Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lidhaa = RidhaaHabari za muda huu ndugu zangu.
Katika hali ya kawaida ni vigumu kunielewa kama hayajakukuta.
Pombe imeniharibia vingi sana kwenye maisha yangu zaidi ya kunipa faida.
- Pombe imemaliza fedha nyingi mno kiasi ambacho speed ya maendeleo yangu ni madogo ukilinganisha na kipato changu.
- Pombe imenipotezea marafiki wa maaana na kubaki na walevi ambao waliowengi ni wapumbavu.
- Pombe imenitenganisha na Mungu ni marachache sana kwa walevi kwenda ibadani maana jana yake ambapo Jumamosi wamekesha kwenye pombe wakifurahia weekend.
-Pombe imenifanya nipate ajali nyingi kwa mwaka huu tu, jana ilikuwa ajali ya 11 ambapo ilitaka kuchukua uhai wangu kabisa lakini Mungu hakuniacha aendelea kunilinda na kunipa muda wa kujibadilisha[emoji120]
-Pombe imenukutanisha na wanawake wa ajabu kwa ajili tu ya kujiridhisha kimwili ambapo na amini wamebeba laana na mkosi mingi mno, lakini Pia Mungu hakuniacha aliendelea kunilinda Afya yangu bado iko poa.
-Pombe imenifanya kutokuwa mwaminifu kazini, nimekuwa mwizi nguli ili mradi tu nipate hela ya kulewa.
-Pombe imenifanya hadi sasa nina miaka 33+ sina mke wala mtoto na sifikirii najiona mjinga sana katika hili.
Nina mengi mno yakustaajabisha na kutia simanzi sababu ya pombe, Nakiona kifo kipo karibu yangu kama nisipo badilika.
Namshukuru Mungu sana kwa kuendelea kua nami hali ya kuwa nimekuwa nikimkose, Namuomba Mungu sana Leo tarehe 01/07/2022 iwe mwisho wa mahusiano na pombe Maisha yangu yote Eeeh mwenyezi Mungu nisaidie.
Majuto ya pombe huja baada ya tukio la kuumiza lakini utarudi tu. Ushauri mwepesi, achana na pombe za makundi, jifunze kunywa kwa kiasi na fanyia hilo mazoezi kwa kujiwekea kipimo na kukiheshimu.Habari za muda huu ndugu zangu.
Katika hali ya kawaida ni vigumu kunielewa kama hayajakukuta.
Pombe imeniharibia vingi sana kwenye maisha yangu zaidi ya kunipa faida.
- Pombe imemaliza fedha nyingi mno kiasi ambacho speed ya maendeleo yangu ni madogo ukilinganisha na kipato changu.
- Pombe imenipotezea marafiki wa maaana na kubaki na walevi ambao waliowengi ni wapumbavu.
- Pombe imenitenganisha na Mungu ni marachache sana kwa walevi kwenda ibadani maana jana yake ambapo Jumamosi wamekesha kwenye pombe wakifurahia weekend.
-Pombe imenifanya nipate ajali nyingi kwa mwaka huu tu, jana ilikuwa ajali ya 11 ambapo ilitaka kuchukua uhai wangu kabisa lakini Mungu hakuniacha aendelea kunilinda na kunipa muda wa kujibadilisha[emoji120]
-Pombe imenukutanisha na wanawake wa ajabu kwa ajili tu ya kujiridhisha kimwili ambapo na amini wamebeba laana na mkosi mingi mno, lakini Pia Mungu hakuniacha aliendelea kunilinda Afya yangu bado iko poa.
-Pombe imenifanya kutokuwa mwaminifu kazini, nimekuwa mwizi nguli ili mradi tu nipate hela ya kulewa.
-Pombe imenifanya hadi sasa nina miaka 33+ sina mke wala mtoto na sifikirii najiona mjinga sana katika hili.
Nina mengi mno yakustaajabisha na kutia simanzi sababu ya pombe, Nakiona kifo kipo karibu yangu kama nisipo badilika.
Namshukuru Mungu sana kwa kuendelea kua nami hali ya kuwa nimekuwa nikimkose, Namuomba Mungu sana Leo tarehe 01/07/2022 iwe mwisho wa mahusiano na pombe Maisha yangu yote Eeeh mwenyezi Mungu nisaidie.
Una hangover kali tu wewe... Njoo after 3 months utupe mrejesho.Habari za muda huu ndugu zangu.
