Rasmi sasa nataka kumuoa mpenzi wangu

Rasmi sasa nataka kumuoa mpenzi wangu

Kill la heri mkuu,
Ila ombea Sana asiwe "Hermaphrodite"[emoji1]
Sio hermaphrodite, nishamchungulia vya kutosha, kila idara.
Hana jeuri ya kuwa herma. Nimepiga mzito zaidi ya mara 9.!

Labda kwa wengine ila si huyu wangu mkuu.
 
Shikamoni wanajamvi. Nilileta uzi kuhusu gf wangu yule ambaye ni mzaliwa wa India. Sasa nataka nioe kabisa potelea mbali.

Nataka kujua utaratibu kwa ufupi, wa mahari zao na vitu vingine vya msingi ambavyo natakiwa kujua juu ya jamii hii.

Ila nilichojifunza huwa hawapendi uongo. Kuhusu kazi, anafanya kazi kituo x cha watoto yatima kama mmoja wa walezi wao.

Acha ninenepe, nitake nini nisipate? Nimeamimi old is gold. Mimi wa kupiga round 4 kweli? Acheni tu. Anyway naomba kwa anayefahamu taratibu zao za mahari na gharama zingine.
Jiandae kula pilipili za kutosha kuanzia kwenye mboga..ugali..uji..juisi hadi maji ya kunywa wanatia pilipili.

Kila la kheri katika ndoa yako na kanjibai.


#MaendeleoHayanaChama
 
Back
Top Bottom