Rasmi: I want to Say Good bye to All JF people

Rasmi: I want to Say Good bye to All JF people

Sasa ndoa na JF kuna mahusiano gani mrembo?Kwamba ukiolewa husalimii kaka zako na mashemeji..huyo mmeo mnashinda mnaangaliana machoni na kushikana mikono??
Kila la kheri na hongera
Ni mpya ikiota sugu nitarudi ila sijui kama nitakuja tena mie huku ni mwanawakukosa kule afadhali ngoja nikapumue nimechoka kujitesa huku mwaya . Nimeonanikubaliane na huyu niwe mama kijacho
 
Mara ya ngapi hii unaaaga? Huna lolote
Nikuambie ukweli best humu jf nimedanganywa sana ndoa ndoa ndoa najitutumua hadi kerooo. Nimechoka sasa kuna huyu muislamu alinitaka na mimi sitaki basi nikaona nije jf kila siku wa jf wanadai ndoa ndoa na maisha ni mtu anazeeka basi imebidi nimkubalie ma harusi soon itafungwa .
 
Kwahiyo umeamua kuniacha Unique flower? Naomba usiniache sikiliza hata nyimbo ya Nyota yako by T.I.D

Pesa siooo mapenziiii🎶
Pesa sio mapenziiiiii🎶
Kwa utenzi huuuuu🎶🎶
Nieleweee baaaaby🎶
Nakuhitaji mpeeenzi🎶
Wewe ndooo faraja yangu🎶
Wewe nd'o faraja yangu🎶
Faraja yangu🎶
You are my baaaaby🎶.
 
Kwahiyo umeamua kuniacha Unique flower? Basi sikiliza hata nyimbo ya Nyota yako by T.I.D

Pesa siooo mapenziiii🎶
Pesa sio mapenziiiiii🎶
Kwa utenzi huuuuu🎶🎶
Nieleweee baaaaby🎶
Nakuhitaji mpeeenzi🎶
Wewe ndooo faraja yangu🎶
Wewe nd'o faraja yangu🎶
Faraja yangu🎶
You are my baaaaby🎶.
Asantee mwaya good night
 
Tunasubir come back yako hapa🥸🥸🥋🥋🥋📌💙
 
Back
Top Bottom