Rasmi nimeacha kuangalia mechi za Chelsea FC

Rasmi nimeacha kuangalia mechi za Chelsea FC

Burudan gan unapata as united fan ?m
Burudani sio lazima timu ishinde tu, kitendo cha wao kucheza tayari nafsi yangu ishafurahi regardless ya matokeo tukayoyapata.

Mimi kitu pekee nilichobadilisha sasa hivi mechi zetu zote huwa naangalizia nyumbani kwangu ili ni-focus vizuri kuangalia mpira bila bughudha.
 
Wana sports leo ilikuwa mfululizo wa kipigo kwetu wana blues, kiukweli huwa naumia sana sasa kwa kuwa sisi huu msimu hatuna timu kabisa

Yaani usajili wote ni majeruhi na flop nimeamua kujiweka pembeni kwanza maana nitakua sina amani kabisa

Mpaka siku nikijaliwa kuingia kabsa Stamford Bridge

Poleni sana pia na nyie “Nyumbu”
Tuna fanana mawazo mkuu.
Me ni shabiki lia lia wa manchester united, lakini kinacho endelea niamua kujiweka pembeni kwanza, paka pale itakapo tulia.
Msimu tangu umeanza nimeangalia game zisizo zidi 2 tu, me huwa sipendi pressuer kabisa.
 
Back
Top Bottom