Rasmi nimeacha pombe, zinaleta roho za kimasikini. Usiingie kwenye uraibu huo

Quan Lup

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2016
Posts
683
Reaction score
946
Kwema wakuu baada ya kutumia pombe kwa kipindi cha miaka 11 tarehe 7.3.2025 nimeacha pombe Rasmi na pia nachagua Marafiki ambao hawanywi pombe bahati nzuri Mpenzi wangu Hanywi Pombe

Nakushauri acha pombe.
 
Kwema wakuu baada ya kutumia pombe kwa kipindi cha miaka 11 tarehe 7.3.2025 nimeacha pombe Rasmi na pia nachagua Marafiki ambao hawanywi pombe bahati nzuri Mpenzi wangu Hanywi Pombe

Nakushauri acha pombe.
🤣😂🤣
Your browser is not able to display this video.
 
Kuna kipindi nlikaa mbali na Hiko kinywaji kama miezi sita hivi siku hiyo jioni jioni nikawa nahis kama kiu sio kiu nikawa nahis kama Kuna ratiba sijafanya hivi nikakosa utulivu.....nikaboost kidogo aiseee akili ilitulia mwili ukajiskia vizuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…