Mateka hio ni gia tu kuendelea kutoa kipigo... watakua walishiauliwa siku nyingiKuna watu wanauliza inawezekanaje Israel wanaweza kufahamu viongozi wote wa hezbollal na Hamas walipo na wanashindwa kujua Mateka wao wamewekwa wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mateka hio ni gia tu kuendelea kutoa kipigo... watakua walishiauliwa siku nyingiKuna watu wanauliza inawezekanaje Israel wanaweza kufahamu viongozi wote wa hezbollal na Hamas walipo na wanashindwa kujua Mateka wao wamewekwa wapi?
Wana Israel wanakufa njaa Ethiopia hapo.God bless Israel
Mkuu huyo Mungu wa Israeli ndiye huyo anaye hubiriwa kwenye bibilia takatifu.tena ndiye aliyefundisha vita (Mwanzo 3:3 ) ili waisraeli wasiwe mlenda mlenda mbele ya wafilisiti,wahit,wahivi,wayebusi n.k, linapokuja suala la kunuiwa kufutwa ulimwenguni hapo ndipo utawajua kwamba amiri jeshi wao ni YAHWE au laaa!.Na kama Mungu wa Waisrael ndiyo huyu wa kwenye Biblia basi nitatangaza rasmi kuacha na Biblia kama kitabu kitakatifu.
Ni kweli Wayahudi hawamtambui Yesu kama Masihi ambaye njia ya kweli na uzima ila ata mimi nashangaa imekuaje biblia hiyohiyo inawanadi? Dini iman kaka.
[/QUOT
Sio kwamba hawaaminu katika bibilia wanaamini saana ndiyo maana suala sadaka ya kikumi kama ni mwajiriwa wanakata hela ikiwa benki kabsaa.Ila kwenye habari ya agano jipya ndo waligoma kulipokea.
Ukipigiwa Mwanao utapotezea??Hivi Mungu wa Israel ni GAIDI?