Ralphryder
JF-Expert Member
- Nov 16, 2011
- 5,168
- 1,549
Acha kutishia watu, moto ni fundisho la uongoSawa, shikilia msimamo wako. Unachotafuta utakipata.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kutishia watu, moto ni fundisho la uongoSawa, shikilia msimamo wako. Unachotafuta utakipata.
Infropreneur 14:7Quran 112:1
Sema: Yeye Mwenyezi Mungu ni wa pekee.
112:2 - Mwenyezi Mungu Mkusudiwa.
112:3 - Hakuzaa wala hakuzaliwa.
112:4 - Wala hana anaye fanana naye hata mmoja.
Haya jibu swali kama hauwezi muulize huyo aliyekuandikia hizo theory akusaidie
Kama Jua lilizuka Kwa Nini hayazuki Majua mengine?
Mzazi wa kwanza kabisa duniani alizaliwa na nani?Hakuna Mungu aliyeumba binadamu.
Binadamu Hawaumbwi.
Binadamu Wanazaliwa.
Ni wewe tu unajaribu kufosi kwamba binadamu tuliumbwa na Mungu.
Hata mabilionea wa Los Angeles walikuwa na mtazamo kama wako ila ulipokuja ule moto walitafuta msaada kwa Mungu 😂Acha kutishia watu, moto ni fundisho la uongo
Thibitisha kuwa Mungu hayupo!Mungu hayupo mbona unalazimisha mambo mzee atuhurumie wakati hayupo
pole sana kwa kuchelewa kujua mkuuKuna watu ni wajinga wanaamini kabisa kwamba Kuna mungu utakuta mtu amefanyiwa ubaya na binadamu mwenzie eti namuachia mungu halafu Kwa mujibu wa dini huyo huyo mtu alienda kutubu anasamehewa aisee zindukeni dini na neno mungu limetungwa na matapeli Ili waweze kuitawala dunia ikiwemo kuanzisha dini zao uchwara na kweli wajinga ambao ni masikini wanaendelea kuteswa Kwa vitisho vya kuchomwz moto ilihali wanaona kabisa wakifa wanazikwa ardhini.
We umemuona lini Ili ututhibishie yupoThibitisha kuwa Mungu hayupo!
Hata wewe tunaona mwili wako tu hakuna haonaye roho yako Wala nafasi. Je sababu nafasi yako haionekani tusema hauna nafasi?Kwa nini huyo Mungu anataka kuaminiwa yupo badala ya kujulikana yupo kwa uhakika, ushahidi na uthibitisho?
Huyo Mungu kama yupo kwa nini anajificha ili aaminike yupo?
Kwa nini asijitokeze hadharani akajulikana yupo kwa uhakika kabisa, Bila utata na utofauti wa kiimani?
Hakuna mzazi wa kwanza kabisa duniani wa binadamu wote.Mzazi wa kwanza kabisa duniani alizaliwa na nani?
Roho ni dhana ya kufikirika tu. Haipo katika uhalisia.Hata wewe tunaona mwili wako tu hakuna haonaye roho yako Wala nafasi. Je sababu nafasi yako haionekani tusema hauna nafasi?
Ushawahi kuuona upepo au pumzi?. Pia unaweza kusema havipo sababu havionekani?Roho ni dhana ya kufikirika tu. Haipo katika uhalisia.
Nafsi ni dhana ya kufikirika tu. Haipo katika uhalisia.
Roho haipo.
Nafsi haipo.
Angalau kitu kinaweza kuwepo kwa namna mojawapo ya kuonekana, kushikika, kusikika, kuhisika na kupimika.Ushawahi kuuona upepo au pumzi?. Pia unaweza kusema havipo sababu havionekani?
Bwana Yesu alisema "kama tu ya duniani mmeshindwa kuyaelewa mtaelewaje nikiwaambia ya mbinguni?. " Nimekukupa ushuhuda binafsi ukapinga na hu kuelewa utalewa vipi ya kwenye Biblia?.Ona sasa, Mimi nazungumzia maisha wewe unaleta story za kwenye Biblia.
Ushaathirika hakuna kitu utaelewa maana unareference moja tena inayokujenga katika kuamini badala ya kujua.
😂😂Wameshafika
Unachekesha sana Mtumishi.Bwana Yesu alisema "kama tu ya duniani mmeshindwa kuyaelewa mtaelewaje nikiwaambia ya mbinguni?. " Nimekukupa ushuhuda binafsi ukapinga na hu kuelewa utalewa vipi ya kwenye Biblia?.
Haya sawaKuna watu ni wajinga wanaamini kabisa kwamba Kuna mungu utakuta mtu amefanyiwa ubaya na binadamu mwenzie eti namuachia mungu halafu Kwa mujibu wa dini huyo huyo mtu alienda kutubu anasamehewa aisee zindukeni dini na neno mungu limetungwa na matapeli Ili waweze kuitawala dunia ikiwemo kuanzisha dini zao uchwara na kweli wajinga ambao ni masikini wanaendelea kuteswa Kwa vitisho vya kuchomwz moto ilihali wanaona kabisa wakifa wanazikwa ardhini.
Biblia inasema yaliyofunuliwa ni yetu yaliyofichwa ni ya Mungu mwenyewe.Mpumbavu amesema moyoni mwake, Kuna Mungu.
Hata wewe kusema kwamba kuna Mungu ni uhuru wako wa kikatiba kufanya hivyo.
Ila ukianza kudai kwamba hiyo imani yako ya uwepo wa Mungu ina ukweli lazima uthibitishe hilo.
Kama hakuna kisicho na mmiliki, Mmiliki wa huyo Mungu ni nani?
Kwa nini unafosi kila kitu kilichopo lazima kiwe na mmiliki, Halafu una mu exclude huyo Mungu kwenye kuwa na mmiliki?
Kama kila kitu kilichopo lazima kiwe na mmiliki, Hata huyo Mungu lazima awe na mmiliki.
Na kama si lazima kwamba kila kitu kilichopo kina mmiliki, Hata Dunia na vyote vilivyomo except man-made things, Havina mmiliki.