Rasmi nimeamua kuachana na betting. Kubet ni kutafuta umasikini na ufukara

Rasmi nimeamua kuachana na betting. Kubet ni kutafuta umasikini na ufukara

Mkuu umeongea kwa uchungu sana inaonekana umesulubiwa sana kama mimi.[emoji23]
Mkuu Acha Tuu Yaani Najiuliza Serikali hazioni Hili Kama Ni janga Kuliko Hata Madawa ya Kulevya??? Nilichogundua Ni Rahisi Sana Kuacha Ulevi wowote Lakini Siyo Kamari...
 
Mkuu Acha Tuu Yaani Najiuliza Serikali hazioni Hili Kama Ni janga Kuliko Hata Madawa ya Kulevya??? Nilichogundua Ni Rahisi Sana Kuacha Ulevi wowote Lakini Siyo Kamari...
Kamari unaacha tu sababu hata ukiwa huna hela huwezi kuiba ili ubeti!
 
Kamari unaacha tu sababu hata ukiwa huna hela huwezi kuiba ili ubeti!
Mkuu Hujaingia Deep naongea Kutoka Experience......!! Nimeshuhudia Mjeshi wa Nyota Tatu akiuza Friji na Kitanda Ili akacheze Kamari... Nimeshuhudia Watu wazima na Familia zao wakicheza Mshahara Wote Familia zinalala Njaa... Aisee acha Tuu.... Hili Ni Janga Kubwa kuliko Unga... Ni vile athari zake hazionekani kwa Haraka maana Mtu anagugumia Maumivu ndanikwa Ndani... Tafuta Documentary Moja Ya BBC Wameonesha Athari za Hi kitu nadhani ilikuwa Uganda... Watu wameuza Hadi Nyumba Na Wameishia Kujiua....
Kama Haushiriki Mshukuru Sana Muumba wako na Pia Jiweke Mbali kabisa Na KAMWE USIJARIBU.....!!!
 
Mkuu Hujaingia Deep naongea Kutoka Experience......!! Nimeshuhudia Mjeshi wa Nyota Tatu akiuza Friji na Kitanda Ili akacheze Kamari... Nimeshuhudia Watu wazima na Familia zao wakicheza Mshahara Wote Familia zinalala Njaa... Aisee acha Tuu.... Hili Ni Janga Kubwa kuliko Unga... Ni vile athari zake hazionekani kwa Haraka maana Mtu anagugumia Maumivu ndanikwa Ndani... Tafuta Documentary Moja Ya BBC Wameonesha Athari za Hi kitu nadhani ilikuwa Uganda... Watu wameuza Hadi Nyumba Na Wameishia Kujiua....
Kama Haushiriki Mshukuru Sana Muumba wako na Pia Jiweke Mbali kabisa Na KAMWE USIJARIBU.....!!!
Dah mi nafanya hii mambo ila sio kwa extent ya kujidhuru mwenyewe! Kama pesa nimepoteza ni nyingi ila sio kwa extent ya kuuza nyumba na gari hela ikikata naachaga!!!
 
Dah mi nafanya hii mambo ila sio kwa extent ya kujidhuru mwenyewe! Kama pesa nimepoteza ni nyingi ila sio kwa extent ya kuuza nyumba na gari hela ikikata naachaga!!!
Mkuu Jitahidi uache Kabisa...Huwa inavuta kidogo kidogo.... Naona Hujafika Stage mbaya... Ni Kama vile mashetani... Unajistukia umezama...
 
Huo uamuzi wa hasira tu! Kapumzika tu huyo! Akirudi akala mikeka miwili atarudi rasmi!

Tatizo wasichokijua watu betting ina upepo! Ukiona siku umebeti mara 3 mfululizo unamla bookmarker tu jua siku hio una upepo! Jiwashe mpaka ambapo utaona game zinaanza kukukataa.Zikichana 2 mfululizo tulia jua upepo umebadilika!

