Wewe una huo ujuzi,mbona unaonekana umtupu.Inaelekea hata hujui vita dhidi ya US Dollar inasababishwa na nini,unadhani other nations just hate America.It is not,just as other past Empires like the Roman Empire fell because of doing very stupid things,the American Empire is also falling because it has done very stupid things.Nikuambie hivii,the formation of BRICS is just one of the precursors to make the American Empire fall,and is not the only one,there are many.msiwe mnaandika humu ikiwa vichwa vyenu ni empty jamani
Brics inaweza kuwa mbadalaHiyo sarafu imekaa kipropaganda zaidi. Na anayefanya hiyo propaganda anafahamika.
BRICS imekosa common values za kuweza kuendesha mfumo wake wa kifedha kama huo. Nchi wanachama karibu zote zina ushirika wa karibu wa kibiashara (trading partnership) na Marekani ambayo huwa hainunui bidhaa kwa pesa tofauti na US Dollar.
China ndiye mwanachama wa BRICS mwenye uchumi mkubwa zaidi. Mshirika mkubwa wa kibiashara wa China ni Marekani. Nchi zingine zilizopo ndani ya BRICS kama India, Brazil na South Africa nazo zina ushirika mkubwa wa kibiashara (bilateral trade) na Marekani hiyohiyo.
Nimeona mahali Ramaphosa wa South Africa anasema kwamba Urusi ni "valuable ally" wa South Africa. Ukweli ni kwamba, Urusi haipo hata kwenye top 10 ya washirika wa karibu wa South Africa kibiashara. Hao wawili ni mfano mmoja tu wa member states ndani ya BRICS ambao hawafanyi biashara yoyote ya maana kimataifa. Kwa lugha nyingine, insignificant trade partnership.
Maana yake ni kwamba, member states zinatofautiana sana kimaslahi hasa linapokuja suala la uchumi. Nchi zinazopigia chapuo hiyo sarafu mpya ni chache tu ambazo ziko kwenye vikwazo vikubwa vya kiuchumi vya Marekani. Miongoni mwazo ni Urusi, Iran pamoja na North Korea ambazo zinashika hili bango la noti mpya kwa maslahi yao yanayotokana na kuwa na uhasama wa muda mrefu na Marekani.
Lakini tukijikita kwenye bigger picture, hakuna nchi yenye ushirika wa kibiashara na Marekani ambayo iko tayari kujitoa muhanga kiuchumi kwa kuachana na Dollar ili tu kuimarisha uhusiano na Urusi, Iran ama North Korea.
Kuna habari kwamba Zimbabwe na Venezuela pia zinataka kujiunga na BRICS. Matatizo ya hizo nchi ni ya kisera na siasa zao za ndani ambazo zimeharibu uchumi wa nchi lakini kwa namna fulani Mnangagwa na Maduro wanadhani wanaweza kuitumia BRICS kisiasa ili kuongeza chochote cha maana kwenye uchumi wa nchi zao.
Ni vigumu kujenga uchumi kwa mihemko na propaganda.
Siyo kirahisi lakini italeta changamoto kwa Dollar. Unajua players wa brics are capable na wanaresources za kutosha. Wakiplay among themselves excluding us, bado wanaweza kuipa shida us na Dollar yake.Ukiwa mbumbumbu wa uchumi, unaweza kuamini kuwa hiyo sarafu itaidhoofisha dola kiurahisi, lakini kama una uelewa japo wa kawaida wa uchumi wa Dunia, utajua kuwa hakuna lolote la pekee:
West Afrca block wana curreny yao, je, hiyo imepunguza uthamani wa dola katika mataifa hayo?
European Union wana sarafu yao, je, imeifanya dollar kutokuwa na thamani?
Kinacholinda uthamani wa dola ni ukubwa wa uchumi wa marekani. Huko Brics, jumlisha uchumi wa mataifa yote wanachama, uchumi wake bado ni chini ya uchumi wa Marekani ikiwa pekee yake:
USA GDP 2024 $29 trillion
BRICS
China GDP 2024 $13trillion
Russia GDP 2024 $2trillion
Brazil GDP 2024 $2 trillion
India GDP 2024 $ 4 trillion
Wakati USA pekee yake in GDP 29 trillion, nchi zote za Brics ukiziweka pamoja, jumla ya GDP yao haifiki hata $25 trillion!!
