Rasmi sasa nataka kumuoa mpenzi wangu

Rasmi sasa nataka kumuoa mpenzi wangu

Yule baa medi aliesema akikutaka hakukosi.

Afu ukatuandikia sredi kwamba hupendi bra bra.

[emoji1787][emoji1787][emoji87][emoji87]
Hee ww husahau tu?

Uwege unasahau, hakua barmaid ila alikuja bar, ni binti flan wa kishua hivi mwenye madharau yake
 
yule aliebuni neno


maendeleo hayana vyama 😄😄😄


na mimi nakazia

mapenzi hayana umri
 
Back
Top Bottom