Ushaliwa, mkiambiwa muache kubet hamskiiiMkuu tumalize ligi ndio utoe hayo maamuzi
Man city win
Madrid win
Tia laki utanishukuru
[emoji3][emoji3][emoji3]
Kweli mkuu betting hapana, ninaroho ngumu lakini nimesarenda
Mkuu tumalize ligi ndio utoe hayo maamuzi
Man city win
Madrid win
Tia laki utanishukuru
[emoji3][emoji3][emoji3]
Mkuu tumalize ligi ndio utoe hayo maamuzi
Man city win
Madrid win
Tia laki utanishukuru
[emoji3][emoji3][emoji3]
Hahaha umefuata nilichofanya. Mimi nilikuwa nabet japo haikuwa kazi ila stake zangu zilikuwa zimeshiba kuanzia 50,000 na kuendelea mpaka lak kadhaa huko. Kuna siku nilipigwa kipigo kitakatifu ilikuwa mwaka juzi, nikataka rudisha nilichopigwa nikapewa tena. Nikaapa kuwa sitobet tena na toka siku hiyo mwaka juzi sijawahi kubet tena.Kweli mkuu betting hapana, ninaroho ngumu lakini nimesarenda
Betting inaamisha pesa kutoka kwa masikini kwenda kwa masonko.Weka mbali na watoto betting, haitoi kila mtu kwenye maisha nawaona watu kila siku wamejaa betting na nje hamna hata IST mbovu ikiwa imepaki
Kabisa ndugu betting ni disasterHizo hela za betting ungeamua kununua vitu vya geto, ungekuwa mbali sana.
Kamari haiwezi kukutoa kimaisha. Vijana wengi mnadanganyana sana vijiweni.
Fanya kazi na Mungu ataibariki kazi ya mikono yako
Jambo la maana bora kutumia kidogo ulichonacho kuliko kutamani vikubwa ,visivyowezekanaHahaha umefuata nilichofanya. Mimi nilikuwa nabet japo haikuwa kazi ila stake zangu zilikuwa zimeshiba kuanzia 50,000 na kuendelea mpakalak kadhaa huko. Kuna siku nilipigwa kipigokitakatibu ilikuwa mwaka juzi, nikatakarudisha nilichopigwa nakapewa tena. Nikaapa kuwa sitobet tena na toka siku hiyo mwaka juzi sijawahi kubet tena.
Jambo la maana bora kutumia kidogo ulichonacho kuliko kutamani vikubwa ,visivyowezekana
Nmekusukiliza kwa umakini mkubwa sana ndgu.kwanza pole sana. mkuu kuna watu wana kunja mpaka 4m kila week kupitia betting. kuna watu wameecha kazi kabisa wao wana bet tu. tatizo hawaji kutoa shuhuda humuKwanza niseme tu mimi ni kati ya watu, waliokuwa wakiamini betting kwa asilimia 100, nilikuwa na imani betting ndio kitu itanitoa kimaisha, kuhusu betting ulikuwa huniambii kitu, kuna ile kauli watu huwa wanasema beti kama starehe, Lakini mimi nimekuwa nikiifanya kama kazi ya kujiingizia kipato.
Nilikuwa mstari wa mbele kutoa Matusi, kejeli husda na masimango kwa wale wote, waliokuwa wakionesha kupinga ama kuleta hoja kinzani kuhusiana na gambling/betting.
Katika kipindi kifupi takribani mwaka mmoja baada ya kumaliza masomo ndio nilianza kuifanya betting kama kazi.
Lakini kwa huo muda mfupi, imeniletea hasara kubwa kubwa kubwa ambayo sitokuja kuisahau, yaani zile pesa ambazo nimepoteza ningesema badala ya kutuma kwenye betting company, niziweke kwenye kibubu now ningeweza kufungua biashara kubwa sana.
Baada ya vipigo kuzidi, huwa kuna msemo wanasema sikiliza wataalamu inaonekana strategies unazotumia sio salama, Hao wanaojiita watalamu watakwambia usiweke timu nyingi weka timu chache ,"tafuta odds mbili halafu tia laki," Aloo huo msemo ndio umenifukia kabisa hadi sasa naandika hapa sina hata mia mbovu.
Jana kuna mkeka niliucopy kutoka kwa jamaa mtata sana humu Jamiiforums nikaweka pesa ya nauli ambayo leo nilikuwa naelekea Dar es Salaam, kwa mazingira ya kutatanisha sana pesa yote nimeliwa, mpaka muda huu nimejilaza hapa nasingizia naumwa.