China ndio hao kwa asilimia kubwa tenaHata China??
ata ukiumia ndio hakuna namna, US walizitawala hizo nchi kiakili na kisayansi kama china hawana njia ya kutokea mpaka walimu vyuo vikuu vya China ni kutoka US wachache sana ndio wazawaSi ukae kwa kutulia unahangaika nini kama umekalia gunzi ..ww unajua kuliko hao wakati una FF mbili
Uchambuzi murua kabisaHiyo sarafu imekaa kipropaganda zaidi. Na anayefanya hiyo propaganda anafahamika.
BRICS imekosa common values za kuweza kuendesha mfumo wake wa kifedha kama huo. Nchi wanachama karibu zote zina ushirika wa karibu wa kibiashara (trading partnership) na Marekani ambayo huwa hainunui bidhaa kwa pesa tofauti na US Dollar.
China ndiye mwanachama wa BRICS mwenye uchumi mkubwa zaidi. Mshirika mkubwa wa kibiashara wa China ni Marekani. Nchi zingine zilizopo ndani ya BRICS kama India, Brazil na South Africa nazo zina ushirika mkubwa wa kibiashara (bilateral trade) na Marekani hiyohiyo.
Nimeona mahali Ramaphosa wa South Africa anasema kwamba Urusi ni "valuable ally" wa South Africa. Ukweli ni kwamba, Urusi haipo hata kwenye top 10 ya washirika wa karibu wa South Africa kibiashara. Hao wawili ni mfano mmoja tu wa member states ndani ya BRICS ambao hawafanyi biashara yoyote ya maana kimataifa. Kwa lugha nyingine, insignificant trade partnership.
Maana yake ni kwamba, member states zinatofautiana sana kimaslahi hasa linapokuja suala la uchumi. Nchi zinazopigia chapuo hiyo sarafu mpya ni chache tu ambazo ziko kwenye vikwazo vikubwa vya kiuchumi vya Marekani. Miongoni mwazo ni Urusi, Iran pamoja na North Korea ambazo zinashika hili bango la noti mpya kwa maslahi yao yanayotokana na kuwa na uhasama wa muda mrefu na Marekani.
Lakini tukijikita kwenye bigger picture, hakuna nchi yenye ushirika wa kibiashara na Marekani ambayo iko tayari kujitoa muhanga kiuchumi kwa kuachana na Dollar ili tu kuimarisha uhusiano na Urusi, Iran ama North Korea.
Kuna habari kwamba Zimbabwe na Venezuela pia zinataka kujiunga na BRICS. Matatizo ya hizo nchi ni ya kisera na siasa zao za ndani ambazo zimeharibu uchumi wa nchi lakini kwa namna fulani Mnangagwa na Maduro wanadhani wanaweza kuitumia BRICS kisiasa ili kuongeza chochote cha maana kwenye uchumi wa nchi zao.
Ni vigumu kujenga uchumi kwa mihemko na propaganda.
The US Dollar is in serious trouble look at this๐Brics inaweza kuwa mbadala
Siyo kirahisi lakini italeta changamoto kwa Dollar. Unajua players wa brics are capable na wanaresources za kutosha. Wakiplay among themselves excluding us, bado wanaweza kuipa shida us na Dollar yake.
Hakuna kitu. Yenyewe wanaitumia maskn wenzake kina nirth korea. Kama mabepari wapo na dollars sidhan kama itapoteza ushawishiRais wa Urusi, Vladimir Putin, wakati yupo kwenye mkutano mkuu wa BRICS uliofanyika Kazan aliwashangaza washiriki kwa kugawa sampuli za noti mpya za Benki ya BRICS, ishara inayodaiwa kuwa mwisho wa enzi kwa Dola ya Marekani kama sarafu ya akiba duniani.
Noti hizo za BRICS, ambazo zimeonekana kwa mara ya kwanza katika hafla hiyo ya kimataifa, zimeibua mjadala mkubwa kuhusu mustakabali wa mfumo wa fedha wa dunia.
Sarafu hiyo mpya inasemekana kuungwa mkono na bidhaa halisi kama dhahabu na mafuta, tofauti na Dola ya Marekani ambayo ni sarafu ya "fiat" isiyo na dhamana ya moja kwa moja ya mali.
Sarafu ya BRICS Kuipiku Dola ya Marekani?
Wachambuzi wanaeleza kuwa uzinduzi wa sarafu ya BRICS huenda ukawa mwanzo wa kipindi kipya cha kutoitegemea Dola ya Marekani katika biashara za kimataifa.