Sasa utakuta pale mtu ndio anaingia mawenge anataka arudishe hasara matokeo yake anafumuliwa marinda! Mi nishaliwa na game moja hela yote nilikuwa nazuia corner kila nikizuia inachana kwa kuongezeka corner moja mara ya tatu mchezo uko mwishoni nikasema narudisha hasara weee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] account ilifuka moshi!
Very true[emoji122]
 
Tatizo wengi huwa wanatangaza kuacha lakini hurejea kimya kimya.

Ukiendekeza betting hata nguvu za kiume zitapungua.
Ulipo hapo hata demu utakuwa huna, kama unaye basi migogoro haiwaishi.
Kuliko kumpa shem matumizi unaona bora umpe mhindi akutunzie hela.
[emoji16][emoji16][emoji16]wengi ndoa zao ziko matatani...nimelishuhudia hili
 
Kweli kabisa ndugu hadi hapa sina serious relationship, siku nimepiga hela ya maana ndio naanza pekua phonebook nione nitaenda mbandua nani.Au siku kama nimepigwa kipigo cha mbwa koko naweza tena toa balance niliyobaki nayo kwenda kujipooza nayoyote atakae jishobokesha mbele yangu,
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787]

Ila we jamaa hunaga aibu
 
Wakuu kutokana na mafanikio na hasara mlizopata kupitia hiyo Betting je would you recommend wengine ambao hawaijui kujaribu bahati zao ama tusiingie kabisa huko? Hizo wins zinatamanisha ila pia hivo vipigo mmh[emoji848]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji122]
 
Dah ligi niliokuwa napigia hela imehairishwa yani nimeumia sana duh! India huko Covid imezingua mchezo umekuwa Suspended!

Ntakuelekeza lakini atleast!
Yes please....nataka utajiri[emoji848][emoji848]
 
Nmekusukiliza kwa umakini mkubwa sana ndgu.kwanza pole sana. mkuu kuna watu wana kunja mpaka 4m kila week kupitia betting. kuna watu wameecha kazi kabisa wao wana bet tu. tatizo hawaji kutoa shuhuda humu

kwenye betting kuna masoko zaid ya 170. kwenye hayo wewe endelea kujitafuta uone soko litakalo ku favour wew. Hauwez kufikia kutengeneza pesa nzuri ya mfululizo kama hujajuwa soko lipi kwako ni sahihi. Mimi nna maika 2 ya kuliwa. Nmefail chuo sababu ya stress za betting (sio kudiscow). kwa nilivo kuona umesoma uchumi au statistics kwa kupita comments zako humu

kuwa mvumilivu na mtulivu tu.kuna pesa nyingi sana ipo humo kwenye betting nadhan hujajuwa soko lako unaloliweza.mimi juzi nmepoteza 2.5m. kijinga tu hyo ni faida niliyotengeneza


zingatia yafuatayo
i) nidhamu
ii) kutokuwa na tamaa
iii)kumbuka ukipata faida kufanya kitu au miradi inayo onekana.mfano umepata milion 5 nunua boda boda fasta zianze kufanya kazi.siku uki drop zina kuinua
iv)kuwa na limit ya kubet na malengo
v) betting inahitaji uwekeze pesa sio ikupe pesa.ni investment ka investments nyingine.pale huend kuchota pesa pale unawekeza

NB
kila la kheri mkuu.gamble what you afford to loose
Shukrani mkuu, ushauri mzuri sana.
Sometimes betting inaenda na upepo
 
Mimi huwa naamini kila kitu maishani ni kamari. Hivyo betting nitaacha siku wao wakiacha
Nina rekodi ya kuliwa 4.9mil baada ya Chelsea kudraw.
Nina Rekodi ya kupiga 10mil stake 250K
like wise to me broh!!! mimi huwa nacheza ngumu kumeza tu jackpot.mpka sasa nilisha wahi wapiga betpawa 10 milion kwa kupatia mechi 15 kati ya 17. pia nina rekodi ya kupatia mechi 14 kati ya 17 tena mara 2. ninacho amini sio kila mtu hili game linaweza mkubali!!!
 
Yule mwana aliyepiga mil.500 sport pesa akiona unaharisha humu anaweza kukuchapa na manati ya mzungu

Kama we umechemka wacha sie tuendelee
 
Back
Top Bottom