Rasmi kwa ridhaa yangu mwenyewe nimeamua kuacha pombe Eeeh Mwenyezi Mungu nisaidie

Vipi mwenye uzi ulifanikiwa ama, maana nami ugonjwa wangu nikiishiwa noti ndo povu kama hili linanitoka, ila nikiona ka text ka simbank mawazo yote yanafutika na kuwa kama akili imejireset. Hili ni pepo la kututia umaskini nitapofanya maamuzi ya kuacha sitomshirikisha mtu ntapambana na hali yangu mpaka kieleweke
 
Mungu akusimamie inaachika bt ngum kwa mara ya kwanza mie nliacha ya kwanza nkaj nkarudia kwa ushawsh wa ndugu yangu tupo bilicanas enz izo 2009 nmegoma akamuita muhudum kusud akamwmbia let castle 2 anajua nakunywaga castle na alijua nmeacha ila alifanya kusud nkanywa lakn kwakua nafs yangu ilishkusudia kucha cz nlikua nafanya stareh sana natumia pesa nyingi japo alhamdelah enz za kikwete kwa sie tulio kweny mizunguko unatumia lak 2 maisha club n bilz unaamka na engover sim zinaita za biashara wamalawi wacongo enz izo wankutumia oder ukatafte nguo kko uwfungie mzigo hela wankuingizia hela aikua ngum km iv sas by de way turud kwenye mada badae nkawa nakwepa siend disko nkitaka kutoka naenda beach washkaj warev ote nkawakatia pombe ya mwisho nakumbuka tulikunywa tumetoka bahar bich kgambon enz zle mwaka mpya souz beach panabamba tulikaa folen kwenye panton toka sa11 ad sa5 asbui nafika home sa6 kasoro kipind iko nakaa mchikchn ndio nkchukia pombe manake ofsn sjaenda duka sijafngua ndugu zangu enyew watu wa visiwan din din ipo ile unarud hom watu ote wanahis uyu mbona anatabia zisiofaa sasa iv ndio ilikua mwisho wang kunywa pombe na naichukia ad leo 12yrs imepita japo nliingia kwenye mirung nayo nikapiga nlivoona inaathir maendeleo unatumia pesa japo sio kama pombe za madem na washkaj pia nayo nikatumia km 5yrs nikaikatia so bro kuacha starrh au kitu kwanza kichukie ndio utakiacha ila ukiacha kwa ajil kina kula pesa siku ukipata pesa utatumia tena ila ukichukia kwa ajil inakudharilisha inapoteza muda na pesa na nguv bas itakua rahs kwako kuacha
 
Mrejesho, mambo yanaenda aje?
 
Amina
 
Kuna shem wangu mmoja ni mlevi mbwaa. Mwezi uliopita kaanguka tuuu puu ndani saa saba mkewe akambeba imajini kutoka nje kuangalia usafiri uzuri wapo krb na barabr. Ndo kupata tax kufika hospital damu imejaa pombe haiitiki dawa yoyote. Maana presha ilikua juu . Basi bwana alipopata fahamu ni Mungu tuu bado yuko nae wakamwambia ukirudia pombe utakufa.. akaacha wiki moja sasa hivi ndo anarudi kabisa asubui kama ni weekend. Ana kazi nzuri hana gari hana nyumba...pombe ni upuuzi
 
Haya Tupe mrejesho wa kauli yako hii uliojiapiza mnamo Tarehe 1/7/2022 , umefikia wapi?_ mana m mwenzio nakunywa kama Catalyst au booster tu sio kulewa hovyo na kuwa mpumbavu kama ulivyokuwa wewe# nipe mrejesho nikupe Code.
 
Haya Tupe mrejesho wa kauli yako hii uliojiapiza mnamo Tarehe 1/7/2022 , umefikia wapi?_ mana m mwenzio nakunywa kama Catalyst au booster tu sio kulewa hovyo na kuwa mpumbavu kama ulivyokuwa wewe# nipe mrejesho nikupe Code.
Kwanza nitake radhi mm sio mpumbavu....tuheshimiane kwa hilo
 
Huo ni uasi unakiasi kikosi chako cha marafiki, itabidi uwalipe fidia kwa kuwatia ukiwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…