.Wacha mbona hujasema
Pole. Una mume ana wivu huyo.Anaona anaangalia naana kuziria
KEsho ndio mwisho wa humu sijui nitawezaPole. Una mume ana wivu huyo.
Sio rahisi bidada. Mazoea hujenga tabia.KEsho ndio mwisho wa humu sijui nitaweza
unatuambia ndoa ni utumwaNimepata mume na kwakweli kwa sababu nilikuwa humu kama mmoja wa wanajf napenda kutoa shukurani kwa wanajf wote, mie nimekuwa na familia ambayo inanitegemea kwa sasa.
Na kama hamtaniona hapa JF nikwamba mambo yamenizidi asanteni na kwaherini. Niwatakie wakati mwema.
N:B Maisha ya ndoa mtu hataki kuona upo busy na JF ataona wivu. 😒😒
Have a blessed time
Wenu ,
Unique Flower
Naomba tundaNimepata mume na kwakweli kwa sababu nilikuwa humu kama mmoja wa wanajf napenda kutoa shukurani kwa wanajf wote, mie nimekuwa na familia ambayo inanitegemea kwa sasa.
Na kama hamtaniona hapa JF nikwamba mambo yamenizidi asanteni na kwaherini. Niwatakie wakati mwema.
N:B Maisha ya ndoa mtu hataki kuona upo busy na JF ataona wivu. 😒😒
Have a blessed time
Wenu ,
Unique Flower
Wewe tena...najutaaa🤣🤣🤣🤣 duh
Nimecheka sana ata sijasoma vzr kila andishi nalosoma naangua kichekWewe tena...najutaaa🤣🤣
Karudi ki vingine😅😅
Alijua kutukimbiza Bora alivyo Rudi kyuti Rey wetu😅😅Nimecheka sana ata sijasoma vzr kila andishi nalosoma naangua kichek
Ahahaha huy ndio mbadala sassAlijua kutukimbiza Bora alivyo Rudi kyuti Rey wetu😅😅