Katika hali ya kawaida ni vigumu kunielewa kama hayajakukuta.
Pombe imeniharibia vingi sana kwenye maisha yangu zaidi ya kunipa faida.
- Pombe imemaliza fedha nyingi mno kiasi ambacho speed ya maendeleo yangu ni madogo ukilinganisha na kipato changu.
- Pombe imenipotezea marafiki wa maaana na kubaki na walevi ambao waliowengi ni wapumbavu.
- Pombe imenitenganisha na Mungu ni marachache sana kwa walevi kwenda ibadani maana jana yake ambapo Jumamosi wamekesha kwenye pombe wakifurahia weekend.
-Pombe imenifanya nipate ajali nyingi kwa mwaka huu tu, jana ilikuwa ajali ya 11 ambapo ilitaka kuchukua uhai wangu kabisa lakini Mungu hakuniacha aendelea kunilinda na kunipa muda wa kujibadilisha[emoji120]
-Pombe imenukutanisha na wanawake wa ajabu kwa ajili tu ya kujiridhisha kimwili ambapo na amini wamebeba laana na mkosi mingi mno, lakini Pia Mungu hakuniacha aliendelea kunilinda Afya yangu bado iko poa.
-Pombe imenifanya kutokuwa mwaminifu kazini, nimekuwa mwizi nguli ili mradi tu nipate hela ya kulewa.
-Pombe imenifanya hadi sasa nina miaka 33+ sina mke wala mtoto na sifikirii najiona mjinga sana katika hili.
Nina mengi mno yakustaajabisha na kutia simanzi sababu ya pombe, Nakiona kifo kipo karibu yangu kama nisipo badilika.
Namshukuru Mungu sana kwa kuendelea kua nami hali ya kuwa nimekuwa nikimkose, Namuomba Mungu sana Leo tarehe 01/07/2022 iwe mwisho wa mahusiano na pombe Maisha yangu yote Eeeh mwenyezi Mungu nisaidie.
Heri yako wewe umeona, wengine akili na mwili havishirikiani (akili ni tofauti na mwili).Habari za muda huu ndugu zangu.
Katika hali ya kawaida ni vigumu kunielewa kama hayajakukuta.
Pombe imeniharibia vingi sana kwenye maisha yangu zaidi ya kunipa faida.
- Pombe imemaliza fedha nyingi mno kiasi ambacho speed ya maendeleo yangu ni madogo ukilinganisha na kipato changu.
- Pombe imenipotezea marafiki wa maaana na kubaki na walevi ambao waliowengi ni wapumbavu.
- Pombe imenitenganisha na Mungu ni marachache sana kwa walevi kwenda ibadani maana jana yake ambapo Jumamosi wamekesha kwenye pombe wakifurahia weekend.
-Pombe imenifanya nipate ajali nyingi kwa mwaka huu tu, jana ilikuwa ajali ya 11 ambapo ilitaka kuchukua uhai wangu kabisa lakini Mungu hakuniacha aendelea kunilinda na kunipa muda wa kujibadilisha[emoji120]
-Pombe imenukutanisha na wanawake wa ajabu kwa ajili tu ya kujiridhisha kimwili ambapo na amini wamebeba laana na mkosi mingi mno, lakini Pia Mungu hakuniacha aliendelea kunilinda Afya yangu bado iko poa.
-Pombe imenifanya kutokuwa mwaminifu kazini, nimekuwa mwizi nguli ili mradi tu nipate hela ya kulewa.
-Pombe imenifanya hadi sasa nina miaka 33+ sina mke wala mtoto na sifikirii najiona mjinga sana katika hili.
Nina mengi mno yakustaajabisha na kutia simanzi sababu ya pombe, Nakiona kifo kipo karibu yangu kama nisipo badilika.
Namshukuru Mungu sana kwa kuendelea kua nami hali ya kuwa nimekuwa nikimkose, Namuomba Mungu sana Leo tarehe 01/07/2022 iwe mwisho wa mahusiano na pombe Maisha yangu yote Eeeh mwenyezi Mungu nisaidie.
