Shooter Again
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 5,603
- 9,263
Sawa, shikilia msimamo wako. Unachotafuta utakipata.Kuna watu ni wajinga wanaamini kabisa kwamba Kuna mungu utakuta mtu amefanyiwa ubaya na binadamu mwenzie eti namuachia mungu halafu Kwa mujibu wa dini huyo huyo mtu alienda kutubu anasamehewa aisee zinduke I dini na neno mungu limetungwa na matapeli Ili waweze kuitawala dunia ikiwemo kuanzisha dini zao uchwara na kweli wajinga ambao ni masikini wanaendelea kuteswa Kwa vitisho vya kuchomwz moto ilihali wanaona kabisa wakifa wanazikwa ardhini
Mwisho wa yote ni kifo hamna jipya endelea kuwa zombi la dini ila utakufa tuSawa, shikilia msimamo wako. Unachotafuta utakipata.
We kaa na imani yako hiyo na mi niache na imani yangu.Kuna watu ni wajinga wanaamini kabisa kwamba Kuna mungu utakuta mtu amefanyiwa ubaya na binadamu mwenzie eti namuachia mungu halafu Kwa mujibu wa dini huyo huyo mtu alienda kutubu anasamehewa aisee zinduke I dini na neno mungu limetungwa na matapeli Ili waweze kuitawala dunia ikiwemo kuanzisha dini zao uchwara na kweli wajinga ambao ni masikini wanaendelea kuteswa Kwa vitisho vya kuchomwz moto ilihali wanaona kabisa wakifa wanazikwa ardhini
Kwani nimekulazimisha usiaminiWe kaa na imani yako hiyo na mi niache na imani yangu.
Utapeli tu
Kwani kakugusa mkuu 😂We kaa na imani yako hiyo na mi niache na imani yangu.
HatariInasikitisha sana
Sijamgusa nashangaa hasira 🤣🤣🤣🤣Kwani kakugusa mkuu 😂
Sababu ya utapeli wa dini kudanganya watu vitu ambavyo wameshindwa kuthibitishaAtheism inakuwa kwa kasi sana nchini, why?
Yaani masikini wamefungwa macho hawaoni Wajanja wanajipigia🤣🤣🤣🤣🤣Huu ndio utapeli mkubwa zaidi duniani
Hasa kwa vijanaAtheism inakuwa kwa kasi sana nchini, why?
Hapana,ila inasikitisha sana,hivi hata alama hazioni!!?,ajiulizi yeye katokeaje na viumbe wengine wametokea wapi??nani kamuumba yeye,aridhi,mbingu nk.Kwani kakugusa mkuu 😂
Unaelewa ulichoandika au kichwani Kuna kopo unauliza Mimi nimetokanaje si nimezaliwa tumboni Kwa mama yanguHapana,ila inasikitisha sana,hivi hata alama hazioni!!?,ajiulizi yeye katokeaje na viumbe wengine wametokea wapi??nani kamuumba yeye,aridhi,mbingu nk.