Mervin
JF-Expert Member
- Sep 28, 2021
- 1,914
- 2,630
Hata Senegal alivitumia,Kikubwa kusonga mbele hatua inayo fuata.Mmepewa chance ya kutumia vitochi maana ndiyo kitu pekee inaweza kuwaokoa.
Ni njia ya kujiongeza hiyo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata Senegal alivitumia,Kikubwa kusonga mbele hatua inayo fuata.Mmepewa chance ya kutumia vitochi maana ndiyo kitu pekee inaweza kuwaokoa.
Mechi za mwisho zinakuwa muda mmoja ili kuepuka upangaji wa matokeo hasa kwa mechi ambazo zinasubiria uamuzi kwa mchezo wa mwishoAu wanataka iwe muda mmoja na ule wa Asec Mimosas
Sidhani kama una akili ya kawaida ambayo binadamu wengine wanayoWatanzania Kwa ukanjanja!! Mmeshindwa kueleza sababu ya Mechi kubadilishwa Muda mnatuletea huu uongo iliopakwa mafuta? Mashabiki wa Tanzania wanapenda kuangalia Mechi uwanjani Hadi Saa 6 usiku? Jumapili ni siku ya mapumziko kuelekea siku ya kazi Jumatatu, kama ni hiari ya Timu kupanga Muda Kwa nini muwalaze mashabiki wenu saa usiku halafu SAA 11 waamke kujiandaa na kazi?
Kwani kuna ubaya gani kusema ukweli?
Sent from my M2003J15SC using JamiiForums mobile app
Jumatatu utaamkia bar?Tukishashinda tunaunganisha bar hadi asubuhi
Hakika kabisaJumatatu utaamkia bar?
Wale ni shida keko, mikoroshini,tmk,TATIZO UKABAJI[emoji16][emoji16][emoji16].
watoto wa mitaa ile hawafai hata kidogo.hapo wanachekelea tu wakabe simu
Kiaje Mtani?Aise pigo
Hahahahaaa. Lol.Sawa sawa
Huu ujumbe wauone hawa watani zanguAnatoka mtu kwa Mkapa
thimba guvu moyaa
Hajakosea huyo mtu anaemzungumzia ni Adebayo na jeshi lake.
Safari hii mpaka fainali
Hahahaaa. Ntacheka sana hiyo siku.Hajakosea huyo mtu anaemzungumzia ni Adebayo na jeshi lake.
SIMBA NGUVU MOJA
We unataka niseme kitu mnitowe macho eee. 🤣🤣🤣Safari hii mpaka fainali
Kuna utafiti naufanya hasa kwenye nyuzi ambazo Shadeeya anashiriki. Nadhani jumapili itakuwa ndio siku ya kupata jibu langu juu ya utafiti wangu.