RASMI: Pre Season Ya Yanga SC Kufanyika Tanzania, wachezaji 7 watajwa sababu


Za ndaaaani Kabisa. PESA SIO TATIZO.

(Alafu kumbe tulikuwa tunashindana na nyinyi, nilidhani SIIOO alisema kuwa hamjawahi kumtaka)

Huu ni mchambuo wa pesa za mwaka zinazoingia Jangwani.

Chukua hii bilioni 41 igawe kwa miama 10.

Lengo ni kujua Kila mwisho wa mwaka Yanga SC watapokea kiasi gani.

Haya twende:-

41/10= 4 Bilions per Year.

Kila mwaka Yanga SC inapokea 4 Bilions kutoka Azam TV.

Sasa tutafute milioni 200 ni asilimia ngapi katika bilion 4.

200,000,000/4,000,000,000*100%= 5%

Yaani ni aslimia 5 tu. Hapo hatuja kusanyanmapato ya milion 600 ya ubingwa. Wala mapato ya mikataba na GSM wala yale ya mwaka ya Sportpesa.

Walivyosema Yanga SC watachukua ndoo kwa miaka 10 mfululizo kumbe ni jeuri ya hii pesa ya Azam TV
 
Unataka kutuambiaje kuhusu hizi 200M za Uturuki wanazodai
 
Gawanya hii bilion 41 kwa Miaka 10.

Ili tujue kila mwaka Yanga inaingiza Bilion ngapi?

41/10= 4 Bilions.

Yaani kila mwanzo wa msimu 4 Bilions zinaingia Jangwani.

Just from a single income. Pengine hatujahesabia hapo.
View attachment 2293860
Zinawekwa kwenye account ipi? Ikiwa hakuna hata hela ya kwenda turkey??
 
Okrah yuko kwa MKOPO.

Mchezaji gani mmenunua tofauti na Kapama & Kayombo.
Unadhani tumesajili kijinga kama mlivyofanya nyinyi kwa Mayele?? Okrah hayupo Simba Sc kwa mkopo.

Sasavl hivi mnahanya tu, wenye mchezaji(mayele) wanataka wapige hela kutoka kwa vilabu vinavyomhitaji.
 
Unadhani tumesajili kijinga kama mlivyofanya nyinyi kwa Mayele?? Okrah hayupo Simba Sc kwa mkopo.

Sasavl hivi mnahanya tu, wenye mchezaji(mayele) wanataka wapige hela kutoka kwa vilabu vinavyomhitaji.
Usiwe punguani Hakuna atayeweza kumuuza Mayele Bila Yanga kuridhia, Sasa iyo form ya TMS uyo Anaye mnunua ata ijaza vipi maana lazima Yanga watoe ushirikiano (Transfer Matching System).
Ili acheze uko unkodai amesajiliwa ana hitaji Leseni Sasa ao wanao msajili Leseni ya Mayele watafanyaje Ili kufanikisha bila Yanga kuridhia?
Ukiona Mayele kauzwa ujue hakuna namna Yanga wasihusike.
Punguza umbumbumbu.
 
Huyo mchezaji wenu mdomo ameng'atwa na dondola?
 
Ahsante kwa taarifa, siyo kwamba pesa hakuna...
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Dj Waleteee.
 
Inamaana hujui kama alikuwa hapa Tz kwa mkopo? Yani ni kama tu ambavyo hamkuhusika wakati Makambo anauzwa Horoya, na Kisinda kuelekea Berkane.

O
 
Mazembe walienda pre-Season morocco mwaka jana
 
We nyani uwe unafanya utafiti kwanza ndio uje kuandika pumba zako hapa sio unabweka ka umbwa.
 
Niliwadokeza hii tetesi.

Kambi ni AVIC TOWN.

Thanks God [emoji120]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…