mimiamadiwenani
JF-Expert Member
- Mar 9, 2022
- 5,718
- 7,784
- Thread starter
- #21
Ok, mimi ninachoangalia napiga mzigo tuAtakuoa kwa mahari kabisa mkuu[emoji4]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ok, mimi ninachoangalia napiga mzigo tuAtakuoa kwa mahari kabisa mkuu[emoji4]
NdioAkili unazo
Moto upi? Bao 4 si mchezo. Sitaki vibinti tenaKijana anakimbilia Moto
Wahi siti ya dirishani hio
Hizo siziwezi kabisa yaanikila laheri, ushaanza mazoezi ya kula pilipili?
Ngekewa kivipi? FafanuaHongera sana maana hiyo ni Ngekewa.
We umetokea wapi tena? Nazingua kivipi mkuu?![emoji41][emoji41][emoji41]amadi ujue unazingua kinoma[emoji23][emoji23][emoji23]
AhsanteMarahaba!!! Kila la kheri
Unachoogopa nini sasa? Ulitaka nimuopoe nani sasa?dogo amadi kaopoa muhindi.
lol.
Nacheka lkn naogopa.
Tulitoa mkuuMpe ujauzito kwanza
Yule baa medi aliesema akikutaka hakukosi.Unachoogopa nini sasa? Ulitaka nimuopoe nani sasa?
Ulifanya makosa, pachika nyingineTulitoa mkuu
Hee ww husahau tu?Yule baa medi aliesema akikutaka hakukosi.
Afu ukatuandikia sredi kwamba hupendi bra bra.
[emoji1787][emoji1787][emoji87][emoji87]
Huwezi amini, anapenda kavu kinoma.Ulifanya makosa, pachika nyingine
Akijifungua ndio uhalali wa kummilikiHuwezi amini, anapenda kavu kinoma.
Ni kweli, ila majimama hapana aisee! Matamu kichiziAkijifungua ndio uhalali wa kummiliki