ilala yetu
JF-Expert Member
- Apr 10, 2015
- 1,451
- 2,348
Mkuu wewe ni mwanasoka kweli,povu linakutoka ivo kwa mechi moja tu.simba haiwezi kua kama africa lion ila tabia ya kuingilia uhuru wa watu wa jeuri ya pesa hauna afya kwa team yetu, bila upuuzi ule tungeendelea kumshuhudia chama msimu huu.
Yupo anasikilizia mauvivu humu tupo sie wenye roho ngumuJamaa yako Mightier amepotelea wapi?
Simba alisha fungwa na Yanga akiwemo Chama na wengineo mara kadhaa, Mpira wa Tanzania hassa Simba na Yanga wanauharibu sana, jaribu ufikirie uongozi wote wa Yanga na mwekezaji hawakujua kuna mechi muhimu ya Yanga na Rivers united Caf Champions league...
Jana simba walionyesha mpira mbovuUelewa wako kwenye mpira ni mdogo kama wangu au mapenzi yako yamebebwa kwa ushabiki wenye kutaka ushindi kila siku bila kukubari mchakato. Zingatia yafuatayo...
Umeongea point, Karia na TFF take wamechangia kwa kiwango kikubwa sana ubingwa wa mbeleko waliopata Simba.Usihofu. Karia na timu yake bado wapo.
mkuu ukichukua jumla ya magoal na assist za chama kwa misimu 3 alokua simba hakuna mchezaji anaemfikia wala kumkaribia kwenye ligi yetu.Kwani nkuulize swali.. chama ndio alikuwa mfungaji bora au hawakuwepo simba ilipofungwa na yanga mechi zilizotangulia.? Pili hata kina chama na Luis mwanzo mliwabeza mkaja kuwaelewa baadae tulia utajua hujui kunywa mtori nyama utazikuta
Walio mleta chama ndio hao hao.wamemuuza na kutuletea wengine hivyo hata yeye mwanzo.alisua sua tujipe muda chukulia city alianza vibaya ila now anauwasha balaamkuu ukichukua jumla ya magoal na assist za chama kwa misimu 3 alokua simba hakuna mchezaji anaemfikia wala kumkaribia kwenye ligi yetu.
Povu liko wapi.? Povu ni wewe ndio unafua vitu ambavyo.vimetakata tayari jifunze hata kwa kutazama ligi za mbele upo na bei si ilishasemwa au hukuipata hiyo. ?Povu [emoji1787]
[emoji419][emoji419]ukichukua magoal aloyatengeneza chama(assist+magoal) ndani ya misimu 3 hakuna mchezaji anaemfikia wala kumkaribia, inshort chama alikua na dunia yake kwenye ligi yetu.
Dah hoja ya mwisho ni fikirishi sana, unakataa mkataba mnono wa mabilioni kutoka Azam unaenda kusaini mkataba wa mamilioni milioniNaiona Simba inakwenda kuwa kama Africa Lyon. Nimeanza kuingiwa na shaka na huyu mwekezaji. Tabia yake ya kuingilia uhuru wa wachezaji, ubahili, kutokujua jinsi ya kuimarisha brand ya Simba kiasi cha kununua mabasi ya kishamba matatu!
Nilikuwa nafuatilia mwalimu alimtaka Aucho,ila ubahili ukafanya Yanga wamnunue.Pamoja na kuamimishwa kuwa huyu mwekezaji ana hela,bado alikuwa hawezi kushindana na Yanga wakitaka mchezaji.
Nini kiliwazuia wasisaini mkataba mnono na Azam waliosaini Yanga?Kama tulikataa bilioni 48 za Azam,tunawezaje kujisifia kwa kusaini 800M kwa miaka minne?Kama ni ushindani wa biashara, basi weka wewe hiyo pesa timu inunue wachezaji wazuri
Watu hawalalamikii matokeo bali performance ya timu. Kwanza kwenye mapinduzi hawakuwepo chama na Miquissone. Kinacholalamikiwa ni namna timu jana inavyopigiwa mpira biriani huku washabiki wa Simba wakishikilia moyo kwa woga. Lakini mechi za nyuma wakiwepo wakina chama, Yanga hata Kama wameshinda wanaomba mpira uishe. Mashabiki wa Yanga amani hawana mpaka kipenga cha mwisho ndio wanashukuruKila mtu eti amekua mchambuzi wa soka.
Msimu uliokwisha kwenye mapinduzi cup Zanzibar Yanga walibeba ubingwa Chama na Merquison wakiwemo.
Kwenye mechi ya ligi pia msimu uliokwisha Yanga mbovu kuliko zote walipata goli dakika za mwanzo kama mechi ya jana kika ng'ang'ania mpaka mwisho,Chama na Merquisone wakiwemo.
Mechi za Darby sio mechi za kawaida bali ni vita vikuu vya soka.
Lete takwimu za mechi ya jana kaka afu nambie ubovu wao ulikuwa wapi? Ukishindwa kupata takwimu ingia azam TV au kwa Shafi Dauda.)Jana simba walionyesha mpira mbovu
...Polani mkuu, wenzio watakuita Uto.Naiona Simba inakwenda kuwa kama Africa Lyon. Nimeanza kuingiwa na shaka na huyu mwekezaji. Tabia yake ya kuingilia uhuru wa wachezaji, ubahili, kutokujua jinsi ya kuimarisha brand ya Simba kiasi cha kununua mabasi ya kishamba matatu!
Nilikuwa nafuatilia mwalimu alimtaka Aucho,ila ubahili ukafanya Yanga wamnunue.Pamoja na kuamimishwa kuwa huyu mwekezaji ana hela,bado alikuwa hawezi kushindana na Yanga wakitaka mchezaji.
Nini kiliwazuia wasisaini mkataba mnono na Azam waliosaini Yanga?Kama tulikataa bilioni 48 za Azam,tunawezaje kujisifia kwa kusaini 800M kwa miaka minne?Kama ni ushindani wa biashara, basi weka wewe hiyo pesa timu inunue wachezaji wazuri
Hata kama wangebaki na timu ingepoteza bado maneno kwa wapiga domo yasingekosekana.Simba ya msimu huu ni kupigwa tu,sikupenda wale wachezaji kuondoka.They were the game changers
Wao si ndio watapanga hayo matokeo ya uwanjani indirectly.bila matokeo ya uwanjani karia hana msaada wowote.