Rasmi naenda kuacha ajira, Wasomi tumegeuka kituko kwa uoga wa kutegemea matone ya mshahara huku wageni na std 7 wakitajirika kwa rasilimali zilizojaa

Rasmi naenda kuacha ajira, Wasomi tumegeuka kituko kwa uoga wa kutegemea matone ya mshahara huku wageni na std 7 wakitajirika kwa rasilimali zilizojaa

Kusoma tusome sana tu ili tuwe na maarifa mengi ila tusitegemee kuajiriwa. Tusome tendence iwe ni kujiajiri tu, ikitokea opportunity ya kuajiriwa huko ujuzi wetu unakohitajika basi tukasaidie huko. Kama tunasoma ili tuajiriwe tu tutajikuta tumepoteza muda mwingi kusaka ajira huku fursa za kujiajiri zikiwa nyingi na hakuna wa kuziona
Kuajiriwa sio tatizo hasa kwenye nchi kama yetu, ajira inaweza kuwa source nzuri ya mtaji na mkopo wa fasta.

Tatizo ni pale mtu anapokuwa na maono mafupi kwamba ajira ndio aitegemee mpaka kuzeeka, hataki kutumia hela anazoingiza kwenye ajira ama mikopo kujiongezea kipato kwa rasili mali zetu zilizojaa tele.
 
Hongera sana kwa kujitambua na kuchukua maamuzi sahihi ya kuweka dhamana ya maisha yako mikononi mwako. Siri uliyoigundua kamwe haishirikishwi kirahisi.....Karibu sana kwenye game isiyotaka hasira. 🤓
Hatuishi milele, kwa mtu ambae anakaribia 35, life expectancy yake kabakiza takribani miaka 25 tu hapa duniani, katika miaka michache iliyobaki si mbaya kutumia muda wako kujiongezea pottential hasa kwenye nchi kama hii ambayo imependelewa mno rasilimali na amani
 
Dili za upigaji huwa tunaona ni rahisi rahisi tu lakini nyuma ya pazia kuna mnyororo mrefu wa migao a.k.a mchinjo, mtu yule anaweza kusanya laki 5 hadi milioni 2 kila wiki lakini yeye anaambulia elf 50 hadi laki 2, aliemweka hapo hajamweka kwa bahati tu, kuna malengo ya kufikia.

Pesa inaishia kwenye vitu vya anasa maana akifanya maendeleo atastukiwa kumiliki vitu vinavyozidi kipato chake halali, ndio maana wengi wakistaafu hadi tunawashangaa huku mitaani.
Kuna Mzee Huwa anauliza kwamba hivi mapesa yote ambayo Watumishi wenye Vyeo Huwa wanapata yanaendaga wapi?

Huwa namjibu kwamba pesa ambayo hujaitolea jasho ambayo ni dhuluma haiwezi kukaa na pia mtu wa hivyo hawezi simamia pesa ikazalisha maana Kuzalisha kitu Inahitaji sucrifice sio sawa na kuandika posho Ofisini au kupata pesa za Dili.
 
Biashara nilizonazo nilizianza huku nipo kazini, hadi hapa nilipo biashara zinanilipa lakini haikuwa rahisi, uzoefu nimeupata kwa maumivu kadhaa ikiwemo kuambulia maumivu ya biashara kufilisika, kupigwa na vijana wa dukani, kupigwa faini na tra kwa kuchukulia poa mambo ya kodi, n.k. kupitia haya nimepata kujua pesa inahitaji discipline, ni muhimu kuhesabu na kukagua mzigo, kodi za tra ni muhimu sana kuzingatia, Kufungua biashara mpya wekeza muda ujifunze na kupata connections zake kwanza kabla ya kuweka mtaji, n.k. naacha kazi kwenda kuendeleza biashara, siachi kazi kwenda kuanzisha biashara na sishauri kabisa mtu aache kazi kwenda kuanzisha biashara ama kuendeleza biashara ambayo ndio kwanza anaianza.

And the time is now.

