Superb2014
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 9,266
- 7,426
Hongera sana kwa kuchagua fungu lililo jema Mungu akusaidie.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja wenge likuishe na udake tena mkwanja wa maana kama hatutokukuta kiti kirefu kauntaHabari za muda huu ndugu zangu.
Katika hali ya kawaida ni vigumu kunielewa kama hayajakukuta.
Pombe imeniharibia vingi sana kwenye maisha yangu zaidi ya kunipa faida.
- Pombe imemaliza fedha nyingi mno kiasi ambacho speed ya maendeleo yangu ni madogo ukilinganisha na kipato changu.
- Pombe imenipotezea marafiki wa maaana na kubaki na walevi ambao waliowengi ni wapumbavu.
- Pombe imenitenganisha na Mungu ni marachache sana kwa walevi kwenda ibadani maana jana yake ambapo Jumamosi wamekesha kwenye pombe wakifurahia weekend.
- Pombe imenifanya nipate ajali nyingi kwa mwaka huu tu, jana ilikuwa ajali ya 11 ambapo ilitaka kuchukua uhai wangu kabisa lakini Mungu hakuniacha aendelea kunilinda na kunipa muda wa kujibadilisha[emoji120]
- Pombe imenukutanisha na wanawake wa ajabu kwa ajili tu ya kujiridhisha kimwili ambapo na amini wamebeba laana na mkosi mingi mno, lakini Pia Mungu hakuniacha aliendelea kunilinda Afya yangu bado iko poa.
- Pombe imenifanya kutokuwa mwaminifu kazini, nimekuwa mwizi nguli ili mradi tu nipate hela ya kulewa.
-Pombe imenifanya hadi sasa nina miaka 33+ sina mke wala mtoto na sifikirii najiona mjinga sana katika hili.
Nina mengi mno yakustaajabisha na kutia simanzi sababu ya pombe, Nakiona kifo kipo karibu yangu kama nisipo badilika.
Namshukuru Mungu sana kwa kuendelea kua nami hali ya kuwa nimekuwa nikimkose, Namuomba Mungu sana Leo tarehe 01/07/2022 iwe mwisho wa mahusiano na pombe Maisha yangu yote Eeeh mwenyezi Mungu nisaidie.
Mdau anafikiri kuacha pombe ni sawa na kuacha chuo. Mziki wa pombe siyo wa kitoto kwani ingekuwa rahisi kila mnywaji angekuwa kaachaLidhaa = Ridhaa
Pombe huwezi kuiacha kirahisi hivyo Kijana
Acha kunitia moyo kwa ninachokifanya.Mimi bia zilikuwa zinanimalizia sana hela. Sasa hivi toka tarehe 13 juni sijagusa, nakunywa konyagi ya 8000 na soda ya 600 na simalizi.
Nikifika kwa mangi naagiza nyagi napiga, ikishapanda kichwani inayobaki naondoka nayo naitumia kama breakfast asubuhi.
Ngoja kwanza nikanywe umenikumbusha
😂😂😂😂😂View attachment 2278580
Punguza umama wewe jamaa.
Acha kuzikandia pombe tafadhali.
Pombe hazihusiki na wewe kutokumiliki gari, kutokujenga Wala kufanya Maendeleo.
Hebu niletee hao wasiokunywa halafu waniambia wanamiliki magari na nyumba ngapi??
#YNWA
Acha kutiisha watu simple way ya kuacha gambe Ni kumkili KRISTO YESU no kuwa Bwana na mwokozi wa maisha yako! Fanya hivyo kiu ya pombe inakatika from no where,kwa msaada wa roho mtakatifu!Mdau anafikiri kuacha pombe ni sawa na kuacha chuo. Mziki wa pombe siyo wa kitoto kwani ingekuwa rahisi kila mnywaji angekuwa kaacha
Huwa uchumi ukiyumba tunapunguza vitu visivyo vya lazima, it's normal mkuu. Ninachojua tu, uchumi wako ukiongezeka tu utairudia pombe kwa speed kubwa mno.
Nini kimekukuta mkuu?Jana nimekunywa kwa mara ya mwisho, Mungu anisaidie!
Jana nimekunywa kwa mara ya mwisho, Mungu anisaidie!