AlphaMale_
Senior Member
- Aug 12, 2023
- 182
- 455
- Thread starter
- #21
Kizazi cha mashabiki wa Chelsea enzi ya kina Drogba, Lampard...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kizazi cha mashabiki wa Chelsea enzi ya kina Drogba, Lampard...
Burudan gan unapata as united fan ?mAcha uoga Jombaa, mimi Manchester United yangu mbovu sana ila siwezi kuacha kuiangalia timu ninayoipenda sana. Matokeo mabovu yanakera ila mpira ndio burudani yangu.
Naikumbuka Chelsea ya akina Darmian Duff, Gudjohsen n.k, pasi tatu tu kutokea kwa kipa wako golini kwako...Arjen Robben bado kabisaa hapo, Mourhinho msaidizi wa Van Gal pale Barca enzi hizo nadhani...akaja Porto, akajipatia umaarufu kumpiga United mpaka kubeba NDOO; Lois Saha akisaidia kwa mbaali mechi ile.huyu sio shabiki wa blues mtu kama hafamu ajern roben kacheza chelsea anawezaje kupata uchungu wa timu kaanza kuitazama chelsea ya kina james
Wakati wa Mourinho na akina Essien, Makelele wake sio!!!?Tatzo mlikuta timu ina mafanikio mkaanza ishabikia. Shabiki wa kweli anaangalia mechi nyakati zote mbaya na nzuri.
Pole
Umeona kaka ona united Washambuliaji wake nao Dont you miss Demitri babatov?Naikumbuka Chelsea ya akina Darmian Duff, Gudjohsen n.k, pasi tatu tu kutokea kwa kipa wako golini kwako...Arjen Robben bado kabisaa hapo, Mourhinho msaidizi wa Van Gal pale Barca enzi hizo nadhani...akaja Porto, akajipatia umaarufu kumpiga United mpaka kubeba NDOO; Lois Saha akisaidia kwa mbaali mechi ile.
Nilisimama kushabikia mpira misimu miwili mbele baada ya Sir kustaafu kimaajabu ajabu!
Hii Chelsea mashabiki tuivumilie tu, tatizo limekuwa kubwa kutokana na majeruhi ya wachezaji wengi. Timu inabadirika kila siku na huwezi kumlaumu kocha. Hiyo timu wachezaji ambao hawajakaa majeruhi ni wawili watatu Jackson ambaye hakuna kitu, Silva, Disasi, Mudryk, Sterling. Wachezaji wanacheza michezo miwili wanaumia sijui ni laana ya ABRAMOVICH. Ila tatizo linguine sugu hakuna mshambuliaji, hata mechi ya Wolves ingeisha mapema mnoo. Chelsea ndiyo timu inayoongoza Kwa kukosa magoli ya wazi kwenye ligi, kabla ya mchezo wa wolves nafasi 36, ukiongeza za mchezo huo zinafika 40. Kocha aletewe straika tuu wa maana kama Phiri.Wana sports leo ilikuwa mfululizo wa kipigo kwetu wana blues, kiukweli huwa naumia sana sasa kwa kuwa sisi huu msimu hatuna timu kabisa
Yaani usajili wote ni majeruhi na flop nimeamua kujiweka pembeni kwanza maana nitakua sina amani kabisa
Mpaka siku nikijaliwa kuingia kabsa Stamford Bridge
Poleni sana pia na nyie “Nyumbu”
Naam...moja ya washambuliaji wa kukumbukwa! Rud Van Nestrloy, Andy Cole na Dwight Yorke ndo washambuliaji wa kwanza kwanza mimi kuwafaidi kucheki...Treble, kabla nikiwafagilia Bafana bafana, sijui club enzi hizo.Umeona kaka ona united Washambuliaji wake nao Dont you miss Demitri babatov?
Tajiri ana dual citizenship mkuuIle ni dhuluma ya wazi kabisa dhidi ya wawekezaji kutoka nje. Maana aliyeivamia urusi ni Putin! Sasa kwa nini zitaifishe mali za Warusi?
Mimi siyo mtu wa kuunga mkono mambo ya kijinga.
Uyo hajui kituTajiri ana dual citizenship mkuu
Jews vs Russian
Mbona hy kitu ipo wazi kabisa kuwa n siasa ile iliyofanya mpaka akauza timusasa wew shabiki wa siasa au mpira? kwan ile ni dhuruma au sheria za nchi?
Siasa? kwan russia unajua inaongozwa na nan?Mbona hy kitu ipo wazi kabisa kuwa n siasa ile iliyofanya mpaka akauza timu
Jifunze kwanza kuandika kwa ufasaha.Uyo hajui kitu
Kwa hiyo Taifa lake mama kati ya Urusi na Israel ni lipi? Israel, au Urusi? Na hivyo vikwazo pamoja na kudhulumiwa hiyo timu ya Chelsea kumetokana na yeye kuwa na dual citizenship, au ni kwa sababu yeye ni tajiri wa Urusi?Tajiri ana dual citizenship mkuu
Jews vs Russian
Sababu ilikua yy ni rafiki wa karibu wa putinKwa hiyo Taifa lake mama kati ya Urusi na Israel ni lipi? Israel, au Urusi? Na hivyo vikwazo pamoja na kudhulumiwa hiyo timu ya Chelsea kumetokana na yeye kuwa na dual citizenship, au ni kwa sababu yeye ni tajiri wa Urusi?
😂😂😂😂😂Mlimkwapua Liverpool wakina caicedo na yule mwenzake airport mkashangilia na ma-hope ya kutosha, leo hii 😅😅😅😅