Rasmi nimeacha kuangalia mechi za Chelsea FC

AlphaMale_

Senior Member
Joined
Aug 12, 2023
Posts
182
Reaction score
455
Wana sports leo ilikuwa mfululizo wa kipigo kwetu wana blues, kiukweli huwa naumia sana sasa kwa kuwa sisi huu msimu hatuna timu kabisa

Yaani usajili wote ni majeruhi na flop nimeamua kujiweka pembeni kwanza maana nitakua sina amani kabisa

Mpaka siku nikijaliwa kuingia kabsa Stamford Bridge

Poleni sana pia na nyie “Nyumbu”
 

Attachments

  • 771C8B26-8431-402F-9A28-BD7174D59FB5.jpeg
    41.6 KB · Views: 2
Hahaaaa !
Kweli chama letu linakera sana mzee
Mpaka umeanzisha uzi
Si mchezo
 
Mbona man u tushazoea tangu babu amestaafu
 
Tatzo mlikuta timu ina mafanikio mkaanza ishabikia. Shabiki wa kweli anaangalia mechi nyakati zote mbaya na nzuri.

Pole
huyu sio shabiki wa blues mtu kama hafamu ajern roben kacheza chelsea anawezaje kupata uchungu wa timu kaanza kuitazama chelsea ya kina james
 
huyu sio shabiki wa blues mtu kama hafamu ajern roben kacheza chelsea anawezaje kupata uchungu wa timu kaanza kuitazama chelsea ya kina james
Nimeanza kupenda chelsea even Roman ibraimovic hajanunua na chelsea haijawa na legacy yoyote

najua chungu na tamu lkn hii team ya mwaka huu ni uwozo
 
Mimi ni shabiki wa Yanga na Chelsea. Ila kiukweli sikufurahiwa na ile dhuluma aliyofanyiwa Abramovich baada ya nchi yake ya Urusi kuivamia Ukraine.

Kwa hiyo hata haya mapito wanayopitia kwa sasa, mimi naona ni sawa tu kwao.
 
Mimi ni shabiki wa Yanga na Chelsea. Ila kiukweli sikufurahiwa na ile dhuluma aliyofanyiwa Abramovich baada ya nchi yake ya Urusi kuivamia Ukraine.

Kwa hiyo hata haya mapito wanayopitia kwa sasa, mimi naona ni sawa tu kwao.
sasa wew shabiki wa siasa au mpira? kwan ile ni dhuruma au sheria za nchi?
 
Ile ni dhuluma ya wazi kabisa dhidi ya wawekezaji kutoka nje. Maana aliyeivamia urusi ni Putin! Sasa kwa nini zitaifishe mali za Warusi?

Mimi siyo mtu wa kuunga mkono mambo ya kijinga.
Hujui lolote bora ukae kimya
 
Kuna wachezaji wa kiswahili pale Chelsea ni bure kabisa kama Johnstone na Sterling yaani ni msalaba kabisa kwa timu.

Vilevile Pochettino sio kocha wa kuweza kufundisha timu kubwa kama Chelsea ni sawa na kulazimisha mwalimu wa sekondari afundishe chuo, angalia alivyoifanya PSG. Pochettino bure kabisa.
 
Chelsea kiungo na kidogo nyuma angalau wanauhai, mbele kule ndiyo kuna utoto wa kutisha mechi ya jana kama kule mbele wangekuwa serious wangeshinda hata goli 4.
Makosa ya viungo na beki yanaonekana baada ya ujinga wa forward kule mbele wakiongozwa na stering et al
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…