Kwa kuwa allah alishaahidi hivyo, inabidi sasa ajiongeze labda kwa kupanua kiwanda/viwanda vya kutengeneza pombe ili asije kuonekana ni mwongo au amezidiwa.Allah atakuwa Bize kuwapikia Pombe Magaidi wote waliotangulizwa na US na Israel
cc: FaizaFoxy, RitzJeshi la Ulinzi la Israel (IDF) limetangaza kumuua Hashem Safieddine, kiongozi wa kidini aliyekuwa anatajwa kuwa mrithi wa Hassan Nasrallah, kiongozi wa Hezbollah. Kifo chake kilitokea kwenye shambulio la anga lililofanyika karibu na Beirut, Lebanon, takriban wiki tatu zilizopita.
IDF ilithibitisha kwamba Safieddine aliuawa kwenye mashambulizi yaliyofanyika katika maeneo ya kusini mwa mji mkuu wa Lebanon, lakini Hezbollah, ambayo ni kundi lenye ushawishi mkubwa wa Waislamu wa Shia nchini, haijathibitisha taarifa hii.
Tangu wakati huo, maafisa wa Hezbollah wamesema kuwa walipoteza mawasiliano na Safieddine baada ya shambulio lililotokea karibu na uwanja wa ndege wa Beirut tarehe 4 Oktoba.
Soma pia:
Katika taarifa iliyotolewa siku ya Jumanne, IDF ilisema kwamba Safieddine aliuawa pamoja na Ali Hussein Hazima, ambaye alielezwa kama kamanda wa Makao Makuu ya Ujasusi ya Hezbollah. IDF ilimshutumu Safieddine kwa kuongoza "mashambulio ya kigaidi dhidi ya taifa la Israel" kwa muda mrefu, pamoja na kushiriki katika "michakato ya maamuzi makubwa" ya Hezbollah.
Hezbollah, ambayo ina nguvu kubwa katika siasa na jamii za Lebanon, imetajwa kama kundi la kigaidi na Israel, Marekani, na Uingereza.
Hali hii inazidi kuonyesha mvutano wa muda mrefu kati ya Israel na Hezbollah, huku kukiwa na hofu ya kuongezeka kwa machafuko katika eneo hilo.
Source: CNN, The Guardian, Swarajya
Wala hata haangaiki kupika, anawarushia tu kwenye mito ya pombe, wanaogelea. Atakayetaka kunywa, atainywa wakati akiogeleaAllah atakuwa Bize kuwapikia Pombe Magaidi wote waliotangulizwa na US na Israel
Sipati picha hapo itakuwaje akilewa chakar ilhali yupo ndani ya mto kina kirefu.Wala hata haangaiki kupika, anawarushia tu kwenye mito ya pombe, wanaogelea. Atakayetaka kunywa, atainywa wakati akiogelea
Allah anawahadaa, huwezi ukaogelea kwenye Whisky halafu uwashe na Fegi utaungua.Wala hata haangaiki kupika, anawarushia tu kwenye mito ya pombe, wanaogelea. Atakayetaka kunywa, atainywa wakati akiogelea
Inatosha sasa natubu kwa niaba ya viongozi wa Hezbollah na Hamas..Jeshi la Ulinzi la Israel (IDF) limetangaza kumuua Hashem Safieddine, kiongozi wa kidini aliyekuwa anatajwa kuwa mrithi wa Hassan Nasrallah, kiongozi wa Hezbollah. Kifo chake kilitokea kwenye shambulio la anga lililofanyika karibu na Beirut, Lebanon, takriban wiki tatu zilizopita.
IDF ilithibitisha kwamba Safieddine aliuawa kwenye mashambulizi yaliyofanyika katika maeneo ya kusini mwa mji mkuu wa Lebanon, lakini Hezbollah, ambayo ni kundi lenye ushawishi mkubwa wa Waislamu wa Shia nchini, haijathibitisha taarifa hii.
Tangu wakati huo, maafisa wa Hezbollah wamesema kuwa walipoteza mawasiliano na Safieddine baada ya shambulio lililotokea karibu na uwanja wa ndege wa Beirut tarehe 4 Oktoba.
Soma pia:
Katika taarifa iliyotolewa siku ya Jumanne, IDF ilisema kwamba Safieddine aliuawa pamoja na Ali Hussein Hazima, ambaye alielezwa kama kamanda wa Makao Makuu ya Ujasusi ya Hezbollah. IDF ilimshutumu Safieddine kwa kuongoza "mashambulio ya kigaidi dhidi ya taifa la Israel" kwa muda mrefu, pamoja na kushiriki katika "michakato ya maamuzi makubwa" ya Hezbollah.
Hezbollah, ambayo ina nguvu kubwa katika siasa na jamii za Lebanon, imetajwa kama kundi la kigaidi na Israel, Marekani, na Uingereza.
