Rasmi: I want to Say Good bye to All JF people

Kupata mwenza sio kigezo cha kusay goodbye, au mwenzetu ulikuja na malengo gani humu?

Nakutakia kheri mtunze mumeo
 
Dedication mke wa mtu, unipe mualiko



View: https://youtu.be/uGlN3fiAdXs?si=EPVWq1h1XAJ44IE7
 
Tunaomba radhi kwa wale wote watakaokwazika, mwandishi yuko sahihi kabisa.

Ndugu huyu Ni mgonjwa wetu katika hospital ya crazy for life.

Ambapo siku ya 31/3/2024 ali fanikiwa kutoroka hospital na kuiba simu za ofisi 3, kisha ana anza kuropoka hovyo.

Tunashukuru kwa ushirikiano wenu na tunaahidi tutalishughulikia swala hili hivyo wavumilienii
 
Dogo mtafungua shule lini maana naona Bado mpo likizo, Yani upate Mme ndo uage humu, Bado kumbe una akili za kitoto, Bado unavalishwa nepi kumbe, watu ni maboss na ndoa zao wamo humu mpaka mawaziri hadi rais yumo humu wewe ni nani usiwemo humu eti kisa ndoa, kwani ndoa ndo nini wewe, acha mambo ya kitoto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…