Mkikuyu- Akili timamu
JF-Expert Member
- Feb 16, 2018
- 4,310
- 7,465
https://www.facebook.com/video.php?v=2572941592775020Hahahaha, hii ni photocopy ya Tanzania, sasa kwanininapoteza pesa mingi badala ya kusema mnatoa " copies" za katiba ya Tanzania?Io katiba sawia na ya urusi kwa Kila namna,Sasa tuseme pia urusi kaiga katiba ya Tanzania?
Ingekua vizuri kama kamati ya BBI ingetaja urusi..Lakini kwa mvutio mkubwa wa nchi iliyo na amani ya afrika imetaja Tanzania.Io katiba sawia na ya urusi kwa Kila namna,Sasa tuseme pia urusi kaiga katiba ya Tanzania?
Sikuwa najuwa. Hivi makamu wa rais wa Urusi ni nani?Io katiba sawia na ya urusi kwa Kila namna,Sasa tuseme pia urusi kaiga katiba ya Tanzania?
Hahahaha, hahahaha, Hahahaha, endeleeni kujifunza mambo mazuri toka Bongo, vipi kuhusu "tribalism" lini mtakuja kuja kujifunza?Delusions of grandeur. Why do you LDC bongolala suffer such inferiority complex.
Kenya had a Prime Minister in the early 60s. And again in 2008.
Even if copying constitutional amendments, Bongolala would not be a top 100 choice.
Delusions of grandeur. Why do you LDC bongolala suffer such inferiority complex.
Kenya had a Prime Minister in the early 60s. And again in 2008.
Even if copying constitutional amendments, Bongolala would not be a top 100 choice.
Io katiba sawia na ya urusi kwa Kila namna,Sasa tuseme pia urusi kaiga katiba ya Tanzania?
Sikuwa najuwa. Hivi makamu wa rais wa Urusi ni nani?
Huyo jamaa hawezi rudi... mlichofanya ni ukatili kwa mtotoPossible, kwasababu Katiba ya Tanzania ilikuwepo kabla ya Katiba ya Urusi...kumbuka Urusi sio USSR.
Kama kamati yenyewe ya mabadiliko imeitaja Tanzania utapinga kwa tija gani?
Tulia sindano iingie.. Tanzania ni baba wa afrika, miaka 30 kenya imehangaika ikitafuta katiba mpya kumbe suluhu ni ku copy paste hekima ya Julius Kambarage Nyerere
Io katiba sawia na ya urusi kwa Kila namna,Sasa tuseme pia urusi kaiga katiba ya Tanzania?