Rasmi nimeacha pombe, zinaleta roho za kimasikini. Usiingie kwenye uraibu huo

Rasmi nimeacha pombe, zinaleta roho za kimasikini. Usiingie kwenye uraibu huo

Hongera, wengine tunajaribu lkn tunashindwa, ukijitahidi sana mwezi, siku nikifungulia Sasa lazima nifidie hicho kipindi ambacho nilipumzika, yaani ni balaa tupu....sijui nakwama wapi?
Mambo mengine ni mazingira. Ukiwa katika mazingira ya wanywaji ni vigumu kuepuka kunywa.

Mengine ni uwezo wa mtu binafsi kuepuka vishawishi.

Kwa upande wangu sina tatizo la mazingira wala la uwezo wangu binafsi kuepuka kunywa.

Kwa mfano, kila nikiamua kuacha kunywa, ni lazima niwe na pombe nyumbani. Sasa hivi nina Scotch, nina Vodka, nina Tequila, nina wine nina beer ndani ya nyumba. Tena nyingine naziona kila siku.

Tena kama beer kuna friji la garage kila nikifungua naona beer baridiii.

Lakini nazipotezea tu.
 
Mambo mengine ni mazingira. Ukiwa katika mazingira ya wanywaji ni vigumu kuepuka kunywa.

Mengine ni uwezo wa mtu binafsi kuepuka vishawishi.

Kwa upande wangu sina tatizo la mazingira wala la uwezo wangu binafsi kuepuka kunywa.

Kwa mfano, kila nikiamua kuacha kunywa, ni lazima niwe na pombe nyumbani. Sasa hivi nina Scotch, nina Vodka, nina Tequila, nina wine nina beer ndani ya nyumba. Tena nyingine naziina kila siku.

Tena kama beer kuna friji la garage kila nikifungua naona beer baridiii.

Lakini nazipotezea tu.
hii kauli sio mara ya kwanza umeisema kwamba una vinywaji ndani sjui vodka...nk

hivyo vinywaji viko hapo toka January si uwape watu wanywe aise
 
Mambo mengine ni mazingira. Ukiwa katika mazingira ya wanywaji ni vigumu kuepuka kunywa.

Mengine ni uwezo wa mtu binafsi kuepuka vishawishi.

Kwa upande wangu sina tatizo la mazingira wala la uwezo wangu binafsi kuepuka kunywa.

Kwa mfano, kila nikiamua kuacha kunywa, ni lazima niwe na pombe nyumbani. Sasa hivi nina Scotch, nina Vodka, nina Tequila, nina wine nina beer ndani ya nyumba. Tena nyingine naziina kila siku.

Tena kama beer kuna friji la garage kila nikifungua naona beer baridiii.

Lakini nazipotezea tu.
Shukrani mkuu, hapo kwenye uwezo binafsi nakubali....nafsi inanisukuma sana naamini nitafanikisha na kuwa free mkuu
 
hii kauli sio mara ya kwanza umeisema kwamba una vinywaji ndani sjui vodka...nk

hivyo vinywaji viko hapo toka January si uwape watu wanywe aise
Mkuu,

January ya 2024 si ya 2025.

Vinywaji mimi sina tatizo kuwapa watu wanywe. Tena si kwa sababu mimi sinywi tu.

Kuna siku nilikuwa na party nikawa na vinywaji vingi nyumbani. Party ikaisha vinywaji vingine hata havijaguswa. Nikawapa watu Jack Daniels kubwa ile (mimi nilikuwa sinywi Jack Daniels kabisa, nilikuwa nakunywa Scotch).

Hizo pombe zipo atakayekuja kunitembelea kama anakunywa atakunywa tu mpaka aache mwenyewe na kama kuna nyingine tofauti za kumnunulia nitamnunulia.

Pombe kitu cha kawaida tu mkuu mbona unataka kufanya ndalilo?
 
Best decision mkuu, Reason ilikua ni nini kama hutojali ku share mkuu
Mimi ni mtu ninayependa sana kujua kuwa nina control ya mambo yangu. Kwamba nai control pombe, na pombe haini control mimi.

Na hili jambo si mara ya kwanza kulifanya, huko nyuma nimeshaacha kunywa pombe mpaka kwa miaka miwili, ila sasa nimeamua iwe kimoja.

Kila ninavyokaribia kutimiza miaka 50, na kusoma zaidi matatizo ya kiafya yanaendana na unywaji pombe, hususannkwa watu wa umri wangu, na kujua kuwa mimi nikinywa pombe nina tatizo la kunywa kwa kiasi (I have a high tolerance for alcohol, when I drink I tend to overdo it without even knowing), nikaona ni bora niache kabisa.
 
Rasmi kam umeoa migogoro ya Ndoa itaanza kuwa mikubwa kulko ya Awali
 
Kwema wakuu baada ya kutumia pombe kwa kipindi cha miaka 11 tarehe 7.3.2025 nimeacha pombe Rasmi na pia nachagua Marafiki ambao hawanywi pombe bahati nzuri Mpenzi wangu Hanywi Pombe

Nakushauri acha pombe.
Hongera sana 👏
 
Mimi ni mtu ninayependa sana kujua kuwa nina control ya mambo yangu. Kwamba nai control pombe, na pombe haini control mimi.

Na hili jambo si mara ya kwanza kulifanya, huko nyuma nimeshaacha kunywa pombe mpaka kwa miaka miwili, ila sasa nimeamua iwe kimoja.

Kila ninavyokaribia kutimiza miaka 50, na kusoma zaidi matatizo ya kiafya yanaendana na unywaji pombe, hususannkwa watu wa umri wangu, na kujua kuwa mimi nikinywa pombe nina tatizo la kunywa kwa kiasi (I have a high tolerance for alcohol, when I drink I tend to overdo it without even knowing), nikaona ni bora niache kabisa.
Mi imenishinda na huwa inaniingiza kwenye shida mingi, ikiwemo kuwapigia simu watu ninaoheshimiana nao nikishalewa! Sasa ninejaribu kuacha nimeshindwa , siku hizi nina simu mbili ile ya ofisini siibebi nikienda kwenye vitu. Napiga bia mpaka 18 kesho yake hoi
 
Ramadhani na kwaresma ikiisha utarudi tu.
2025 sijanywa kilevi kabisa, last day nimekunywa ilikuwa december 28, 2024
 
Kwema wakuu baada ya kutumia pombe kwa kipindi cha miaka 11 tarehe 7.3.2025 nimeacha pombe Rasmi na pia nachagua Marafiki ambao hawanywi pombe bahati nzuri Mpenzi wangu Hanywi Pombe

Nakushauri acha pombe.
IMG-20250303-WA0000.jpg


MAENDELEO hayana VYAMA, You Know 😂​
 
Back
Top Bottom