Ni kweli Wayahudi hawamtambui Yesu kama Masihi ambaye njia ya kweli na uzima ila ata mimi nashangaa imekuaje biblia hiyohiyo inawanadi? Dini iman kaka.
[/QUOT
Sio kwamba hawaaminu katika bibilia wanaamini saana ndiyo maana suala sadaka ya kikumi kama ni mwajiriwa wanakata hela ikiwa benki kabsaa.Ila kwenye habari ya agano jipya ndo waligoma kulipokea.