Rasmi Putin aonesha sample za noti mpya za BRICS. Je, huu ndio mwisho wa US Dollar?

Rasmi Putin aonesha sample za noti mpya za BRICS. Je, huu ndio mwisho wa US Dollar?

Mkuu don't mix things.Kwenye Euro hapakua na issue ya replacement of a currency.Now nations are seeking to replace a currency in their transactions,which is still a legal tender in the US.What does this mean,this means that the currency will crumble in terms of value worldwide and even in the US itself.
Hawezi kukuelewa sababu amejaza ushabiki wa kindezi kwa US kuliko uhalisikia
 
Marekani anaua hadi watu wake mwenyewe kupitia business ya madawa ya kulevya ni kubwa mno US yaan more than evil sijui wana mpango gani na hii dunia ovyo tuu
Wale wanajali pesa Tu utu wa mtu kwao hauna thamani
 
Ukiwa mbumbumbu wa uchumi, unaweza kuamini kuwa hiyo sarafu itaidhoofisha dola kiurahisi, lakini kama una uelewa japo wa kawaida wa uchumi wa Dunia, utajua kuwa hakuna lolote la pekee:

West Afrca block wana curreny yao, je, hiyo imepunguza uthamani wa dola katika mataifa hayo?
European Union wana sarafu yao, je, imeifanya dollar kutokuwa na thamani?

Kinacholinda uthamani wa dola ni ukubwa wa uchumi wa marekani. Huko Brics, jumlisha uchumi wa mataifa yote wanachama, uchumi wake bado ni chini ya uchumi wa Marekani ikiwa pekee yake:

USA GDP 2024 $29 trillion
BRICS
China GDP 2024 $13trillion
Russia GDP 2024 $2trillion
Brazil GDP 2024 $2 trillion
India GDP 2024 $ 4 trillion
Wakati USA pekee yake in GDP 29 trillion, nchi zote za Brics ukiziweka pamoja, jumla ya GDP yao haifiki hata $25 trillion!!
msiwe mnaandika humu ikiwa vichwa vyenu ni empty jamani
 
Rais wa Urusi, Vladimir Putin, wakati yupo kwenye mkutano mkuu wa BRICS uliofanyika Kazan aliwashangaza washiriki kwa kugawa sampuli za noti mpya za Benki ya BRICS, ishara inayodaiwa kuwa mwisho wa enzi kwa Dola ya Marekani kama sarafu ya akiba duniani.

Noti hizo za BRICS, ambazo zimeonekana kwa mara ya kwanza katika hafla hiyo ya kimataifa, zimeibua mjadala mkubwa kuhusu mustakabali wa mfumo wa fedha wa dunia.

Sarafu hiyo mpya inasemekana kuungwa mkono na bidhaa halisi kama dhahabu na mafuta, tofauti na Dola ya Marekani ambayo ni sarafu ya "fiat" isiyo na dhamana ya moja kwa moja ya mali.



Sarafu ya BRICS Kuipiku Dola ya Marekani?

Wachambuzi wanaeleza kuwa uzinduzi wa sarafu ya BRICS huenda ukawa mwanzo wa kipindi kipya cha kutoitegemea Dola ya Marekani katika biashara za kimataifa.


Wanaonya kuwa sarafu hiyo mpya inaweza kupunguza sana ushawishi wa kiuchumi wa Marekani ulimwenguni, hasa kutokana na ukweli kwamba nchi nyingi zinaweza kuacha kutumia Dola kama sarafu ya kibiashara.

View attachment 3133964Nimesoma headline tu lakini nimeona niandike sentensi moja then niendelee​

Rais wa Urusi, Vladimir Putin, wakati yupo kwenye mkutano mkuu wa BRICS uliofanyika Kazan aliwashangaza washiriki kwa kugawa sampuli za noti mpya za Benki ya BRICS, ishara inayodaiwa kuwa mwisho wa enzi kwa Dola ya Marekani kama sarafu ya akiba duniani.

Noti hizo za BRICS, ambazo zimeonekana kwa mara ya kwanza katika hafla hiyo ya kimataifa, zimeibua mjadala mkubwa kuhusu mustakabali wa mfumo wa fedha wa dunia.

Sarafu hiyo mpya inasemekana kuungwa mkono na bidhaa halisi kama dhahabu na mafuta, tofauti na Dola ya Marekani ambayo ni sarafu ya "fiat" isiyo na dhamana ya moja kwa moja ya mali.



Sarafu ya BRICS Kuipiku Dola ya Marekani?