👍Mkuu hongera kwa kujitambua natumaini hujachewa mkuu.
inshort, Pombe na soda si njema kwa afya ni chanzo cha magonjwa sugu kama kisukari,figo, High BP. Watu wamepoteza maisha/uelekeo kwa sababu ya BIA
Nashauri wadau kutumia RED WINE badala ya pombe
Hongera mkuu 🤍
Hapa kwenye familia kuna ka ukweli fulani kwetu pombe ni kama maji ya kunywaMajuto ya pombe huja baada ya tukio la kuumiza lakini utarudi tu. Ushauri mwepesi, achana na pombe za makundi, jifunze kunywa kwa kiasi na fanyia hilo mazoezi kwa kujiwekea kipimo na kukiheshimu.
Kama ukinywa huwezi kujizuia kufanya maovu kama uzinzi au kunywa kupitiliza bora uache kabisa!
Usiache pombe kwa majuto ya muda, jipange ujue kinachokufelisha! Pombe ni sawa na bunduki, mtu akishaua sio bunduki ndio iliyoua!
Yupo jamaa yangu kabla hajaanza kunywa husali kuomba anywe kwa kiasi tena hana aibu, mbele ya kadamnasi anapiga ishara ya msalaba na kuomba! Anasema imemsaidia maana kadri anavyokunywa dhamiri inamsuta na alishaapa kuwa pombe haitamtawala.
Usipojua mzizi wa tatizo utaacha kwa muda tu. Yupo rafiki yangu mwingine amekaa 5 years bila kuonja pombe lakini mkewe kujifungua akajipongeza kwa wine ndio akafungulia balaa hadi leo. Huyu aliacha bila kuchunguza mzizi wa tatizo.
Wengine ni tatizo la kifamilia unakuta pombe ni tatizo linawatesa ( roho ya ulevi). Unaweza kujiapiza kuacha pombe kumbe ni spirit unahitaji deliverance otherwise utarudi tu.
Hili wala usiisingizie pombe kawaida yetu wabongo ni watu wa kupiga kinachofata sasa piga ufanye maendeleo ya maana.- Pombe imenifanya kutokuwa mwaminifu kazini, nimekuwa mwizi nguli ili mradi tu nipate hela ya kulewa.
Tatizo Ni mtu kwasababu unatakiwa ujue limit yako na usizidishee na ndo maana hata wenyewe wanakushauri kabisa kunywa kistaarabu maana wanajua pombe sio chai.Tatizo ni pombe au MTU.....
Sasa hivi kuna mpaka za kupima cha 1000, 500 unapata vibe!Inauma sana na zinashuka bei
achana na pombe za makundi, jifunze kunywa kwa kiasi na fanyia hilo mazoezi kwa kujiwekea kipimo na kukiheshimu.Majuto ya pombe huja baada ya tukio la kuumiza lakini utarudi tu. Ushauri mwepesi, achana na pombe za makundi, jifunze kunywa kwa kiasi na fanyia hilo mazoezi kwa kujiwekea kipimo na kukiheshimu.
Kama ukinywa huwezi kujizuia kufanya maovu kama uzinzi au kunywa kupitiliza bora uache kabisa!
Usiache pombe kwa majuto ya muda, jipange ujue kinachokufelisha! Pombe ni sawa na bunduki, mtu akishaua sio bunduki ndio iliyoua!
Yupo jamaa yangu kabla hajaanza kunywa husali kuomba anywe kwa kiasi tena hana aibu, mbele ya kadamnasi anapiga ishara ya msalaba na kuomba! Anasema imemsaidia maana kadri anavyokunywa dhamiri inamsuta na alishaapa kuwa pombe haitamtawala.
Usipojua mzizi wa tatizo utaacha kwa muda tu. Yupo rafiki yangu mwingine amekaa 5 years bila kuonja pombe lakini mkewe kujifungua akajipongeza kwa wine ndio akafungulia balaa hadi leo. Huyu aliacha bila kuchunguza mzizi wa tatizo.
Wengine ni tatizo la kifamilia unakuta pombe ni tatizo linawatesa ( roho ya ulevi). Unaweza kujiapiza kuacha pombe kumbe ni spirit unahitaji deliverance otherwise utarudi tu.
inayobaki naondoka nayo naitumia kama breakfast asubuhiMimi bia zilikuwa zinanimalizia sana hela. Sasa hivi toka tarehe 13 juni sijagusa, nakunywa konyagi ya 8000 na soda ya 600 na simalizi.
Nikifika kwa mangi naagiza nyagi napiga, ikishapanda kichwani inayobaki naondoka nayo naitumia kama breakfast asubuhi.