Wanaonya kuwa sarafu hiyo mpya inaweza kupunguza sana ushawishi wa kiuchumi wa Marekani ulimwenguni, hasa kutokana na ukweli kwamba nchi nyingi zinaweza kuacha kutumia Dola kama sarafu ya kibiashara.
Tatizo kubwa ninaloliona kwenu ni history.Laiti mngejua kwamba before the American Empire there were other empires and they all collapsed kwa ajili ya ujinga kama huu huu wa Marikani.Ni hivii,you people are so naive,the American Empire is collapsing,tena by design.Asiyeona hili ni kipofu,tena kipofu kweli kweli.Hiyo sarafu imekaa kipropaganda zaidi. Na anayefanya hiyo propaganda anafahamika.
BRICS imekosa common values za kuweza kuendesha mfumo wake wa kifedha kama huo. Nchi wanachama karibu zote zina ushirika wa karibu wa kibiashara (trading partnership) na Marekani ambayo huwa hainunui bidhaa kwa pesa tofauti na US Dollar.
China ndiye mwanachama wa BRICS mwenye uchumi mkubwa zaidi. Mshirika mkubwa wa kibiashara wa China ni Marekani. Nchi zingine zilizopo ndani ya BRICS kama India, Brazil na South Africa nazo zina ushirika mkubwa wa kibiashara (bilateral trade) na Marekani hiyohiyo.
Nimeona mahali Ramaphosa wa South Africa anasema kwamba Urusi ni "valuable ally" wa South Africa. Ukweli ni kwamba, Urusi haipo hata kwenye top 10 ya washirika wa karibu wa South Africa kibiashara. Hao wawili ni mfano mmoja tu wa member states ndani ya BRICS ambao hawafanyi biashara yoyote ya maana kimataifa. Kwa lugha nyingine, insignificant trade partnership.
Maana yake ni kwamba, member states zinatofautiana sana kimaslahi hasa linapokuja suala la uchumi. Nchi zinazopigia chapuo hiyo sarafu mpya ni chache tu ambazo ziko kwenye vikwazo vikubwa vya kiuchumi vya Marekani. Miongoni mwazo ni Urusi, Iran pamoja na North Korea ambazo zinashika hili bango la noti mpya kwa maslahi yao yanayotokana na kuwa na uhasama wa muda mrefu na Marekani.
Lakini tukijikita kwenye bigger picture, hakuna nchi yenye ushirika wa kibiashara na Marekani ambayo iko tayari kujitoa muhanga kiuchumi kwa kuachana na Dollar ili tu kuimarisha uhusiano na Urusi, Iran ama North Korea.
Kuna habari kwamba Zimbabwe na Venezuela pia zinataka kujiunga na BRICS. Matatizo ya hizo nchi ni ya kisera na siasa zao za ndani ambazo zimeharibu uchumi wa nchi lakini kwa namna fulani Mnangagwa na Maduro wanadhani wanaweza kuitumia BRICS kisiasa ili kuongeza chochote cha maana kwenye uchumi wa nchi zao.
Ni vigumu kujenga uchumi kwa mihemko na propaganda
Sawa mkuu. Acha tuone muda utatupa majibu sahihiHujui History,ndio maana una mawazo haya.
I know it won't be easy and straight forward,especially because the hegemon,that is the US is still around and will try to derail every step taken.It is important to note however that the vector has been initiated.Shida ni kwamba nchi za BRICS ukitoa russia na North Korea waliobaki bado wanaitegemea US kwa kila hali
Dar jamaa katema pointUchambuzi murua kabisa
Ngojea tuone itavyokua.Hiyo sarafu imekaa kipropaganda zaidi. Na anayefanya hiyo propaganda anafahamika.
BRICS imekosa common values za kuweza kuendesha mfumo wake wa kifedha kama huo. Nchi wanachama karibu zote zina ushirika wa karibu wa kibiashara (trading partnership) na Marekani ambayo huwa hainunui bidhaa kwa pesa tofauti na US Dollar.
China ndiye mwanachama wa BRICS mwenye uchumi mkubwa zaidi. Mshirika mkubwa wa kibiashara wa China ni Marekani. Nchi zingine zilizopo ndani ya BRICS kama India, Brazil na South Africa nazo zina ushirika mkubwa wa kibiashara (bilateral trade) na Marekani hiyohiyo.
Nimeona mahali Ramaphosa wa South Africa anasema kwamba Urusi ni "valuable ally" wa South Africa. Ukweli ni kwamba, Urusi haipo hata kwenye top 10 ya washirika wa karibu wa South Africa kibiashara. Hao wawili ni mfano mmoja tu wa member states ndani ya BRICS ambao hawafanyi biashara yoyote ya maana kimataifa. Kwa lugha nyingine, insignificant trade partnership.