Sisi watanzania kundi la wasomi nimekuja kushangaa sana inakuwaje tumejaaliwa rasilimali kibao sana na kwa hali ya kawaida ilitakiwa sisi tuwe mstari wa mbele kuzi exploit lakini badala yake tunawaachia wageni na watanzania wenzetu wenye elimu za chini wanafaidika nazo mno wakati huo sisi wasomi hizi dgree ni kama zimetupiga limbwata kuwa nandoto za kuzeekea kwenye ajira, ni kweli kuanza maisha kwenye ajira sio tatizo ila shida ni kulala usingizi wa pono kuridhika mazima na matone ya mshahara mpaka uzeeni.

Itoshe kusema ajira imeweza kunipa pesa za kujitegemea, gari, mikopo ya fasta, n.k ila sasa ni muda wangu ku venture other oppurtunities.

Nimeamua niingie kwenye biashara za rasili mali zetu tulizojaalowa kwa upendeleo mkubwa sana hapa Tanzania, mwaka jana pekee niliingiza zaidi ya mara 4 ya mshahara wangu + posho za mwaka mzima net profit faida baada ya kuondoa gharama zote and i am barely 35 and very energetic, why nimalizie prime yangu kwenye kusubiri mshahara na posho ? Hell No !! hapana kwakweli !!, i am set to go, My plan ni kuacha ajira hata sasa ila kwa sababu kadhaa ambazo ni external factors ntaacha mwakani .

Nashukuru kiingereza cha kumingle kwenye soko kinapanda, nimepata exposure kwenda nje ya nchi kitu kilichofanya nijue kwamba watanzania tunachezea fursa za rasili mali zetu, nina idle connections sababu ya uoga wangu but ni muda wa kuzifanya ziwe active.

Pia kwa umri milionao life expectancy yangu nimebakiza takribani miaka 25 tu hapa duniani, pengine labda chini ya hapo, kwa muda huu mchache uliobaki ni muda wa kurudisha fadhila kwamba nimezaliwa nchi ambayo ina vitu adimu sana vikiwemo amani na rasilimali kibao, ni vitu ambavyo tunavichukulia poa ila tembeeni muone thamani ya hivi vitu aisee, I know i can na nitaweza kufaidi keki ya rasilimali za nchi yetu nao watoto wakikua wakute mambo nishayaseti wafaidi matunda ya rasilimali ya nchi yao, I know i can and i must.
Andika barua ya likizo bila malipo mkuu usiache kazi hakuna anayependa kuteseka kwenye ajira ila familia zetu za Africa zina changamoto sana.
 
Kwa sababu kaajiriwa hivyo sio tajiri au sababu aloyemuajiri ndio tajiri?.
Utajiri umeudifaini vipi ili tuilewe hoja yako

Mana kwa muktadha huu hata christiano Ronaldo pamoja na kuongoza elfu sita kila sekunde moja sio tajiri
Ajira ya talent ni tofauti na ajira ya vyeti
 
Acha kazi upambanie ndoto zako.
Mwanaume lazima uwe na ujasiri sio kulegeza mattyakko utaishia kumiliki IST na rav 4 used ya mkononi mwa mtu.
Kabisa ndugu, kuifikia ndoto yangu napaswa kupambana sana pia kuchukua maamuzi magumu pale inapobidi kufanya hivyo.
 
Mimi ni ajira mpya, nimeajiriwa mwezi Oktoba mwaka huu ila baada ya kuona haya mambo ya huku Halmashauri hayaeleweki nimeamua rasmi Januari naacha kazi.
Bora ukafanya maamuzi yako mapema kabla hujamezeshwa hofu isiyo na kifani, na watumishi wenzako waoga.
 