Wachambuzi wanaeleza kuwa uzinduzi wa sarafu ya BRICS huenda ukawa mwanzo wa kipindi kipya cha kutoitegemea Dola ya Marekani katika biashara za kimataifa.


Wanaonya kuwa sarafu hiyo mpya inaweza kupunguza sana ushawishi wa kiuchumi wa Marekani ulimwenguni, hasa kutokana na ukweli kwamba nchi nyingi zinaweza kuacha kutumia Dola kama sarafu ya kibiashara.

Imeshindwa EURO 💶 sidhani kama hiyo BRICS itaiweza dollar.
 
Wewe ni mtu masikini kabisa hapa duniani,tena unatokea kwenye bara masikini kabisa,Tena unatokea kwenye nchi masikini kabisa na ninaamini unatokea kwenye mkoa masikini kabisa na inawezekana ukezaliwa kwenye familia masikini kabisa.
Wewe binafsi usipochukua Pesa yao hao BRICS wala hauna madhara yoyote kwao,ni kua haupo kabisa katika Dunia hii.
Huna lolote la kuwapunguzia.
Lakini kaa nikuambie USA wenyewe matumbo moto.
Sijui wakati wa mikwara ya kuanzishwa 💶 EURO ulikuwa wapi na ulikuwa na umri gani, mikwara iliyopigwa mpaka na mainstream media za kidunia wengi walijua kuwa US Dollar ndiyo imefika mwisho wake but see what exactly happened yaani ni contrary hata kwa magwiji wa uchumi wa Ulaya walivyokuwa waki-predict.
Kuipiku Dollar kwanza uyumbe au uanguke kabisa uchumi wa Marekani otherwise haitowezekana.
 
Wameweka bendera za nchi zao, sisi wageni waalikwa tutaweka nini? BRICS ni kama UGOMVI wa MKE ALIYE TARIKIWA.
 
China haitegemei USA na Iran ndio kabisa haitegemei USA.
Japo sijajua kama ameingia bricks rasmi huyu Iran.
Wewe hata kidogo kivipi china isitegemee USA itakuwa kichekesho hivi unajua soko la chuma china inategemea kwa asilimia kubwa sana familia meli kubwa za evergreen nanga ni USA
 
Wewe hata kidogo kivipi china isitegemee USA itakuwa kichekesho hivi unajua soko la chuma china inategemea kwa asilimia kubwa sana familia meli kubwa za evergreen nanga ni USA
Unaongea unabwabwaja ongea kwa hatua.
China haitegemei USA.
Unajua maana ya kumtegemea!?
Hivi unajua ile trade war ya kipindi cha Trump China alilipa kisasi kwa kuzuia rare metals,chuma kwenda USA kama raw materials!?
Kama angekua anamtegemea USA si angepiga magoti yaishe!?
Embu nenda kakifuatilie trade war ya 2018 baina ya USA na China uone jinsi China sasa hivi ilivyo taifa lenye nguvu.
 
China haitegemei USA na Iran ndio kabisa haitegemei USA.
Japo sijajua kama ameingia bricks rasmi huyu Iran.
Hiyo sarafu imekaa kipropaganda zaidi. Na anayefanya hiyo propaganda anafahamika.

BRICS imekosa common values za kuweza kuendesha mfumo wake wa kifedha kama huo. Nchi wanachama karibu zote zina ushirika wa karibu wa kibiashara (trading partnership) na Marekani ambayo huwa hainunui bidhaa kwa pesa tofauti na US Dollar.

China ndiye mwanachama wa BRICS mwenye uchumi mkubwa zaidi. Mshirika mkubwa wa kibiashara wa China ni Marekani. Nchi zingine zilizopo ndani ya BRICS kama India, Brazil na South Africa nazo zina ushirika mkubwa wa kibiashara (bilateral trade) na Marekani hiyohiyo.

Nimeona mahali Ramaphosa wa South Africa anasema kwamba Urusi ni "valuable ally" wa South Africa. Ukweli ni kwamba, Urusi haipo hata kwenye top 10 ya washirika wa karibu wa South Africa kibiashara. Hao wawili ni mfano mmoja tu wa member states ndani ya BRICS ambao hawafanyi biashara yoyote ya maana kimataifa. Kwa lugha nyingine, insignificant trade partnership.

Maana yake ni kwamba, member states zinatofautiana sana kimaslahi hasa linapokuja suala la uchumi. Nchi zinazopigia chapuo hiyo sarafu mpya ni chache tu ambazo ziko kwenye vikwazo vikubwa vya kiuchumi vya Marekani. Miongoni mwazo ni Urusi, Iran pamoja na North Korea ambazo zinashika hili bango la noti mpya kwa maslahi yao yanayotokana na kuwa na uhasama wa muda mrefu na Marekani.