Hali hii inazidi kuonyesha mvutano wa muda mrefu kati ya Israel na Hezbollah, huku kukiwa na hofu ya kuongezeka kwa machafuko katika eneo hilo.
Source: CNN, The Guardian, Swarajya
We naye wametangaza mwezi mzima wamemuwa, kumbe hizo ni fake news kutoka israel si aibu hio. PM na Jeshi lake walitangaza wamemuwa huyo Hashim Seif Dini week tatu za nyuma kumbe waongo.Jeshi la Ulinzi la Israel (IDF) limetangaza kumuua Hashem Safieddine, kiongozi wa kidini aliyekuwa anatajwa kuwa mrithi wa Hassan Nasrallah, kiongozi wa Hezbollah. Kifo chake kilitokea kwenye shambulio la anga lililofanyika karibu na Beirut, Lebanon, takriban wiki tatu zilizopita.
IDF ilithibitisha kwamba Safieddine aliuawa kwenye mashambulizi yaliyofanyika katika maeneo ya kusini mwa mji mkuu wa Lebanon, lakini Hezbollah, ambayo ni kundi lenye ushawishi mkubwa wa Waislamu wa Shia nchini, haijathibitisha taarifa hii.
Tangu wakati huo, maafisa wa Hezbollah wamesema kuwa walipoteza mawasiliano na Safieddine baada ya shambulio lililotokea karibu na uwanja wa ndege wa Beirut tarehe 4 Oktoba.
Soma pia:
Katika taarifa iliyotolewa siku ya Jumanne, IDF ilisema kwamba Safieddine aliuawa pamoja na Ali Hussein Hazima, ambaye alielezwa kama kamanda wa Makao Makuu ya Ujasusi ya Hezbollah. IDF ilimshutumu Safieddine kwa kuongoza "mashambulio ya kigaidi dhidi ya taifa la Israel" kwa muda mrefu, pamoja na kushiriki katika "michakato ya maamuzi makubwa" ya Hezbollah.
Hezbollah, ambayo ina nguvu kubwa katika siasa na jamii za Lebanon, imetajwa kama kundi la kigaidi na Israel, Marekani, na Uingereza.
Hali hii inazidi kuonyesha mvutano wa muda mrefu kati ya Israel na Hezbollah, huku kukiwa na hofu ya kuongezeka kwa machafuko katika eneo hilo.
Source: CNN, The Guardian, Swarajya
Mwingine anayetaka bikira 72 akakalie kiti?. Mususu mususuInshallah amekufa shaheed mwenzrtu anaenda kula raha na wanawake bkra 72 wenye majicho makubwa
Acha mkuu. Maana haitabadilisha chochote ili Mungu asiwe Mtakatifu. Atabaki Mungu aliye Mtakatifu milele. (Mhubiri 7:29Tazama, hili tu nimeliona; Mungu amemfanya mwanadamu mnyofu, lakini wamebuni mavumbuzi mengi.) Sasa hapa kwenye kubuni kila mtu anabuni anachotaka wengine walibuni October 7. Tuuwe wayahudi kwenye sherehe. Na myahudi naye anabuni kumaliza makundi hasimu kwake.Na kama Mungu wa Waisrael ndiyo huyu wa kwenye Biblia basi nitatangaza rasmi kuacha na Biblia kama kitabu kitakatifu.
Hahahaaaa we jamaa.yaani wakawe walevi chakaliiiiiiiiii na bikira zao 72. allah ni sehemu ya mojawapo ya vitukoWala hata haangaiki kupika, anawarushia tu kwenye mito ya pombe, wanaogelea. Atakayetaka kunywa, atainywa wakati akiogelea
HahahaaaaaaAllah anawahadaa huwezi ukaogelea kwenye Whisky halafu uwashe na Fegi utaungua.
Sasa si wewe mkuu kuna aliyekukatazaNa kama Mungu wa Waisrael ndiyo huyu wa kwenye Biblia basi nitatangaza rasmi kuacha na Biblia kama kitabu kitakatifu.
Amekufa shaheed na hezbollah ni washindi wa vitaHaya mmeshamuua ! Kwani vita imekwishaaaa ?? Ndo inapamba moto !
Mungu Jehova alisema kabisa kwamba yeye atawapigania watu wake (Exodus 14:14).Kinachonishangaza zaidi ni Israel inajuaje hawa viongozi walipo.
Ni itelligence au ni nini. Wanapataje taarifa?
Si huwa mnasema wayahudi hawautambui ukristo sasa leo tena inakuwaje muwahusishe nao?Na kama Mungu wa Waisrael ndiyo huyu wa kwenye Biblia basi nitatangaza rasmi kuacha na Biblia kama kitabu kitakatifu.
Ni kweli Wayahudi hawamtambui Yesu kama Masihi ambaye njia ya kweli na uzima ila ata mimi nashangaa imekuaje biblia hiyohiyo inawanadi? Dini iman kaka.Si huwa mnasema wayahudi hawautambui ukristo sasa leo tena inakuwaje muwahusishe nao?