Rasmi Mchezo wa Simba Vs USGN ni saa 4:00 Usiku Aprili 3, 2022

Rasmi Mchezo wa Simba Vs USGN ni saa 4:00 Usiku Aprili 3, 2022

Watanzania Kwa ukanjanja!! Mmeshindwa kueleza sababu ya Mechi kubadilishwa Muda mnatuletea huu uongo iliopakwa mafuta? Mashabiki wa Tanzania wanapenda kuangalia Mechi uwanjani Hadi Saa 6 usiku? Jumapili ni siku ya mapumziko kuelekea siku ya kazi Jumatatu, kama ni hiari ya Timu kupanga Muda Kwa nini muwalaze mashabiki wenu saa usiku halafu SAA 11 waamke kujiandaa na kazi?
Kwani kuna ubaya gani kusema ukweli?

Sent from my M2003J15SC using JamiiForums mobile app
Sidhani kama una akili ya kawaida ambayo binadamu wengine wanayo

Ndo maana huachi kuharisha upumbavu wako mutawali kila uchao.

Haya ni Makubaliano na CAF (wenye mpira wao) kwamba michezo yote Kundi D' ipigwe muda mmoja saa 4 Usiku.

Sasa ukanjanja, Uongo unatoka wapi ilhali unaona kabisa kama si kubadilisha Simba SC walipanga kucheza game saa 1: 00 Usiku.

Zero bhana..!
 
Uwiii!! Itabidi kulala kwanza kisha ndo kuamka kushabikia timu ya atokako Babu yangu Mzee Amadou Issoufou. 😅
 
Back
Top Bottom