Mkuu,wewe ndie tunaweza kuzungumza kwa kina. Ulidumu muda gani kazini? Mimi nina miezi mitatu tu ila rasmi January naiacha hii kazi.
MM nimefqbya miez nane tu yule aliyeniqchia kafanya miez mitatu tu. Ile ofisi haikai na wafanyakaxi mana inawaonaga nyani tu. Mara kuwatisha kuwaachisha kazi. Nq mm ukinitisha ni kama umenifukuza tu. Mapema nikala time zangu
 
Biashara nilizonazo nilizianza huku nipo kazini, hadi hapa nilipo biashara zinanilipa lakini haikuwa rahisi, uzoefu nimeupata kwa maumivu kadhaa ikiwemo kuambulia maumivu ya biashara kufilisika, kupigwa na vijana wa dukani, kupigwa faini na tra kwa kuchukulia poa mambo ya kodi, n.k. kupitia haya nimepata kujua pesa inahitaji discipline, ni muhimu kuhesabu na kukagua mzigo, kodi za tra ni muhimu sana kuzingatia, Kufungua biashara mpya wekeza muda ujifunze na kupata connections zake kwanza kabla ya kuweka mtaji, n.k. naacha kazi kwenda kuendeleza biashara, siachi kazi kwenda kuanzisha biashara na sishauri kabisa mtu aache kazi kwenda kuanzisha biashara ama kuendeleza biashara ambayo ndio kwanza anaianza.

And the time is now.

Sisi watanzania kundi la wasomi nimekuja kushangaa sana inakuwaje tumejaaliwa rasilimali kibao sana na kwa hali ya kawaida ilitakiwa sisi tuwe mstari wa mbele kuzi exploit lakini badala yake tunawaachia wageni na watanzania wenzetu wenye elimu za chini wanafaidika nazo mno wakati huo sisi wasomi hizi dgree ni kama zimetupiga limbwata kuwa nandoto za kuzeekea kwenye ajira, ni kweli kuanza maisha kwenye ajira sio tatizo ila shida ni kulala usingizi wa pono kuridhika mazima na matone ya mshahara mpaka uzeeni.

Itoshe kusema ajira imeweza kunipa pesa za kujitegemea, gari, mikopo ya fasta, n.k ila sasa ni muda wangu ku venture other oppurtunities.

Nimeamua niingie kwenye biashara za rasili mali zetu tulizojaalowa kwa upendeleo mkubwa sana hapa Tanzania, mwaka jana pekee niliingiza zaidi ya mara 4 ya mshahara wangu wa mwaka mzima, mwaka huu upo ukingoni kuisha nimepata ongezeko la asilimia 60% ya nilichoingiza mwaka jana, kwenye biashara mpya niliyoanzisha mwaka huu imeanza kuchanganya mwezi wa 10 napata faida almost nusu ya mshahara wangu kila mwezi na hapo bado haija mature vizuri nategemea iingize mara 2 ya mshahara kufikia mwezi wa 8 mwakani.

and i am barely 35 and very energetic, why nimalizie prime yangu kwenye kusubiri mshahara na posho ? Hell No !! hapana kwakweli !!, i am set to go, My plan ni kuacha ajira hata sasa ila kwa sababu kadhaa ambazo ni external factors ntaacha mwakani .

Nashukuru kiingereza cha kumingle kwenye soko kinapanda, nimepata exposure kwenda nje ya nchi kitu kilichofanya nijue kwamba watanzania tunachezea fursa za rasili mali zetu, nina idle connections sababu ya uoga wangu but ni muda wa kuzifanya ziwe active.

Pia kwa umri milionao life expectancy yangu nimebakiza takribani miaka 25 tu hapa duniani, pengine labda chini ya hapo, kwa muda huu mchache uliobaki ni muda wa kurudisha fadhila kwamba nimezaliwa nchi ambayo ina vitu adimu sana vikiwemo amani na rasilimali kibao, ni vitu ambavyo tunavichukulia poa ila tembeeni muone thamani ya hivi vitu aisee, I know i can na nitaweza kufaidi keki ya rasilimali za nchi yetu nao watoto wakikua wakute mambo nishayaseti wafaidi matunda ya rasilimali ya nchi yao, I know i can and i must.
Mkuuu nakuunga mkono... Nilichelewa ingia serikalini na nimehustle sana mtaaani lkni sikuwahi kuwaza kwenda omba kibarua Kwa mtu. Nimeingia serikali around two years ago but Kwa experience ya mtaaani naona serikalini kunapwaya sana
 
