Rasmi: I want to Say Good bye to All JF people

Hicho ni kifo na siyo ndoa. Ndoa inayokutenganisha na jamiiforum ni mbadala wa kifo. Kimbia
 
Wacha mbona hujasema
Mbona unajua kuwa mimi ni mtu wa viwango, na viwango vyangu siku zote ni vitendo, na ndiyo sababu si mwanaccm.
Sasa hako ka royoklasi koteji kako itabidi ukiaga unakwenda kuwaona wazazi tunasipendi hapo, sawa.
Tuu suni tu sei gudibai mai everething'i.
 
unatuambia ndoa ni utumwa
 
Mmh lipia taarifa .lengo ni kutangaza ume pata mume na sio kutoka Jf . Any way uje na iyo ID mpya
 
Naomba tunda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…