Kwenye betting sio kwamba watu hawashindi wanashinda ila kunautofauti mkubwa sana kati kuliwa na kushinda so ukiifanya kwa muda mrefu ukaja piga mahesabu baada ya mwaka utajikuta na hasara kubwa Hadi utaogopa kama sio kulia.
Betting imefanya nashindwa hata kununua nguo mpya hadi zile nilizomaliza nazo masomo zimeanza kupauka sio kwamba hela sipati hapana zote zinaishia kwenye mikeka, yaani getto unaweza kuta nimenunua sukari robo, mchele kilo mbili halafu kwenye simu nimebet 50000 na yote inaliwa.
Mwaka jana nilikuwa nasimamia mashamba ya jamaa fulani sasa nilikuwa nikipokea hata pesa za kupalilia, na mimi boss wa vibarua najitengea ekari yangu moja ya palizi maana nimepita JKT halafu 60000 naweka mfukoni kisha wale vibarua badala ya kuwalipa 60000 nawalipa 40000 kwa ekari, tutalima weee nikimaliza pesa yote naenda kuliwa kwenye betting.
Usiku wa leo nimekaa nikafanya projection nikiendelea hivi baada ya miaka 5 ijayo nitakuwa mmoja kati ya watu masikini zaidi Tanzania, At 20s vijana wengi hutumia kujenga future zao mimi natumia kubomoa, Betting imeniletea uvivu, muda wote sina furaha, nilikuwa napenda kusoma, kuongeza ujuzi, kutafuta kazi, kuwekeza, kuchangamana na watu, kufanya kazi, mdau wa michezo, mapenzi but now nimekuwa kama mtu aliepigwa bomu.
Bado sijachelewa, nina muda wa kutosha kusahihisha makosa niliyoyafanya, sihitaji tena kuwa mtumwa, nimekubali kusahau yaliyopita na kufungua ukurasa mpya, sioni kama ni tatizo kuanza moja, ninaamini tatizo ni kuendelea kukumbatia adui na adui wangu anaehujumu uchumi wangu ni betting.
Ni Suala La Muda Tuu... Kuna siku utatamani kumeza haya maandishiKumbe Bado Unaendeshwa Na Maono Ya Bahat Basi Cheza Biko.
Bahat Ni Kitu Cha Ziada Tu Kene Maisha, Betting Ni Kazi Ndo Maana Tunawekeza Muda Na Pesa. Kubali Tu Mzee Hujui Kubet Ulikuwa Unatuchangia Wengine
Acha Kudanganya Watu.... Betting Uwezekano was Kupoteza Ni Mkubwa Sana kuliko kupata... Jifanye Mjanja Tena Wewe Ni Suala la Muda Tuu utakuja Kajinyonga Endelea Kuendekeza Kamari... Usijisifu eti Ni Mjanja Hakuna Mtu Mwenye Akili atawekeza Akili yake Kwenye Kamari... Wengi wetu Ni Wahanga Tumeshaona Madhara ya Huu Upumbavu .....Man Ungelijua Kila Kazi Inachangamoto Zake Na Kila Biashara Haikosi Hasara Usingekuwa Na Maneno Mengi. Kwa Ufupi Ulifanya Kitu Usichokijua, Betting Haimtaki Mtu Mwenye Kichwa Cha Kufugia Nywele
Wakuu kutokana na mafanikio na hasara mlizopata kupitia hiyo Betting je would you recommend wengine ambao hawaijui kujaribu bahati zao ama tusiingie kabisa huko? Hizo wins zinatamanisha ila pia hivo vipigo mmh🤔
Sawa mkuu! AhsanteUsijaribu Kamwe....!!!
Mkuu umeongea kwa uchungu sana inaonekana umesulubiwa sana kama mimi.[emoji23]Acha Kudanganya Watu.... Betting Uwezekano was Kupoteza Ni Mkubwa Sana kuliko kupata... Jifanye Mjanja Tena Wewe Ni Suala la Muda Tuu utakuja Kajinyonga Endelea Kuendekeza Kamari... Usijisifu eti Ni Mjanja Hakuna Mtu Mwenye Akili atawekeza Akili yake Kwenye Kamari... Wengi wetu Ni Wahanga Tumeshaona Madhara ya Huu Upumbavu .....
500k!!!. Kuna mawiliMkuu tatizo unabet kimaskini unaweka 500 ili ushinde million unaona inawezkana? Hio ni bht sana asee. Mimi niliweka 500k nikala 6m na usheee lakin ningeweka 500 hapo ningeshinda 6000 unaona utofauti hapo nmepata faida ya 5.5m. Ukibet ukaweke pesa ndogo lazma uweke tim nyingi ili dau liwe kubwa lakin ukiweka timu chache dau kubwa unakua na probability kubwa ya kushinda.