Lakini tukijikita kwenye bigger picture, hakuna nchi yenye ushirika wa kibiashara na Marekani ambayo iko tayari kujitoa muhanga kiuchumi kwa kuachana na Dollar ili tu kuimarisha uhusiano na Urusi, Iran ama North Korea.

Kuna habari kwamba Zimbabwe na Venezuela pia zinataka kujiunga na BRICS. Matatizo ya hizo nchi ni ya kisera na siasa zao za ndani ambazo zimeharibu uchumi wa nchi lakini kwa namna fulani Mnangagwa na Maduro wanadhani wanaweza kuitumia BRICS kisiasa ili kuongeza chochote cha maana kwenye uchumi wa nchi zao.

Ni vigumu kujenga uchumi kwa mihemko na propaganda
 
Unaongea unabwabwaja ongea kwa hatua.
China haitegemei USA.
Unajua maana ya kumtegemea!?
Hivi unajua ile trade war ya kipindi cha Trump China alilipa kisasi kwa kuzuia rare metals,chuma kwenda USA kama raw materials!?
Kama angekua anamtegemea USA si angepiga magoti yaishe!?
Embu nenda kakifuatilie trade war ya 2018 baina ya USA na China uone jinsi China sasa hivi ilivyo taifa lenye nguvu.
Hiyo sarafu imekaa kipropaganda zaidi. Na anayefanya hiyo propaganda anafahamika.

BRICS imekosa common values za kuweza kuendesha mfumo wake wa kifedha kama huo. Nchi wanachama karibu zote zina ushirika wa karibu wa kibiashara (trading partnership) na Marekani ambayo huwa hainunui bidhaa kwa pesa tofauti na US Dollar.

China ndiye mwanachama wa BRICS mwenye uchumi mkubwa zaidi. Mshirika mkubwa wa kibiashara wa China ni Marekani. Nchi zingine zilizopo ndani ya BRICS kama India, Brazil na South Africa nazo zina ushirika mkubwa wa kibiashara (bilateral trade) na Marekani hiyohiyo.

Nimeona mahali Ramaphosa wa South Africa anasema kwamba Urusi ni "valuable ally" wa South Africa. Ukweli ni kwamba, Urusi haipo hata kwenye top 10 ya washirika wa karibu wa South Africa kibiashara. Hao wawili ni mfano mmoja tu wa member states ndani ya BRICS ambao hawafanyi biashara yoyote ya maana kimataifa. Kwa lugha nyingine, insignificant trade partnership.

Maana yake ni kwamba, member states zinatofautiana sana kimaslahi hasa linapokuja suala la uchumi. Nchi zinazopigia chapuo hiyo sarafu mpya ni chache tu ambazo ziko kwenye vikwazo vikubwa vya kiuchumi vya Marekani. Miongoni mwazo ni Urusi, Iran pamoja na North Korea ambazo zinashika hili bango la noti mpya kwa maslahi yao yanayotokana na kuwa na uhasama wa muda mrefu na Marekani.

Lakini tukijikita kwenye bigger picture, hakuna nchi yenye ushirika wa kibiashara na Marekani ambayo iko tayari kujitoa muhanga kiuchumi kwa kuachana na Dollar ili tu kuimarisha uhusiano na Urusi, Iran ama North Korea.

Kuna habari kwamba Zimbabwe na Venezuela pia zinataka kujiunga na BRICS. Matatizo ya hizo nchi ni ya kisera na siasa zao za ndani ambazo zimeharibu uchumi wa nchi lakini kwa namna fulani Mnangagwa na Maduro wanadhani wanaweza kuitumia BRICS kisiasa ili kuongeza chochote cha maana kwenye uchumi wa nchi zao.

Ni vigumu kujenga uchumi kwa mihemko na propaganda
 
Imeshindwa EURO 💶 sidhani kama hiyo BRICS itaiweza dollar.
Euro imeshindwa nini,mbona haikuwa meant to replace the US Dollar.The Euro was meant to be a currency for the European Eunion huku wakiendelea kutumia the US Dollar in international transactions, msichanganye mambo. On the other hand,the BRICS currency is meant to replace the US Dollar in all BRICS member countries na hawatatumia the US Dollar in their international transactions.This will definitely see the value of the US Dollar crushing,because it's value was based on it's use as an international medium of exchange.
 
Back
Top Bottom