Maana yake ni kwamba, member states zinatofautiana sana kimaslahi hasa linapokuja suala la uchumi. Nchi zinazopigia chapuo hiyo sarafu mpya ni chache tu ambazo ziko kwenye vikwazo vikubwa vya kiuchumi vya Marekani. Miongoni mwazo ni Urusi, Iran pamoja na North Korea ambazo zinashika hili bango la noti mpya kwa maslahi yao yanayotokana na kuwa na uhasama wa muda mrefu na Marekani.
Lakini tukijikita kwenye bigger picture, hakuna nchi yenye ushirika wa kibiashara na Marekani ambayo iko tayari kujitoa muhanga kiuchumi kwa kuachana na Dollar ili tu kuimarisha uhusiano na Urusi, Iran ama North Korea.
Kuna habari kwamba Zimbabwe na Venezuela pia zinataka kujiunga na BRICS. Matatizo ya hizo nchi ni ya kisera na siasa zao za ndani ambazo zimeharibu uchumi wa nchi lakini kwa namna fulani Mnangagwa na Maduro wanadhani wanaweza kuitumia BRICS kisiasa ili kuongeza chochote cha maana kwenye uchumi wa nchi zao.
Ni vigumu kujenga uchumi kwa mihemko na propaganda
Hii observation safi sana. Eti Maduro na Mnangagwa nao wanataka kudandia mtumbwi!Hiyo sarafu imekaa kipropaganda zaidi. Na anayefanya hiyo propaganda anafahamika.
BRICS imekosa common values za kuweza kuendesha mfumo wake wa kifedha kama huo. Nchi wanachama karibu zote zina ushirika wa karibu wa kibiashara (trading partnership) na Marekani ambayo huwa hainunui bidhaa kwa pesa tofauti na US Dollar.
China ndiye mwanachama wa BRICS mwenye uchumi mkubwa zaidi. Mshirika mkubwa wa kibiashara wa China ni Marekani. Nchi zingine zilizopo ndani ya BRICS kama India, Brazil na South Africa nazo zina ushirika mkubwa wa kibiashara (bilateral trade) na Marekani hiyohiyo.
Nimeona mahali Ramaphosa wa South Africa anasema kwamba Urusi ni "valuable ally" wa South Africa. Ukweli ni kwamba, Urusi haipo hata kwenye top 10 ya washirika wa karibu wa South Africa kibiashara. Hao wawili ni mfano mmoja tu wa member states ndani ya BRICS ambao hawafanyi biashara yoyote ya maana kimataifa. Kwa lugha nyingine, insignificant trade partnership.
Maana yake ni kwamba, member states zinatofautiana sana kimaslahi hasa linapokuja suala la uchumi. Nchi zinazopigia chapuo hiyo sarafu mpya ni chache tu ambazo ziko kwenye vikwazo vikubwa vya kiuchumi vya Marekani. Miongoni mwazo ni Urusi, Iran pamoja na North Korea ambazo zinashika hili bango la noti mpya kwa maslahi yao yanayotokana na kuwa na uhasama wa muda mrefu na Marekani.
Lakini tukijikita kwenye bigger picture, hakuna nchi yenye ushirika wa kibiashara na Marekani ambayo iko tayari kujitoa muhanga kiuchumi kwa kuachana na Dollar ili tu kuimarisha uhusiano na Urusi, Iran ama North Korea.
Kuna habari kwamba Zimbabwe na Venezuela pia zinataka kujiunga na BRICS. Matatizo ya hizo nchi ni ya kisera na siasa zao za ndani ambazo zimeharibu uchumi wa nchi lakini kwa namna fulani Mnangagwa na Maduro wanadhani wanaweza kuitumia BRICS kisiasa ili kuongeza chochote cha maana kwenye uchumi wa nchi zao.
Ni vigumu kujenga uchumi kwa mihemko na propaganda.
Putin angekuwa anajua sana , hivi Sasa angekuwa anaitawala Ukraine!Una teseka ukiwa wapi !?
Ina maana wewe unajua Sana kuliko Putin na washirika wake !?
Hata kuunda sindano Tu hauwezi halafu unataka uwakosoe watu wanao ipasua kichwa USA na washirika wake
Ila wabongo ๐ฎ๐ฎ๐ฎ๐๐๐๐