Biashara nilizonazo nilizianza huku nipo kazini, hadi hapa nilipo biashara zinanilipa lakini haikuwa rahisi, uzoefu nimeupata kwa maumivu kadhaa ikiwemo kuambulia maumivu ya biashara kufilisika, kupigwa na vijana wa dukani, kupigwa faini na tra kwa kuchukulia poa mambo ya kodi, n.k. kupitia haya nimepata kujua pesa inahitaji discipline, ni muhimu kuhesabu na kukagua mzigo, kodi za tra ni muhimu sana kuzingatia, Kufungua biashara mpya wekeza muda ujifunze na kupata connections zake kwanza kabla ya kuweka mtaji, n.k. naacha kazi kwenda kuendeleza biashara, siachi kazi kwenda kuanzisha biashara na sishauri kabisa mtu aache kazi kwenda kuanzisha biashara ama kuendeleza biashara ambayo ndio kwanza anaianza.

And the time is now.

Sisi watanzania kundi la wasomi nimekuja kushangaa sana inakuwaje tumejaaliwa rasilimali kibao sana na kwa hali ya kawaida ilitakiwa sisi tuwe mstari wa mbele kuzi exploit lakini badala yake tunawaachia wageni na watanzania wenzetu wenye elimu za chini wanafaidika nazo mno wakati huo sisi wasomi hizi dgree ni kama zimetupiga limbwata kuwa nandoto za kuzeekea kwenye ajira, ni kweli kuanza maisha kwenye ajira sio tatizo ila shida ni kulala usingizi wa pono kuridhika mazima na matone ya mshahara mpaka uzeeni.

Itoshe kusema ajira imeweza kunipa pesa za kujitegemea, gari, mikopo ya fasta, n.k ila sasa ni muda wangu ku venture other oppurtunities.

Nimeamua niingie kwenye biashara za rasili mali zetu tulizojaalowa kwa upendeleo mkubwa sana hapa Tanzania, mwaka jana pekee niliingiza zaidi ya mara 4 ya mshahara wangu wa mwaka mzima, mwaka huu upo ukingoni kuisha nimepata ongezeko la asilimia 60% ya nilichoingiza mwaka jana, kwenye biashara mpya niliyoanzisha mwaka huu imeanza kuchanganya mwezi wa 10 napata faida almost nusu ya mshahara wangu kila mwezi na hapo bado haija mature vizuri nategemea iingize mara 2 ya mshahara kufikia mwezi wa 8 mwakani.

and i am barely 35 and very energetic, why nimalizie prime yangu kwenye kusubiri mshahara na posho ? Hell No !! hapana kwakweli !!, i am set to go, My plan ni kuacha ajira hata sasa ila kwa sababu kadhaa ambazo ni external factors ntaacha mwakani .

Nashukuru kiingereza cha kumingle kwenye soko kinapanda, nimepata exposure kwenda nje ya nchi kitu kilichofanya nijue kwamba watanzania tunachezea fursa za rasili mali zetu, nina idle connections sababu ya uoga wangu but ni muda wa kuzifanya ziwe active.

Pia kwa umri milionao life expectancy yangu nimebakiza takribani miaka 25 tu hapa duniani, pengine labda chini ya hapo, kwa muda huu mchache uliobaki ni muda wa kurudisha fadhila kwamba nimezaliwa nchi ambayo ina vitu adimu sana vikiwemo amani na rasilimali kibao, ni vitu ambavyo tunavichukulia poa ila tembeeni muone thamani ya hivi vitu aisee, I know i can na nitaweza kufaidi keki ya rasilimali za nchi yetu nao watoto wakikua wakute mambo nishayaseti wafaidi matunda ya rasilimali ya nchi yao, I know i can and i must.


Umefanya maamuzi mazuri sana, yana malipo sana, ila yanaweza kukupitisha kwenye moto na kipindi kigumu, cha maana umeamua mwenyewe, then utaweza vumilia kuelekea nchi ya ahadi.
 
Back
Top Bottom