Rasmi kwa ridhaa yangu mwenyewe nimeamua kuacha pombe Eeeh Mwenyezi Mungu nisaidie

Hujachelewa namuomba Mungu akusaidie ushinde ulevi wa pombe + mbususu.
 
Ngoja wenge likuishe na udake tena mkwanja wa maana kama hatutokukuta kiti kirefu kaunta
 
Lidhaa = Ridhaa
Pombe huwezi kuiacha kirahisi hivyo Kijana
Mdau anafikiri kuacha pombe ni sawa na kuacha chuo. Mziki wa pombe siyo wa kitoto kwani ingekuwa rahisi kila mnywaji angekuwa kaacha
 
Acha kunitia moyo kwa ninachokifanya.
 
kuna mwenzio kapigwa pumb kakimbia mjini.
Acheni kulewa kuna vijana washenzi sana.ukilewa TU wanakufanya
 
Issue siyo pombe, ni wewe. We use it, siyo ku-abuse. Wewe ndiyo tatizo usisingizie pombe
 
Kiongozi hizo beer ulikua unakunywa wapi mpaka unakutana na wanawake wa ajabu??
 
If it's coming from your intimacy, congratulations nakushauri uokoke then roho mtakatifu atakusaidia kuzishinda dhambi zote siyo ulevi tu!
 
Mdau anafikiri kuacha pombe ni sawa na kuacha chuo. Mziki wa pombe siyo wa kitoto kwani ingekuwa rahisi kila mnywaji angekuwa kaacha
Acha kutiisha watu simple way ya kuacha gambe Ni kumkili KRISTO YESU no kuwa Bwana na mwokozi wa maisha yako! Fanya hivyo kiu ya pombe inakatika from no where,kwa msaada wa roho mtakatifu!
 
Kiongozi hizo beer ulikua unakunywa wapi mpaka unakutana na wanawake wa ajabu??
Mwanamke yeyote anaejirahisi kwa namna yoyote ile ni waajabu....hakuna mwanamke naejiheshimu ukampata kurahisi hivyo kama tunaowapataga kwenye Mitungi
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huwa uchumi ukiyumba tunapunguza vitu visivyo vya lazima, it's normal mkuu. Ninachojua tu, uchumi wako ukiongezeka tu utairudia pombe kwa speed kubwa mno.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…