Rasmi sasa nataka kumuoa mpenzi wangu

Kill la heri mkuu,
Ila ombea Sana asiwe "Hermaphrodite"[emoji1]
Sio hermaphrodite, nishamchungulia vya kutosha, kila idara.
Hana jeuri ya kuwa herma. Nimepiga mzito zaidi ya mara 9.!

Labda kwa wengine ila si huyu wangu mkuu.
 
Jiandae kula pilipili za kutosha kuanzia kwenye mboga..ugali..uji..juisi hadi maji ya kunywa wanatia pilipili.

Kila la kheri katika ndoa yako na kanjibai.


#MaendeleoHayanaChama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…