Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Ya maziwa au?Karibu chai
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ya maziwa au?Karibu chai
Ahahahah ninyi mnaniacha hoi sana dahHivi ndoa yako inaendeleaje dia wangu, hautupi update kabisa watu wako wa karibu.....handsome, dark tall yupo au alikua wa kuchora?
Ahahahha unalipi la kuwaambia?
Yupo ...🤣🤣Hivi ndoa yako inaendeleaje dia wangu, hautupi update kabisa watu wako wa karibu.....handsome, dark tall yupo au alikua wa kuchora?
Tumuone ata vidoleYupo ...🤣🤣
Bado tunakupenda, hivyo ndoa ikivunjika usisite kurud tena jfNimepata mume na kwakweli kwa sababu nilikuwa humu kama mmoja wa wanajf napenda kutoa shukurani kwa wanajf wote, mie nimekuwa na familia ambayo inanitegemea kwa sasa .
Na kama hamtaniona hapa jf nikwamba mambo yamenizidi asanteni na kwaherini. Niwatakie wakati mwema .
N:B maisha ya ndoa mtu hataki kuona upo busy na jf ataona wivu. 😒😒
Have a blessed time
Wenu ,
Unique Flower
Hapa sio selfika bn🤣Tumuone ata vidole
Kwhy twende selfika ety?Hapa sio selfika bn🤣
Ndio😅Kwhy twende selfika ety?
Mim naongoza njiaNdio😅
We kaongoNshatuma kule🤣🤣
Nimetuma kule bana🤣We kaongo
Nimemuona sasaNimetuma kule bana🤣
Ndo huyo Shem wako ...mdigo hana bayaNimemuona sasa
Kwakweli ata mimi naona bas selfika na wewe tukuoneNdo huyo Shem wako ...mdigo hana baya
Zam Yako Sasa hiviKwakweli ata mimi naona bas selfika na wewe tukuone