Rasmi nimeacha pombe, zinaleta roho za kimasikini. Usiingie kwenye uraibu huo

Rasmi nimeacha pombe, zinaleta roho za kimasikini. Usiingie kwenye uraibu huo

Imetukosea nin mpaka tuiache,??!!mpeni maskini pombe asahau shida zake ,hekima za mfalme Suleiman
 
Maisha yafaa nini bila pombe?

Pombe ni kinywaji cha starehe. Kama utakunywa upate kwa kufichia ushenzi wako au kupunguza msongo wa mawazo, yakupaswa, ukae nayo mbali.

Tunategemea baada ya kuacha pombe tutasikia tajiri mpya hivi karibuni.
 
Mimi nilijitahidi mara nyingi kuachana na huyu mnyama pombe na kuandika nyuzi nyingi kuhusu madhara ya pombe lakini wapi? Nimejifunza kuishi naye kwa akili kama unavyoishi na mke! Sasa hivi nammudu!
 
Mimi nilijitahidi mara nyingi kuachana na huyu mnyama pombe na kuandika nyuzi nyingi kuhusu madhara ya pombe lakini wapi? Nimejifunza kuishi naye kwa akili kama unavyoishi na mke! Sasa hivi nammudu!
Yaan kitu unavyokiacha usitangaze,piga kimyakimya utatoboa
 
Back
Top Bottom